Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Mgombea urais wa CHADEMA hana nia njema na Watanzania wa kipato cha chini, hastahili kupata kura hata moja

Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Mgombea urais wa CHADEMA hana nia njema na Watanzania wa kipato cha chini, hastahili kupata kura hata moja

Mimi mzee Shomari nasikitika sana kuwa Chadema wanaweka mgombea urais ambae hana huruma kwa watu masikini na tusio na uwezo kama mimi. Mimi nauza kahawa,kuna mama mama ntilie, kuna wamachinga na wengi tu ambao kipato ni cha hali ya chini.

Serikali ya CCM imetujali kwa kudhibiti uuzwaji wa nafaka nje ya nchi ili watanzania masikini kama mimi mzee Shomari nisipate tabu ya kupata kununua nafaka kama mahindi na mchele kwa bei ya juu. Maana huko miaka ya nyuma nafaka zilikuwa zinasafirishwa na kuuzwa holela nchi za nje, kitendo ambacho kilfanya unga na mchele uwe na bei kubwa. Leo hii unga hapa nchini una bei ya wastani ya sh 1300, lakini kabla ya serikali ya Ccm kudhibiti uuzwaji holela wa mazao kwenda nje ya nchi ulifikia hadi bei ya sh 2000.

Sasa basi kama mgombea wa Chadema akiwa mkoani Rukwa anasema ataruhusu wakulima wauze nje mazao kama wanavyotaka,hajui kuwa kuna madhara kwa watumiaji wa ndani. Maana anajinadi ataruhusu wauze nchi yoyote wanayotaka bila kujali mahitaji ya ndani.

Je, Mgombea urais kama huyu anapaswa apewe kura hata moja? Kama anakuwa hajali watu wenye shida na kipato duni kama mzee Shomari! Maana kiogozi bora lazima ujali raia wako kwanza kuliko kujali manufaa ya kisiasa. Maana ukiruhusu wakulima kuuza nafaka wanavyopenda,je wanachi wako watatapa chakula kwa bei rahisi!
Mnaitwa Wanyonge Masikini Mnafurahi kama Mazuzu watoto wenu wanazunguka na mabahasa kutafuta kazi na hawapati wanaambiwa wakajiajiri
 
Mnaitwa Wanyonge Masikini Mnafurahi kama Mazuzu watoto wenu wanazunguka na mabahasa kutafuta kazi na hawapati wanaambiwa wakajiajiri
Kwa hiyo ndio sababu ya kuruhushu kuuza nafaka nje ya nchi hovyo? Bila kujali athari ya watu wa ndani?

Kujiajiri ndio dili wewe utakaa umeajiriwa mpala lini?
 
Kumbe wajinga wanapozeeka hawawezi kuwa na hekima,wanaendelea kuwa wajinga na kuongea ya kijinga!!!!!
 
Anaona umati wa Lissu kweli huyu Mzee au anajiabisha tu? Pale hakuna 5,000 wala mabus wala kina Diamond. Ni upepo wa Lissu tu.
Soma iyo
Screenshot_20200917-220636.jpg
 
Kuw mkulima ndio lazima uuze mazao holela nje ya nchi?
Sio holela wewe zuzu ni anauza katika soko analotaka yeye.
Yani mkulima alime yeye kwa gharama zake uje umpangie bei ya kuuza ili wewe ule kwa gharama kidogo.?
 
Mimi mzee Shomari nasikitika sana kuwa Chadema wanaweka mgombea urais ambae hana huruma kwa watu masikini na tusio na uwezo kama mimi. Mimi nauza kahawa,kuna mama mama ntilie, kuna wamachinga na wengi tu ambao kipato ni cha hali ya chini.

Serikali ya CCM imetujali kwa kudhibiti uuzwaji wa nafaka nje ya nchi ili watanzania masikini kama mimi mzee Shomari nisipate tabu ya kupata kununua nafaka kama mahindi na mchele kwa bei ya juu. Maana huko miaka ya nyuma nafaka zilikuwa zinasafirishwa na kuuzwa holela nchi za nje, kitendo ambacho kilfanya unga na mchele uwe na bei kubwa. Leo hii unga hapa nchini una bei ya wastani ya sh 1300, lakini kabla ya serikali ya Ccm kudhibiti uuzwaji holela wa mazao kwenda nje ya nchi ulifikia hadi bei ya sh 2000.

Sasa basi kama mgombea wa Chadema akiwa mkoani Rukwa anasema ataruhusu wakulima wauze nje mazao kama wanavyotaka,hajui kuwa kuna madhara kwa watumiaji wa ndani. Maana anajinadi ataruhusu wauze nchi yoyote wanayotaka bila kujali mahitaji ya ndani.

Je, Mgombea urais kama huyu anapaswa apewe kura hata moja? Kama anakuwa hajali watu wenye shida na kipato duni kama mzee Shomari! Maana kiogozi bora lazima ujali raia wako kwanza kuliko kujali manufaa ya kisiasa. Maana ukiruhusu wakulima kuuza nafaka wanavyopenda,je wanachi wako watatapa chakula kwa bei rahisi!
Huyu mzee muuza tumbaku ndiyo siraha ya CCM [emoji16]
 
Mimi mzee Shomari nasikitika sana kuwa Chadema wanaweka mgombea urais ambae hana huruma kwa watu masikini na tusio na uwezo kama mimi. Mimi nauza kahawa,kuna mama mama ntilie, kuna wamachinga na wengi tu ambao kipato ni cha hali ya chini.

Serikali ya CCM imetujali kwa kudhibiti uuzwaji wa nafaka nje ya nchi ili watanzania masikini kama mimi mzee Shomari nisipate tabu ya kupata kununua nafaka kama mahindi na mchele kwa bei ya juu. Maana huko miaka ya nyuma nafaka zilikuwa zinasafirishwa na kuuzwa holela nchi za nje, kitendo ambacho kilfanya unga na mchele uwe na bei kubwa. Leo hii unga hapa nchini una bei ya wastani ya sh 1300, lakini kabla ya serikali ya Ccm kudhibiti uuzwaji holela wa mazao kwenda nje ya nchi ulifikia hadi bei ya sh 2000.

Sasa basi kama mgombea wa Chadema akiwa mkoani Rukwa anasema ataruhusu wakulima wauze nje mazao kama wanavyotaka,hajui kuwa kuna madhara kwa watumiaji wa ndani. Maana anajinadi ataruhusu wauze nchi yoyote wanayotaka bila kujali mahitaji ya ndani.

Je, Mgombea urais kama huyu anapaswa apewe kura hata moja? Kama anakuwa hajali watu wenye shida na kipato duni kama mzee Shomari! Maana kiogozi bora lazima ujali raia wako kwanza kuliko kujali manufaa ya kisiasa. Maana ukiruhusu wakulima kuuza nafaka wanavyopenda,je wanachi wako watatapa chakula kwa bei rahisi!
Lisu ni Mkenya, kasema mwenyewe
 
Mimi mzee Shomari nasikitika sana kuwa Chadema wanaweka mgombea urais ambae hana huruma kwa watu masikini na tusio na uwezo kama mimi. Mimi nauza kahawa,kuna mama mama ntilie, kuna wamachinga na wengi tu ambao kipato ni cha hali ya chini.

Serikali ya CCM imetujali kwa kudhibiti uuzwaji wa nafaka nje ya nchi ili watanzania masikini kama mimi mzee Shomari nisipate tabu ya kupata kununua nafaka kama mahindi na mchele kwa bei ya juu. Maana huko miaka ya nyuma nafaka zilikuwa zinasafirishwa na kuuzwa holela nchi za nje, kitendo ambacho kilfanya unga na mchele uwe na bei kubwa. Leo hii unga hapa nchini una bei ya wastani ya sh 1300, lakini kabla ya serikali ya Ccm kudhibiti uuzwaji holela wa mazao kwenda nje ya nchi ulifikia hadi bei ya sh 2000.

Sasa basi kama mgombea wa Chadema akiwa mkoani Rukwa anasema ataruhusu wakulima wauze nje mazao kama wanavyotaka,hajui kuwa kuna madhara kwa watumiaji wa ndani. Maana anajinadi ataruhusu wauze nchi yoyote wanayotaka bila kujali mahitaji ya ndani.

Je, Mgombea urais kama huyu anapaswa apewe kura hata moja? Kama anakuwa hajali watu wenye shida na kipato duni kama mzee Shomari! Maana kiogozi bora lazima ujali raia wako kwanza kuliko kujali manufaa ya kisiasa. Maana ukiruhusu wakulima kuuza nafaka wanavyopenda,je wanachi wako watatapa chakula kwa bei rahisi!
Mzee acha kuvuta bangi
 
Hiyo nchi itayoongozwa na Lisu ni ya kusadikika.

Maajabu matupu.

Yaani jamaa hakusanyi kodi lakini atatoa huduma za afya bure , elimu bure, tutajua kingereza kama wazungu, atapandisha mishahara kila mwaka na hatajenga hata sentimita moja iwe ya daraja au bara bara.
Maendeleo ya watu yataleta maendeleo ya vitu , kila Mtu atajijengea barabara yake si tunauwezo na hata shule na hospital .hizi barabara za jumuiya na shule na hospital ni za kijimaa na zinajengwa na wajamaa/ Wakoministi/wasocialist zinakuwa za kishamba shamba in saccos policy
 
Acha basi KUPOTOSHA WATANZANIA.

NI WAPI NA LINI ALISEMA HATAKUSANYA KODI?

ALISEMA "UTOZAJI KODI UTAFANYWA KUWA RAFIKI, NA SIYO KAMA ILIVYOSASA AMBAPO KODI HUTUMIKA PIA KUKOMOA WAFANYABIASHARA KWA NGO YA KISIASA AU CHUKI BINAFSI"

UKWELI UTAKUWEKA HURU.
Hivi so kuna sheria ya kodi ?, Sasa utabambikiwa vipi hiyo kodi ??
Au unakuwa na wewe una madudu yako ndio unaruhusu jamaa wapitie hapo hapo
 
Maendeleo ya watu yataleta maendeleo ya vitu , kila Mtu atajijengea barabara yake si tunauwezo na hata shule na hospital .hizi barabara za jumuiya na shule na hospital ni za kijimaa na zinajengwa na wajamaa/ Wakoministi/wasocialist zinakuwa za kishamba shamba in saccos policy
Daah kwa hoja hizi bado sana,

Anyway kwahiyo hiyo miundombinu tunayoiona mkipiga picha mkiwa ulaya kusambaza sumu imejengwa na watu binafsi??
 
Mimi mzee Shomari nasikitika sana kuwa Chadema wanaweka mgombea urais ambae hana huruma kwa watu masikini na tusio na uwezo kama mimi. Mimi nauza kahawa,kuna mama mama ntilie, kuna wamachinga na wengi tu ambao kipato ni cha hali ya chini.

Serikali ya CCM imetujali kwa kudhibiti uuzwaji wa nafaka nje ya nchi ili watanzania masikini kama mimi mzee Shomari nisipate tabu ya kupata kununua nafaka kama mahindi na mchele kwa bei ya juu. Maana huko miaka ya nyuma nafaka zilikuwa zinasafirishwa na kuuzwa holela nchi za nje, kitendo ambacho kilfanya unga na mchele uwe na bei kubwa. Leo hii unga hapa nchini una bei ya wastani ya sh 1300, lakini kabla ya serikali ya Ccm kudhibiti uuzwaji holela wa mazao kwenda nje ya nchi ulifikia hadi bei ya sh 2000.

Sasa basi kama mgombea wa Chadema akiwa mkoani Rukwa anasema ataruhusu wakulima wauze nje mazao kama wanavyotaka,hajui kuwa kuna madhara kwa watumiaji wa ndani. Maana anajinadi ataruhusu wauze nchi yoyote wanayotaka bila kujali mahitaji ya ndani.

Je, Mgombea urais kama huyu anapaswa apewe kura hata moja? Kama anakuwa hajali watu wenye shida na kipato duni kama mzee Shomari! Maana kiogozi bora lazima ujali raia wako kwanza kuliko kujali manufaa ya kisiasa. Maana ukiruhusu wakulima kuuza nafaka wanavyopenda,je wanachi wako watatapa chakula kwa bei rahisi!
Yaani mkulima wa Kavuu Mpanda alime mahindi yake kwa jasho wewe unakalia kupost upuuzi wa kupamba wanaume wenzio JF, halafu mtumie serikali yenu kulazimisha watu wawauzie kwa bei ya chini?
 
Mimi mzee Shomari nasikitika sana kuwa Chadema wanaweka mgombea urais ambae hana huruma kwa watu masikini na tusio na uwezo kama mimi. Mimi nauza kahawa,kuna mama mama ntilie, kuna wamachinga na wengi tu ambao kipato ni cha hali ya chini.

Serikali ya CCM imetujali kwa kudhibiti uuzwaji wa nafaka nje ya nchi ili watanzania masikini kama mimi mzee Shomari nisipate tabu ya kupata kununua nafaka kama mahindi na mchele kwa bei ya juu. Maana huko miaka ya nyuma nafaka zilikuwa zinasafirishwa na kuuzwa holela nchi za nje, kitendo ambacho kilfanya unga na mchele uwe na bei kubwa. Leo hii unga hapa nchini una bei ya wastani ya sh 1300, lakini kabla ya serikali ya Ccm kudhibiti uuzwaji holela wa mazao kwenda nje ya nchi ulifikia hadi bei ya sh 2000.

Sasa basi kama mgombea wa Chadema akiwa mkoani Rukwa anasema ataruhusu wakulima wauze nje mazao kama wanavyotaka,hajui kuwa kuna madhara kwa watumiaji wa ndani. Maana anajinadi ataruhusu wauze nchi yoyote wanayotaka bila kujali mahitaji ya ndani.

Je, Mgombea urais kama huyu anapaswa apewe kura hata moja? Kama anakuwa hajali watu wenye shida na kipato duni kama mzee Shomari! Maana kiogozi bora lazima ujali raia wako kwanza kuliko kujali manufaa ya kisiasa. Maana ukiruhusu wakulima kuuza nafaka wanavyopenda,je wanachi wako watatapa chakula kwa bei rahisi!
hilo ni tatizo la kuvamia fani huyo abaki na fani yake ya uwakili urais siyo mchezo anawadanganya watu wauze chakula nje hapo lazima bei ya nje itakuwa kubwa kwahiyo watakomba chakula chote halafu njaa ikiingia anaanza safari za kwenda kwa mabeberu wake kuomba chakula sasa hivi nchi inaheshima hatuombi sana chakula ni zarau ya nchi yenye ardhi kubwa kama tz kuomba chakula huyo hatufai hata kura mbili asipate maana moja atajipigia mwenyewe
 
Yaani mkulima wa Kavuu Mpanda alime mahindi yake kwa jasho wewe unakalia kupost upuuzi wa kupamba wanaume wenzio JF, halafu mtumie serikali yenu kulazimisha watu wawauzie kwa bei ya chini?
Nafikiri ukinunua unga kwa sh 3000 kwa kilo ndio utajua Mzee Shomari anamzidi baba yako akili.
 
Back
Top Bottom