Mimi ni muislam lakini katika suala la kuwahisha mazishi niko kinyume na wengi.
Maoni yako hayazingatiwi katika Uislam.
Kuzika haraka mtu anapofariki sio muongozo wa quran bali ni maelekezo ya mtume wetu
Sasa ndio umeandika nini? Muongozo wa Mtume hauendi kinyume na Qur-an. Uko wapi wewe na maneno ya Allah;
وَمَآ ءَاتَىٰكُمُ ٱلرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَىٰكُمْ عَنْهُ فَٱنتَهُوا۟
Whatever the Messenger gives you, take it. And whatever he forbids you from, leave it.
(Qur-an 59:7)
Sasa msikilize Mtume;
Sahih al-Bukhari 1315
Narrated Abu Huraira:
The Prophet (ﷺ) said, "Hurry up with the dead body for if it was righteous, you are forwarding it to welfare; and if it was otherwise, then you are putting off an evil thing down your necks."
حَدَّثَنَا عَلِيُّ بْنُ عَبْدِ اللَّهِ، حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، قَالَ حَفِظْنَاهُ مِنَ الزُّهْرِيِّ عَنْ سَعِيدِ بْنِ الْمُسَيَّبِ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ " أَسْرِعُوا بِالْجِنَازَةِ، فَإِنْ تَكُ صَالِحَةً فَخَيْرٌ تُقَدِّمُونَهَا {إِلَيْهِ}، وَإِنْ يَكُ سِوَى ذَلِكَ فَشَرٌّ تَضَعُونَهُ عَنْ رِقَابِكُمْ ".
| Reference | : Sahih al-Bukhari 1315 |
| In-book reference | : Book 23, Hadith 72 |
| USC-MSA web (English) reference | : Vol. 2, Book 23, Hadith 401 |
| (deprecated numbering scheme) | |
Report Error | Share | Copy ▼
Jami` at-Tirmidhi 1075
Ali bin Abi Talib narrated that:
The Messenger of Allah said to him: "O Ali! Three are not to be delayed: Salat when it is due, the funeral when it is presented, and (marriage) for the single woman when someone compatible is found."
حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ، حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ وَهْبٍ، عَنْ سَعِيدِ بْنِ عَبْدِ اللَّهِ الْجُهَنِيِّ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ عُمَرَ بْنِ عَلِيِّ بْنِ أَبِي طَالِبٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَلِيِّ بْنِ أَبِي طَالِبٍ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ لَهُ " يَا عَلِيُّ ثَلاَثٌ لاَ تُؤَخِّرْهَا الصَّلاَةُ إِذَا آنَتْ وَالْجَنَازَةُ إِذَا حَضَرَتْ وَالأَيِّمُ إِذَا وَجَدْتَ لَهَا كُفْؤًا " . قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ غَرِيبٌ وَمَا أَرَى إِسْنَادَهُ بِمُتَّصِلٍ .
Grade:Sahih (Darussalam)
Reference: Jami` at-Tirmidhi 1075
In-book reference: Book 10, Hadith 111
English translation: Vol. 2, Book 5, Hadith 1075
kutokana na wakati wao hakukuwa na teknolojia ya kuhifadhi maiti ili ikae muda mrefu.
Sababu hii ndio alitupa Mtume? Unajua kama Mtume alikuwa haongei kwa matamanio yake? Allah ambaye ni Mjuzi wa kila kitu, ambaye ndio kamfunulia Sharia atufikishie sisi, anajua zaidi.
Pia kutokana na joto la huko jangwani ikawa ni rahisi maiti kuharibika upesi, lakini pia kutokana na kukosa mawasiliano ya simu wakati huo ikawa sio rahisi kuwapelekea taarifa watu waliopo mbali ili wawahi mazishi, kwa hiyo mtume kwa hekima akasema kati ya mambo yanayotakiwa kufanywa haraka basi mazishi ni mojawapo.
Sasa kwa kuwa nyakati zimebadilika, teknolojia imekua kwa maana maiti inaweza kuhifadhiwa muda mrefu na pia wafiwa pengine wapo mbali na taarifa wamepata kupitia simu au whatsapp, je kuna ubaya gani kuchelewesha mazishi kwa sababu mazishi pia ni ibada mtu akihudhuria anapata thawabu.
Mambo hayapelekwi hivyo. Na dini haipelekwi kwa matamanio. Hata zamani kulikuwa na mbinu za asili za kuhifadhi maiti kwa muda mrefu lakini Sharia imesema azikwe haraka.
Mazishi ni ibada lakini sio ya wajibu kwa watu wote wawepo kuitekeleza. Wakipatikana wachache wakaitekeleza wanawatosheleza wengine wote. Ni Faradh kifaya, wakipatikana baadhi tu wakaitekeleza wengine wote wataondokewa na wajibu. Maiti haiwezi kucheleweshwa kwa sababu ulizotoa.
Haya ni maoni yangu binafsi kwa sababu kuna Uislam na Uarabu, kun mambo inabidi kuyafuata kama Uislam unavyosema lakini pia kuna masuala ya utamaduni wa kiarabu ambao huku kwetu hauko applicable sio mbaya kama tutaacha huo utamaduni bila kuathiri dhima ya Uislam.
Maoni yako binafsi hayazingatiwi.
Kuzika mapema ni katika Uislam.
Mwisho nakunasihi ndugu yangu pamoja na kuinasihi nafsi yangu, tusilete matamanio yetu binafsi katika dini. Tuifuate Qur-an na Sunnah juu ya Ufahamu wa Salaf.
Allah aniongoze mimi na wewe katika njia iliyonyooka.
وَمَا كَانَ لِمُؤْمِنٍۢ وَلَا مُؤْمِنَةٍ إِذَا قَضَى ٱللَّهُ وَرَسُولُهُۥٓ أَمْرًا أَن يَكُونَ لَهُمُ ٱلْخِيَرَةُ مِنْ أَمْرِهِمْ ۗ وَمَن يَعْصِ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ فَقَدْ ضَلَّ ضَلَـٰلًۭا مُّبِينًۭا ٣٦
It is not for a believing man or woman—when Allah and His Messenger decree a matter—to have any other choice in that matter.1 Indeed, whoever disobeys Allah and His Messenger has clearly gone ˹far˺ astray.
(Qur-an 33:36)
adriz Kazakh destroyer Kisai