Hawa wakina sumaye hawatofautiani na vibinti vilivyozalia nyumbaniKha!kha!kha!,Mkuu umeua.
Sumaye anazeeka vibaya Yaani mbowe aache jimbo lakini kwenye Hujuma nyingi tokea kwa DC wa Hai aende alipo Lisu tena wakati Salum mwalimu yupo na Shehe ponda ameongeza hamasa zaidiWaziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.
Kajitoa fahamu ni zero brainHahaha Sumaye anajaribu kujitoa aibu.
Sumaye ni zezeta anasaka uteuzi kwenye viti kumi ya Urais akihisi pengine mtukufu kaburu Mkoloni mweusi atarejea tena ikuluHawa wakina sumaye hawatofautiani na vibinti vilivyozalia nyumbani
Sumaye ni zezeta mkubwaKwani cdm inamhusu nini.zee zima linatafuta umbea kwa jirani.hao ccm nao si wampe hata ukarani? Iddle mind is the workshop of the devil
Wapambe wa kaburu Mkoloni mweusi ndiyo mtaumia sana pindi mtukufu akirejea kijijini chato pindi Nchi ikiwa imepata uhuru upya na kutawala kwa misingi ya HAKIJamaa baada ya kichapo anarudi ulaya, maana kichapo kipo palepale. Lissu ataleta mabadiliko Cdm? Wapambe wa Lissu mtaumia sana.
Hicho kibabu Sumaye ni zezeta hakijui kuwa jimboni Hai kuna shetani mkubwa anaitwa DC sabaya ni vigumu Mbowe aondoke amwachie jimbo atavuruga kila kituKweli hicho ndicho kilichopo kichwani mwa Sumaye ili kuiombea kura CCM?
Aliyempa jina la zero huenda hakukosea kabisa. Sumaye ana very low political IQ.
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.
Mr. Zero tumeamua kumpuuzaWaziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.
Na ukizingatia historia yake .....Singida,Mwenyekiti wa CWT🤣🤣🤣🤣Unaweza ukute kweli li Bia yetu ni PM
Jimbo moja unafanya kampeni kila siku? Mashabiki wa Upinzani mnajitoa sana ufahamuMimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Alafu LISSU anajitosheleza, MaCCM kayakamata mbaka yanaogopa,Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Mbona 2015 alimuuza Lowasa mpaka mwisho kwani hakugombea?Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.