Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

Asili ya kukimbilia kuzika haraka siku hiyohiyo ulitoka ktk jamii za kimasikini... Kutokana na kushindwa kuhimili malipo ya kuhifadhi maiti wakashauriwa mtu akifa akazikwe haraka.Jamii haikupenda kuzika haraka ndipo dini ikatumika kushawishi kuzika haraka na jamii husika ikatii dini...

Kabla ya hizi dini binadam alikua anahifadhiwa wiki hadi mwezi bila kuzikwa, na hiyo process ya kuhifadhi maiti iliitwa MUMMIFICATION...
 
Uislam hauendeshwi kwa mawazo na busara zako, uislam unaendeshwa kwa kufata Quran na Sunnah

Katika uislam mambo matatu yanatakiwa yafanywe haraka.
1.Mtu anapohitaji kuoa aozeshwe haraka
2.Mtu anapotaka kuslim asilimishwe haraka
3.Mtu anapo fariki azikwe haraka.

Huo ndo uislam kila kitu kimefundishwa katika uislam had staili ya Kutembea, kula&Kunywa, kuvaa, kulala, kuamka, kiiila kitu kimefundishwa na huo ndo unatakiwa uwe mwenendo wa waislam na siyo burasa zako na maoni yako.
 

Shida iko wapi? Kwani tuna ugomvi na marehemu?
 
S
Ni ukengeufu hata biblia haijaainisha hvyo, imeainisha vilevile waislamu wanavyof

 
Sehemu na wakati ambapo nawakubali sana Waislamu ni kwenye misiba na ndoa, wana unyama mno
Kuwahi au kutowahi kumzika mtu sio big issue. Kuna jamaa muislam post 10 kaeleza vema sana. Saa zingine mtu kazimia tu we mnawahi kumpiga kituta
.
Kama watu mna uwezo hakuna ubaya kuchelewa kuzika kuwapa nafasi na wengine kushiriki ibada ya mazishi.

Maana kuhudhuria mazishi ni ibada na ukumbusho pia.
 
Tuwekee hiyo Hadithi
 
Miaka mia mbeleni kwa ongezeko la watu, ardhi ikiwa kwa uchache.. watu watachomwa moto na kuzika majivu... kuna lijitu lingine litapost jamiiforums ya miaka hiyo...
"Watu sikuhizi huchoma maiti na kuzika majivu ni kinyume na maandiko:😂😂😂
 
Umenikumbusha mwaka 2010 Mwanza kuna bibi ilisemekana kafariki taratibu za mazishi zikaanza wakati wa kuosha mwili kuna mama alisema anahisi bibi anapumua wakampuuza kwamba anaogopa maiti...wamemweka kwenye jeneza wakati wanampulizia perfum akapiga chafya watu.ndio kutoka mbio... kumbe ki bibi kilipoteza tu fahamu.
 
Nakubali nakubali mzee wangu, unakuta mtu ameamua kupumzika kwa muda mrefu labla amepumzika kwa siku mbili mfululizo afu raia wanataka kumuwahisha kwa Sir. God 😂
 
Chai hiiiii
 
Yah ameelezea vzr, ila kwenye hizo mambo Waislamu hua hawana mambo mengi kama Wakristo
 
Unajaribu kutetea lkn utetezi wako hauna mashiko,,,, kwa kuwa hata hao watu wa zamani uwezo wa kuhifadhi maiti walikuwa nao kwa njia wanazozijua wao mfano mafarao wa misri,,,, lkn yesu kazikwa siku hiyo hiyo sio sababu ya kuharibika mwili kama ulivyosema wewe bali ni utaratibu,,,, kwani kuna haja gani ya kuiweka maiti wiki mbili ili iweje,,
 
Hujaeleza points zozote ku counter aliyoeleza including technology ndogo ya kuhifadhi mwili enzi hizo.

Kwa maneno mengine wewe ni kiazi tu
 
Kabisa. Ndiyo maana vema sana daktari akathibitisha japo pia na madaktari wenyewe ndiyo humohumo na vilaza nao wamo kwa wingi.
 
Umeongea ukweli kidogo kwenye ishu ya wakristo.
 
Ni sawa na wasabato enzi za uyahudi kuwa warushe jiwe litapofikia ndo mwisho wao, kwa zama za sasa haiwezekani sababu usafiri upo kukupeleka kanisani
 
Unaakili sana mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…