Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

ndugu yangu katika imani nakushauri ukasome dini kwa kufuata misingi ya Quran na sunna kwa ufahamu wa wema waliotangulia.., itakusaidia na utajua kosa lako kwenye haya maelezo..,
 

... FOR THE RICH AND THE KING ONLY!
 
Hujui tu hao wanawahi ili wagawane urithi mapema usione msiban wamefunga swala washenzi sana hao
Wewe tukana tu ukisha kufa huna thamani kwa yoyote wakuwe wasikuweke mzoga hauna thamani
 
Na wewe ukifa utakamuliwa mavi yote kama mzee tashrif uingie peponi msafi?
 
My!:adu

Mtakuja zika ambao hawajafa!
Hasa hii Tabia ya kugusa kifua kuona Kama moyo unadunda!
Jirani yangu walimuwahisha bado mwili wamoto Naona Karna fia kaburini[emoji134]
 
Kasome kwanza dini kijana ndiyo uje na hoja sio hizi hoja za ki uislamu mambo leo/uislamu wa ki liberali (liberal islam) yaani kwamba alichokiongea mtume (hadithi) kisifuatwe kwa sababu zako unazoona wewe ni sawa? Hii dini ni ya Allah( the all knowing) na haiendeshwi kwa hoja za mtu na mtu dini ina misingi yake lazima ifuatwe kama Allah (the all powerful) alivyoweka .

Ingekuwa umesoma angalau quran kidogo ungeelewa kwamba mtum muhammad alikuwa hasemi kwa matamanio yake bali alikuwa anapokea wahyi/ufunuo kutoka kwa yule mwenye nguvu tuangalie hapa surat najm

Quran 53:3-4

{ وَمَا يَنطِقُ عَنِ ٱلۡهَوَىٰٓ }
[Surah An-Najm: 3]

3.Wala hatamki kwa matamanio.

{ إِنۡ هُوَ إِلَّا وَحۡيٞ يُوحَىٰ }
[Surah An-Najm: 4]

4. Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa.

Sasa wewe unakuja na uislamu mambo leo unakuja kutaka kubadili mambo yaendane na jinsi akili yako inavyoona nu sawa UTAPOTEA NA KUPOTEZA WENGI.

Kingine Allah (the almighty) anatuambia haya kwenye glorious quran katika surat nisaa aya ya 59

Quran 4:59

{ يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓاْ أَطِيعُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُواْ ٱلرَّسُولَ وَأُوْلِي ٱلۡأَمۡرِ مِنكُمۡۖ فَإِن تَنَٰزَعۡتُمۡ فِي شَيۡءٖ فَرُدُّوهُ إِلَى ٱللَّهِ وَٱلرَّسُولِ إِن كُنتُمۡ تُؤۡمِنُونَ بِٱللَّهِ وَٱلۡيَوۡمِ ٱلۡأٓخِرِۚ ذَٰلِكَ خَيۡرٞ وَأَحۡسَنُ تَأۡوِيلًا }
[Surah An-Nisâ': 59]

Ali Muhsin Al-Barwani:
Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi. Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Hayo ndiyo bora zaidi na ndiyo yenye mwisho mwema.

Nadhani kumalizia tu Allah ( the merciful one) anatuambia pia katika quran tukufu surat maidah aya ya 49

{ وَأَنِ ٱحۡكُم بَيۡنَهُم بِمَآ أَنزَلَ ٱللَّهُ وَلَا تَتَّبِعۡ أَهۡوَآءَهُمۡ وَٱحۡذَرۡهُمۡ أَن يَفۡتِنُوكَ عَنۢ بَعۡضِ مَآ أَنزَلَ ٱللَّهُ إِلَيۡكَۖ فَإِن تَوَلَّوۡاْ فَٱعۡلَمۡ أَنَّمَا يُرِيدُ ٱللَّهُ أَن يُصِيبَهُم بِبَعۡضِ ذُنُوبِهِمۡۗ وَإِنَّ كَثِيرٗا مِّنَ ٱلنَّاسِ لَفَٰسِقُونَ }
[Surah Al-Mâ'idah: 49]

Ali Muhsin Al-Barwani:
Na wahukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao. Nawe tahadhari nao wasije kukufitini ukaacha baadhi ya aliyo kuteremshia Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka, basi jua kwamba hakika Mwenyezi Mungu anataka kuwasibu kwa baadhi ya dhambi zao. Na hakika wengi wa watu ni wapotofu.

N.B
DINI HAIENDESHWI KWA MATAMANIO YETU
 
My!:adu

Mtakuja zika ambao hawajafa!
Hasa hii Tabia ya kugusa kifua kuona Kama moyo unadunda!
Jirani yangu walimuwahisha bado mwili wamoto Naona Karna fia kaburini[emoji134]
Unaweza kuorodhesha majina ya au taja angalau watatu waliowahi kuzikwa kabla ya kufa? Nipo hapa nasubiri
 
Madamu siyo dhambi kuhifadhi mwili kabla ya kuuzika haina shida! La muhimu tu ni kujua kama marehemu alikuwa ametubu dhambi kwa jina la Yesu kabla ya kufa ili aende peponi,(Luka 23:40-43).
Kama alikufa bila kutubu dhambi,hata angezikwa wakati anakata roho haisaidii,maana anakuwa ameenda mahali pabaya motoni,(Luka16:22-31)
 
Unatubu dhambi kwa kiumbe mwenzio yesu,huo ndio ushirikina na ukafiri kimbia haraka
 
My!:adu

Mtakuja zika ambao hawajafa!
Hasa hii Tabia ya kugusa kifua kuona Kama moyo unadunda!
Jirani yangu walimuwahisha bado mwili wamoto Naona Karna fia kaburini[emoji134]
Habari za uongo hizo watu wanajua mtu alie kufa hata alie hai
 
Pointless. Ndo umeongea nini sasa? Huna tofauti na sheikh Kabeke
Hiyo akili ya kujua nimeongea nini unayo? Kama bichwa unatumia kufugia nywele huoni unachoweza kuelewa labda ni kusuka tu? Idiot
 
Wachaga ndo wanakaa na maiti sana.

Hata Bwana Yesu alikufa leo na kuzikwa siku hiyo hiyo
Yesu ilikuwa ni Kwa ajili ya Kuiwahi sabato kwa sababu hawaruhusiwi kufanya kazi siku ya sabato.

Tatizo lenu hata Biblia hamsomi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…