Uchaguzi 2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

Uchaguzi 2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
Bado anaiwaza Chadema?😀

Ataomba poo mwaka huu
 
Usiwaamini wanasiasa hasa wa ccm, Sumaye hapo moyoni anafurahia mziki anaochezeshwa JPM na Lissu.
 
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
Aanze kwanza kuhoji yanayohusu chama chake. Wapi alipo Mangula kwenye kampeni za Magufuli? Au baada ya jaribio la kumtoa uhai hana uwezo wa kuongea jukwaani?
 
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
Huyu Mr,0 anaongea nini huyu bwege kuchumia tumbo
 
Uhalisia nikua kamati kuu haikuana mpango na Lisu wao walimtaka Nyarandu kwakua alisha jipanga katika swala la fedha za kampen. Walipo ona kuna shinikizo kutoka kwa wanachama wakaonaona isiwe tabu wamwachie Lisu msala alafu wao wa mute. Wanajua Lisu hawezi kutoboa na ndicho kinacho tokea
Mimi ni mwana ccm lakini kamati kuu ya chadema ingempitisha Nyalandu kuwa ndio mgombea wa chadema, asee ccm ingeshinda kwa zaidi ya 99%,walau Lisu kaleta changamoto kidogo na i hope ameuchangamsha huu uchaguzi wa mwaka huu.
 
Huyu ni zero brain kabisa asome taratibu za tume mgombea ubunge hairuhusu kuzunguka nje ya eneo lake kuomba kura
 
Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Mbona mwaka 2015 alizunguka na Lowassa na Hai akafanya kampeni siku kumi.
 
Malaya wa kisiasa huyu! Kwani hajui kama Mbowe yuko kwenye kampeni jimboni kwake?
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
 
Akina sumaye ndo vichwa vya CCM [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.
Kipindi kile alipokuwa anazunguka na lowasa hakuwa mgombea?

Mbowe ameshajua magufuli atashinda kwa kishindo ameona asipoteze muda na mbeligiji
 
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
🤔
Yupo tallying centre

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app

Ndio amewahi hivyo😁😁😁😁
Atakosa mwana na maji ya moto
 
Back
Top Bottom