Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Oktoba mwaka huu watanzania wanatoa zawadi za shukurani kwa Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Oktoba mwaka huu watanzania wanatoa zawadi za shukurani kwa Dkt. Magufuli

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Ukweli ndio huu anasisitiza huyu mzee. Anasema kura inazoenda kupata Ccm zaidi ya 95% ni zawadi kwa JPM na chama cha mapinduzi.
Mfano tu kodi ilikuwa inakusanywa kwa wastani wa bil 800 lakini kwa muda wa miaka minne imefikia wastani wa tril 1.6. Hapo kwa nini wakulima na wafanyakazi wasimshukuru JPM kwa kura lukuki?

Elimu bure kwa kuanzia msingi mpaka sekondari kwa nini wakulima na wafanyakazi wasimshukuru JPM kwa kusomesha watoto wao bure?
Upatikanaji wa haki je? Mzee shomari anasema hii nchi iligeuzwa ya wenye pesa.

Masikini walizdhurumiwa mali zao na haki zao. Leo hii utamdhurumu nani? Wanyonge na maskini lazima wamshukuru JPM kwa kura lukuki.

Mzee anahoji swali la msingi hivi hawa wapinzani uchwala kama Chadema hawana uzalendo kuona kwamba sasa tuna kiongozi mkuu anaefaa?

Kwanini wanakuwa wanafiki? Basi hawafai kupata hata kura 2.
 
Mzee Shomari baada ya kusikia kuna Nafasi Tatu za u DAS amechanganyikiwa kabisa
 
Kutoa mil 50 kila kijiji, kupandisha mishahara , kutoa ajira kwa vijana bila kusahau viwonder
Ukimuuliza hayo anakuona mjinga. Maana Mil 50 na kituo cha afya cha bil 1 kipi bora? Hajasoma ila wajinga kama wewe huwa anawacheka
 
Ukimuuliza hayo anakuona mjinga. Maana Mil 50 na kituo cha afya cha bil 1 kipi bora? Hajasoma ila wajinga kama wewe huwa anawacheka


Sawa Mzee shomari nimtaji wa ccm maana watu wenye elimu kama ya mzee shomari nimtaji wa ccm mkubwa.
 
Sawa Mzee shomari nimtaji wa ccm maana watu wenye elimu kama ya mzee shomari nimtaji wa ccm mkubwa.
Sawa wewe mwenye akili mil 50 itasasidia nini wanakijiji 5000 mfano?
 
Back
Top Bottom