Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

Hamia huko
 
Wakristo mnakua wajinga sana yni

Saaa si bora mtume wetu alooa kuliko nyie mapastor wenu wanowalawiti vitoto vdgooo

Ivi umelifikiria hili kweli?
Hata huku kwétu Uswazi unaitwa mchezo wa kisilamu mnamgeza!
[emoji116][emoji116]
Musnad Ahmad 16245—[Mua’wiya amesema]: Nilimuona Mtume akinyonya ulimi au midomo ya Al-Hassan bin Ali, sala za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake. Kwani hakuna ulimi wala midomo aliyonyonya nabii itakayoteswa na jehanamu ya moto.

[Kitabu Sahih Bukhari
Hadithi nambari 6474
Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: “Yeyote awezaye kudhamini kilicho baina ya taya zake mbili na kilichoko baina ya miguu yake miwili (yaani ulimi wake na sehemu zake za siri), basi ninamdhaminia Pepo.
 
Hapo laizzm gharama nazo ziwe kubwa.. matokeo yake kukalifishana kwenye michango ya malaki ya pesa...roho ishaenda kukutana na amali zake nyie manabaki kuranda randa na kukaa na mwili ulokuwa hauna tena faida
 
Kwani yesu alizaliwa tarehe ngapi mwezi wangapi mwaka gani na alikufa tarehe ngapi mwezi ngapi mwaka gani
 
Hapo laizzm gharama nazo ziwe kubwa.. matokeo yake kukalifishana kwenye michango ya malaki ya pesa...roho ishaenda kukutana na amali zake nyie manabaki kuranda randa na kukaa na mwili ulokuwa hauna tena faida
Kitaaaaaambo boss alifiwa na mkewe

Mwili ulikaa mochwar siku kadhaa wakat wanasubiriwa jamaa zake waje kutoka ng'ambo

Pale kiwandan tuliazimwa vidume kadhaa kwa ajili ya kuchangamsha baraza na tulienda na draft letu

Hatukuwa na malalamiko kwa sabab maslah yetu yalizingatiwa
 
Khaaaa!!!
 
Mbona unaandika kama upo juu ya dyudyu linakupekecha tigo...? Wewe bwabwa kweli si ujibu kwa ustaarabu au unadhan unajua sana kukebehi... Kachezewe mtaro usiniletee upuuzi
 
Mkuu naomba tuu hiyo style ya kutembea
 
Kwani yesu alizaliwa tarehe ngapi mwezi wangapi mwaka gani na alikufa tarehe ngapi mwezi ngapi mwaka gani
Hakuna taarifa maalumu , tunachojua siku aliokufa ndo aliyozikwa mana taarifa hzo ndo zimeandikwa
 
Hata shughuli zao tu mfano ndoa, hazina mambo mengi,kwa wamama mchawi kijora tu
 
Hapo laizzm gharama nazo ziwe kubwa.. matokeo yake kukalifishana kwenye michango ya malaki ya pesa...roho ishaenda kukutana na amali zake nyie manabaki kuranda randa na kukaa na mwili ulokuwa hauna tena faida
Una shida na hilo!? Au una_force kufanana!?
 
Vizuri sana kujiongezea mkuu, binadamu hutakiwi kuwa na akili za kushikiwa katika kila kitu.
 
Mada ni taarifa ya mzee Tashrif kufariki? Au kuwahi kuzika waislamu na kuchelewa wakristo?
 
hapa umedhihirisha ujahili wako km sio ukafiri
ina maana hata nguzo ya 5 katika uislam unaiita utalii sijawahi kuona mtu mwenye itikadi hii anayejinasibisha na uislam
Hakuna kitu kibaya kama kukariri, kwa hiyo mimi kuita hija ni utalii unaniita kafiri, hebu tutazame maana ya neno hijja


Hijja ama Hajj ina faida kubwa sana kwa nchi ya saudi arabia.

Baada ya mafuta.. chanzo cha pili cha mapato utalii wa kidini ambao ni Hijja.
Fungua hii link
 
[emoji123][emoji123][emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…