Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

Je a sipo zikwa haraka nini hutokea kwa mujibu WA maandiko ya dini?
 
Nikikumbukaga Ile ishu ya Fabrice Muamba moyo wake ulivyozima saa 72 angekuwa muislamu angepigwa kituta fasta.

Kuna uwekano mkubwa Kuna waislamu wengi sana wamwzika angali wakiwa hai.
 
Wee unaongea upumbavu Kila kitu kina utaratibu wake pimbi wewe mkristo huo ni utaratibu wa kawaida Kwan ukichelewa kuzikwa na kuwahi Kuna utofauti gan heshima ya mwisho ni ileile tu
 
Hizo zote ni tamaduni, hatutakiwi kugombana kutokana na hizo tamaduni as long as hakuna utaratibu wa mmoja unaomuumiza mwingine. Ukiona unaumia kutokana na utaratibu wa mwingine ujue utakufa mapema maana moyo unasinyaa mda ote
 
Adhabu kwa waislamu waliocheleweshwa kuzikwa ni ipi katika uislamu.
Adhabu ya mla riba....
Aliyeacha kufunga kwa maksudi...
Mchawi....
Adhabu zao ni zipi.....?
 
Jambo la msingi ni kuwa nakiri mimi ni Muislam na nafuata yale yote niliyoamrishwa, penye kutumia reasoning nitatumia sitapelekeshwa na watu wenye elimu ya kukariri tu.

Kuna mambo mengi tu hayajuwepo wakati wa mtume lakini kwa sasa yanafanyika kwa sababu sio dhambi kuyafanya. Hata hili la kuzika hakuna mahali imelazimishwa kuwa lazima maiti izikwe ndani ya masaa mangapi, Mungu ameacha hilo tulifanye kwa utashi wetu kulingana na mazingira yetu maana yeye ni mjuzi zaidi na ndio maana hakuna dhambi kwa atakayechelewesha maziko.

Zaidi ya hapo asanteni sana mlionitukana kisa tu kutofautiana mtazamo, sio amri yenu ila ni shida ya kukaririshwa bila kufanya tafakuri. Mko radhi kuwanyima weusi wenzenu wenye uhitaji hapo mlipo ili mkatoe hela za utalii huko Saudia muwafurahishe waarab.
 
Mwanzo nilikuwa na dhana ya kheri kuwa ni muislam ila nimefatilia mjadala naona kuna ukakasi wa maelezo yako. mdau kasema unagoogle labda huko itafaa kukuweka maana uliposema DINI yako unajisomea mwenyewe hilo tu tayari linakutoa ktk asli ya uislam na hautufundishi hivyo..

-Zipo tamaduni za kiarabu ambazo uislam umezikuta na zinafahamikwa na SHERIA imezibainisha zinaitwaje...?

- Je ktk hizo tamaduni ni pamoja na mazishi yalikuwa na utaratibu huo alotufunza mtume kabla ya uhuishaji wa uislam...?

-Mafundisho yetu ambayo ni QUR'AN na Sunnah ktk uislam tunafahamu zipo Sheria zilizoletwa zinatofautiana baina yetu sisi waumini na mtume wetu je kuhukumu mazishi ya mtume na kukifanya kama ni kielelezo chako itakuwa sahihi....?
 
Kinachokuuma Ni Nini au wewe Ni maiti
 
Hata akija anaongeza nn au anapunguza nn?? Mti ameshafariki ni wajibu astiriwe kwa wakati kwsnza tunapunguza mzigo wa machungu kwa wapendwa,kilele cha msiba ni mazishi mtu anapozikwa kuna ahueni flani mfiwa anapata,nikikumbuka kitimtim cha mazishi ya hayati Magufuli,anazungushwa huku mara kule mpaka mwili unapigwa na vumbi kila wanapoenda familia msiba unaanza upya,mpaka ikawa vurugu badala ya mapenzi,mm nasapoti mtu azikwe kwa hataka na kama itabidi kusafirishwa asafirishwe akazikwe,siyo kumsubiri mtu,hata akifika huyo mtu hakuna kitakchoomgezeka!
 
Allah hamfichi dhwaliim hadi hapa umejibainisha wewe ni wa dini gani nilitaraji kufanya mjadala nawe ila sio KIISLAMU maana umejipanga kutukana ALLAH akutoe kwenye ukafiri
 

Umezunguka zunguka weee ila hapo mwishoni umejidhihirisha kuwa kweli wewe sii Muislam.

Kwa taarifa yako Hijja ni nguzo ya dini na wala sio utalii!
 
Pia ambia hao wasilamu kina SSH na wenzie sa hivi mambo yamebadilika Kuna simu Kuna alarm maswala ya kuweka spika nje zinasumbua ..sisi Christin tukisema tuweke spika nje hapatatosha , tunaweka funga JBL,candy double bass nne zinatengenezwa na wakristo wenzetu pakawa hapatoshi
 
Sehemu na wakati ambapo nawakubali sana Waislamu ni kwenye misiba na ndoa, wana unyama mno
Mnoo, kuna ex wangu tulikuwa tunagombana namblock hata siku mbili siku moja akaniambia sio sawa unachofanya siku mbili ni nyingi je nikifa? mie muislam utakuja kuniunblock ukute na kuzikwa nishazikwa.
 
Kabisa, ndo maana wao pia mke 4 still ana michepuko na huku mke 1 na michepuko. Kila mtu afanye limfaalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…