Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Angalia wapi nimeandika Mashishanga amekufaHuyu na Mzee Stephen Mashishanga ni miongoni mwa wale walionyooshwa kwa kipindi chote cha miaka 10 cha Mzee wa msoga,inasemekana walikuwa kwenye kambi ya Sumaye.
Pia kulikuwa na msanii mmoja wa ngonjera aliitwa Salum Tambalizeni yeye alikuwa anampigia chapuo Salim Ahmed Salim kwa muda wote wa Mzee wa msoga hakuwahi kuitwa kutumbuiza kwenye kikao chochote cha CCM na hali yake ya maisha ikawa ngumu kabisa.
Kuna watu wana visasi vya hatari.
Post yako no 39 umemuandika nani? Uzi wa Banduka wewe unaleta story za Mashishanga
Una onekana wa kitambo sana mkuu?Mmh.
Hatutakiwi kumsema vibaya Marehemu, lakini hili la uadilifu sio kweli!
Mzee alikuwa akiona kiwanja/ardhi anawehuka!
Aliwahi kuuza msitu wa kupanda pale Maili Moja mkoani! Kasheshe lake ndilo lililomaliza mbio zake za kisiasa!
BWT, huyu hakufikisha miaka 100 kweli? Maana alikuwa kizazi cha Daudi Mwakawago!
Sasa unaachaje kumfaham mzee banduka,Au ulikua mbwinde hata radio hakunaMimi sio wa 2000 Ila ukiachana na hilo jina simfahamu
Alikuwa mwerevu Sana kwenye kujenga hoja.RIP Mzee Banduka. Mzee amekuwa RC wangu nikiwa Mkoa wa Iringa.
Alikuwa RC maarufu yeye na Tumainieli Kiwelu. Kwa sasa ungeweza kusema Chalamila na Makonda (kwa kuimbwa lakini, sio kwa tabia)We jamaa umeandika kama vile wote tunamfahamu!
Sawa kabisa. Floor ya 9 wadi za private wako vizuri mnoooo kuliko hata VIP. Msimamizi wa hili eneo nakupa maua yako. Wako sharp unapiga simu mara moja wauguzi wa zamu wanakuja, huduma safi. Watu wanasikia tu ya kuambiwa wanayabeba juujuu.Hakuna hospitali inayotoa huduma nzuri inayokaribiana na mkoa wa pwani kama Mloganzila. Nilifika pale mwaka jana huduma zao ni nzuri sana. Kwa uzee wake na maradhi utaisingizia tu hospitali.
Yule mzee wa Msoga ni mdogo wake na yule malaika aliyetupwa chini.Huyu na Mzee Stephen Mashishanga ni miongoni mwa wale walionyooshwa kwa kipindi chote cha miaka 10 cha Mzee wa msoga,inasemekana walikuwa kwenye kambi ya Sumaye.
Pia kulikuwa na msanii mmoja wa ngonjera aliitwa Salum Tambalizeni yeye alikuwa anampigia chapuo Salim Ahmed Salim kwa muda wote wa Mzee wa msoga hakuwahi kuitwa kutumbuiza kwenye kikao chochote cha CCM na hali yake ya maisha ikawa ngumu kabisa.
Kuna watu wana visasi vya hatari.