bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
Eti wanasiasa malaya malaya by Mwalimu Julius.Sumaye aache umalaya
Sumaye aache umalaya wa kisiasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti wanasiasa malaya malaya by Mwalimu Julius.Sumaye aache umalaya
Sumaye aache umalaya wa kisiasa.
dah anabahati sijui zile miaka10 mkapa aliona nini kumpa au ni coneksheni tuWaziri Mkuu wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.
Bado anaiwaza Chadema?😀Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
mr zero brainSumaye has no brain
Aanze kwanza kuhoji yanayohusu chama chake. Wapi alipo Mangula kwenye kampeni za Magufuli? Au baada ya jaribio la kumtoa uhai hana uwezo wa kuongea jukwaani?Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
Huyu Mr,0 anaongea nini huyu bwege kuchumia tumboWaziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
Mimi ni mwana ccm lakini kamati kuu ya chadema ingempitisha Nyalandu kuwa ndio mgombea wa chadema, asee ccm ingeshinda kwa zaidi ya 99%,walau Lisu kaleta changamoto kidogo na i hope ameuchangamsha huu uchaguzi wa mwaka huu.Uhalisia nikua kamati kuu haikuana mpango na Lisu wao walimtaka Nyarandu kwakua alisha jipanga katika swala la fedha za kampen. Walipo ona kuna shinikizo kutoka kwa wanachama wakaonaona isiwe tabu wamwachie Lisu msala alafu wao wa mute. Wanajua Lisu hawezi kutoboa na ndicho kinacho tokea
Mbona mwaka 2015 alizunguka na Lowassa na Hai akafanya kampeni siku kumi.Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
Kipindi kile alipokuwa anazunguka na lowasa hakuwa mgombea?Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Upinzani ndio malaya,wanaotoka CCM nakupokelewa huko Ni wanunuzi tu.Sumaye aache umalaya
Sumaye aache umalaya wa kisiasa.
Zile miaka=Ile miaka.dah anabahati sijui zile miaka10 mkapa aliona nini kumpa au ni coneksheni tu
🤔Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622