Mzee Stephen Masato Wassira wewe na watu wa umri wako msipostaafu unadhani vijana watapata wapi ajira?

Mzee Stephen Masato Wassira wewe na watu wa umri wako msipostaafu unadhani vijana watapata wapi ajira?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mzee Wasira anashangazwa na taarifa za mainjinia kukosa ajira. Wakati huo yeye mwenyewe anawahi kujiajiri bali anaishi kwa kuajiriwa toka miaka ya 1970.

Ukimuuliza kwanini amegonga kustaafu na kukaa pembeni anadai bado ana nguvu na anakubalika na watawala. Ukihoji kwa maisha yake yote ni kipi amewahi kufanya hakuna anayeweza kuonyesha amelifanyia nini Taifa.

Wazee hawa wanapoendelea kukaa madarakani wanashindwa kuelewa kwamba wanakwamisha fikra mpya na hivyo kuzuia watu zaidi kuajiriwa.

Ni muda sasa wazee wa umri wa akina Wasira wakaondoka kwenye bodi waache kazi hizo zifanywe na vijana wanaotafuta ajira. Duniani inakimbilia kwenye technology je akina Wasira wanaweza kubuni miradi inayoendana na wakati?
 
Mzee Wasira hayuko kwenye utumishi wa umma anymore.
 
Tatizo, la, ajira, ni, kubwa, sana, haliwezi, tatuliwa kwa, kustaafisha wazee wote, hata, kwa, kuanzia 40yrs+, maana wengi hata, baada, ya, miaka 50,hawawezi, kusimama, wenyewe bila salary!
Nafasi, za, ajira, lazima, zitengenezwe viwandani, vya, huduma na bidhaa(sio, uchuuzi, kama, wa Fred vunjabei), unanunua mavitu china, unakuja kuyauza, bongo! Kiuchumi wanaofaidika sana, ni, vijana wa china, wa, kwetu kama Freddy vunjabei, ni, machinga tu on large scale,
Tunahitaji, fulsa, za, ajira, mfano kwenye enrollment la IT, kama alivyotengeneza boss wa huu mtandao, Maxence Melo, au, anavyofanyakijana wa, WAGA,
Status ya nchi yetu ni mbaya sana, tunauhitaji mkubwa wa, madokta na waalimu, na idadi IPO, Ila hatuwezi, kuwaajiri wote tunaohitaji, kwa sababu tunachokusanya kupitia Kodi hakitoshi, hata kulipia mishahara na matumizi, tu ya kuendesha serikali! Lazima, ukope! Pesa, yetu nyingi ni kulipia mishahara, posho, mafuta ya magari, nk, ajira zinatengenezwa na manufacturing industries,
Uchumi wetu unahudumia siasa, kiwanda pekee chenye mafanikio ni uteuzi, na uchawa,
Ile centre ya biashara inayojengwa ubungo, itakuwa na faida kwa china, Sisi, hatuna bidhaa ya kuuza, pale.
Inabidi tuwe na viwanda vya nguo, bidhaa za kilimo, IT mfano data centre ya google, Facebook, Amazon wajenge branch bongo, tuingie kwenye viwanda vya electronics, Integrated circuit, chip kama taiwan, chip 100 tu, zina thamani kuliko tani zote za, sukari, mafuta, pamba, nk
 
Safari ya Wassira kisiasa ni ya vituko sana.. Mimi nilimfahamu wakati wa uchaguzi wa ubunge jimbo la Mwibara mwaka 1970 nikiwa Primary school. Kuanzia mwaka huo 1970, Wassira hajawahi kuwa nje ya siasa na profile yake imekuwa inabadilika badilika kwa kila opportunity inayojitokeza. Aliwahi kuwa NCCR-Mageuzi kutokana na opportunities za wakati huo.
 
Back
Top Bottom