Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kwa hiyo wakati Jiwe anatoa hiyo ahadi alikuwa kichaa?Sawa wewe mwenye akili mil 50 itasasidia nini wanakijiji 5000 mfano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wakati Jiwe anatoa hiyo ahadi alikuwa kichaa?Sawa wewe mwenye akili mil 50 itasasidia nini wanakijiji 5000 mfano?
Itaje kwa kila KijijiMil 50 zimetolewa kupitia miradi ya maendeleo.
Nina uhakikaHisia au una uhakika?
Mzee Shomari aende clouds kuchukua Nafasi ya Hassan Ngoma,huenda akaonwa na yeyeHana shida nazo maana amelidhika na anachokipata. Yeye anazungumzia ukweli
CCM wamewekeza kwenye UjingaUkimuuliza hayo anakuona mjinga. Maana Mil 50 na kituo cha afya cha bil 1 kipi bora? Hajasoma ila wajinga kama wewe huwa anawacheka
Mkuu huo ni mtazamo wako, unaweza uko sahihi au hauko sahihiCCM wamewekeza kwenye Ujinga
Mfano Mzuri ni Mzee Shomari
Kijijini kwetu hakuna Mil50 wala kituo cha AfyaNafikiri ungejibu swali. Kipi bora? Mil 50 kwa kijiji chenye watu elfu kumi au kituo cha afya cha bil 1, ungeonekan una akili kiduchu.
Ni M Tanzania ninayetumia akili yangu.Wewe utakua haukai Tanzania utakuwa Mkongoman.