Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

Utaratibu wetu wa mazishi unaongeza NATIONAL INCOME kwa asilimia kubwa sana

UNALALAMIKA BASI TU NI KWA VILE HUJATAKA KUWAZA KIKUBWA ZAIDI.

ngoja nikufafanulie..

1. kulaza mwili mochwari, ni hela kwa serikali
2. kuusafirisha mwili from mochwari to home, ni hela kwa Transporter
3. Kuvalisha mwili mavazi makali na bling bling ni hela kwa wafanyabiashara
4.
5.
6.
Yote kwa yote tulia kwenye imani yako
yakikubana baba hamia huko...
Mzee haijalishi kinachotakiwa marehemu kaifadhiwa na ndugu zake wamekuja wote na wameshiriki kuuga mwili wa marehemu ndugu yao,Waislam ni waroho sana.
 
Uislam hauendeshwi kwa mawazo na busara zako, uislam unaendeshwa kwa kufata Quran na Sunnah

Katika uislam mambo matatu yanatakiwa yafanywe haraka.
1.Mtu anapohitaji kuoa aozeshwe haraka
2.Mtu anapotaka kuslim asilimishwe haraka
3.Mtu anapo fariki azikwe haraka.

Huo ndo uislam kila kitu kimefundishwa katika uislam had staili ya Kutembea, kula&Kunywa, kuvaa, kulala, kuamka, kiiila kitu kimefundishwa na huo ndo unatakiwa uwe mwenendo wa waislam na siyo burasa zako na maoni yako.
Ndio maana nimeweka hapo kuwa ni maoni yangu binafsi na sio msimamo wa uislam, mimi sio mfuata kila linalosemwa kwa sababu natambua uislam asili yake sio huku kwetu na pia ni karne nyingi zimepita lazima mabadiliko yawepo.

Maelekezo ni kuwa mtu akifa inatakiwa azikwe haraka wakati huo, now lazima nifanye reasoning kwa nini ilisemwa hivi, nagundua ala kumbe wakati huo hakukua na teknolojia kubwa katika uhifadhi wa maiti, mawasiliano, uchukuzi n.k. Lakini uzuri zaidi imesisitizwa tu kuwa mazishi yafanyike haraka, hakuna palipotajwa kuwa yafanyike haraka kwa kiasi gani kwa hiyo kwako wewe masaa mawili unaweza kutafsiri kwamba ni haraka, yule akatafsiri haraka ni masaa sita na mimi nikasema haraka ni siku tatu, hakuna tatizo hapo.

Mimi sio kama wewe unafuata lolote bila kufanya reasoning, chochote kikitamkwa ni lazima kina sababu nyuma yake.
 
Watu mnataka kufanya maisha yawe magumu sana,yaani mfano baba yake mtu amemzaa,amemlea kumsomesha etc akate moto ninyi ndugu msimsubiri huyu mwanae aje ashiriki mazishi yake?

Niambie wapi imeandikwa ni dhambi mwili wa marehemu kuhifadhiwa kwa minajili ya kusubiri maziko ya pamoja ndugu wote washiriki.
Ukija kumzika atafufuka au atasamehewa dhambi zake ?
Mtu akisha kufa thamani yako imekwisha ww ni takataka unatakiwa kuzikwa haraka utoe kero kwa watu.
 
Hujui tu hao wanawahi ili wagawane urithi mapema usione msiban wamefunga swala washenzi sana hao
 
Asili ya kukimbilia kuzika haraka siku hiyohiyo ulitoka ktk jamii za kimasikini... Kutokana na kushindwa kuhimili malipo ya kuhifadhi maiti wakashauriwa mtu akifa akazikwe haraka.Jamii haikupenda kuzika haraka ndipo dini ikatumika kushawishi kuzika haraka na jamii husika ikatii dini...

Kabla ya hizi dini binadam alikua anahifadhiwa wiki hadi mwezi bila kuzikwa, na hiyo process ya kuhifadhi maiti iliitwa MUMMIFICATION...
Leta ushahidi wa hichi unacho kiongea.
 
Kwani kuna sehemu wamekukataza kuzika fasta? wakristo wengi maskini hasa vijijini wanazika fasta ni uchumi tu watu unaamua utakavyoishi na utakavyozikwa
 
Utaratibu wetu wa mazishi unaongeza NATIONAL INCOME kwa asilimia kubwa sana

UNALALAMIKA BASI TU NI KWA VILE HUJATAKA KUWAZA KIKUBWA ZAIDI.

ngoja nikufafanulie..

1. kulaza mwili mochwari, ni hela kwa serikali
2. kuusafirisha mwili from mochwari to home, ni hela kwa Transporter
3. Kuvalisha mwili mavazi makali na bling bling ni hela kwa wafanyabiashara
4.
5.
6.
Yote kwa yote tulia kwenye imani yako
yakikubana baba hamia huko...
4.Kuazimisha tents siku tatu HELA
5. Wapishi siku 3 HELA
6. Muziki siku 3 HELA
Inaongeza kipato kwa watu.
 
Watu mnataka kufanya maisha yawe magumu sana,yaani mfano baba yake mtu amemzaa,amemlea kumsomesha etc akate moto ninyi ndugu msimsubiri huyu mwanae aje ashiriki mazishi yake?

Niambie wapi imeandikwa ni dhambi mwili wa marehemu kuhifadhiwa kwa minajili ya kusubiri maziko ya pamoja ndugu wote washiriki.
Mtoa mada anadhani watu wanachelewesha maziko kama fashion....
 
Ukija kumzika atafufuka au amehewa dhambi zake ?

Mtu akisha kufa thamani yako imekwisha ww ni takataka unatakiwa kuzikwa haraka utoe kero kwa watu.
Wewe kama unazika nduguzo kama watu mliowahi kugombana ni wewe.

Hakuna palipoandikwa kumweka maiti zaidi ya muda fulani ni dhambi ndugu anaposhiriki mazishi ya ndugu yake husikia relief fulani kwamba at least amekuwa nae saa za mwisho hapa duniani,hukufundiswa hivyo vyema kuacha mambo yaende kama yalivyo.
 
Hujaeleza points zozote ku counter aliyoeleza including technology ndogo ya kuhifadhi mwili enzi hizo.

Kwa maneno mengine wewe ni kiazi tu
Wengi linapokuja suala la dini akili huzivua na kuweka pembeni na kubaki na mihemko tu,sometimes hutumia hata uwongo alimradi dini imetetewa.
 
Mimi ni muislam lakini katika suala la kuwahisha mazishi niko kinyume na wengi.
Maoni yako hayazingatiwi katika Uislam.
Kuzika haraka mtu anapofariki sio muongozo wa quran bali ni maelekezo ya mtume wetu
Sasa ndio umeandika nini? Muongozo wa Mtume hauendi kinyume na Qur-an. Uko wapi wewe na maneno ya Allah;

وَمَآ ءَاتَىٰكُمُ ٱلرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَىٰكُمْ عَنْهُ فَٱنتَهُوا۟

Whatever the Messenger gives you, take it. And whatever he forbids you from, leave it.
(Qur-an 59:7)



Sasa msikilize Mtume;



Sahih al-Bukhari 1315
Narrated Abu Huraira:
The Prophet (ﷺ) said, "Hurry up with the dead body for if it was righteous, you are forwarding it to welfare; and if it was otherwise, then you are putting off an evil thing down your necks."

حَدَّثَنَا عَلِيُّ بْنُ عَبْدِ اللَّهِ، حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، قَالَ حَفِظْنَاهُ مِنَ الزُّهْرِيِّ عَنْ سَعِيدِ بْنِ الْمُسَيَّبِ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ أَسْرِعُوا بِالْجِنَازَةِ، فَإِنْ تَكُ صَالِحَةً فَخَيْرٌ تُقَدِّمُونَهَا ‏{‏إِلَيْهِ‏}‏، وَإِنْ يَكُ سِوَى ذَلِكَ فَشَرٌّ تَضَعُونَهُ عَنْ رِقَابِكُمْ ‏"‏‏.‏

Reference: Sahih al-Bukhari 1315
In-book reference: Book 23, Hadith 72
USC-MSA web (English) reference: Vol. 2, Book 23, Hadith 401
(deprecated numbering scheme)
Report Error | Share | Copy ▼


Jami` at-Tirmidhi 1075
Ali bin Abi Talib narrated that:
The Messenger of Allah said to him: "O Ali! Three are not to be delayed: Salat when it is due, the funeral when it is presented, and (marriage) for the single woman when someone compatible is found."

حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ، حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ وَهْبٍ، عَنْ سَعِيدِ بْنِ عَبْدِ اللَّهِ الْجُهَنِيِّ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ عُمَرَ بْنِ عَلِيِّ بْنِ أَبِي طَالِبٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَلِيِّ بْنِ أَبِي طَالِبٍ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ لَهُ ‏ "‏ يَا عَلِيُّ ثَلاَثٌ لاَ تُؤَخِّرْهَا الصَّلاَةُ إِذَا آنَتْ وَالْجَنَازَةُ إِذَا حَضَرَتْ وَالأَيِّمُ إِذَا وَجَدْتَ لَهَا كُفْؤًا ‏"‏ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ غَرِيبٌ وَمَا أَرَى إِسْنَادَهُ بِمُتَّصِلٍ ‏.‏

Grade:Sahih (Darussalam)
Reference: Jami` at-Tirmidhi 1075
In-book reference: Book 10, Hadith 111
English translation: Vol. 2, Book 5, Hadith 1075


kutokana na wakati wao hakukuwa na teknolojia ya kuhifadhi maiti ili ikae muda mrefu.
Sababu hii ndio alitupa Mtume? Unajua kama Mtume alikuwa haongei kwa matamanio yake? Allah ambaye ni Mjuzi wa kila kitu, ambaye ndio kamfunulia Sharia atufikishie sisi, anajua zaidi.
Pia kutokana na joto la huko jangwani ikawa ni rahisi maiti kuharibika upesi, lakini pia kutokana na kukosa mawasiliano ya simu wakati huo ikawa sio rahisi kuwapelekea taarifa watu waliopo mbali ili wawahi mazishi, kwa hiyo mtume kwa hekima akasema kati ya mambo yanayotakiwa kufanywa haraka basi mazishi ni mojawapo.

Sasa kwa kuwa nyakati zimebadilika, teknolojia imekua kwa maana maiti inaweza kuhifadhiwa muda mrefu na pia wafiwa pengine wapo mbali na taarifa wamepata kupitia simu au whatsapp, je kuna ubaya gani kuchelewesha mazishi kwa sababu mazishi pia ni ibada mtu akihudhuria anapata thawabu.
Mambo hayapelekwi hivyo. Na dini haipelekwi kwa matamanio. Hata zamani kulikuwa na mbinu za asili za kuhifadhi maiti kwa muda mrefu lakini Sharia imesema azikwe haraka.

Mazishi ni ibada lakini sio ya wajibu kwa watu wote wawepo kuitekeleza. Wakipatikana wachache wakaitekeleza wanawatosheleza wengine wote. Ni Faradh kifaya, wakipatikana baadhi tu wakaitekeleza wengine wote wataondokewa na wajibu. Maiti haiwezi kucheleweshwa kwa sababu ulizotoa.
Haya ni maoni yangu binafsi kwa sababu kuna Uislam na Uarabu, kun mambo inabidi kuyafuata kama Uislam unavyosema lakini pia kuna masuala ya utamaduni wa kiarabu ambao huku kwetu hauko applicable sio mbaya kama tutaacha huo utamaduni bila kuathiri dhima ya Uislam.
Maoni yako binafsi hayazingatiwi.

Kuzika mapema ni katika Uislam.

Mwisho nakunasihi ndugu yangu pamoja na kuinasihi nafsi yangu, tusilete matamanio yetu binafsi katika dini. Tuifuate Qur-an na Sunnah juu ya Ufahamu wa Salaf.

Allah aniongoze mimi na wewe katika njia iliyonyooka.

وَمَا كَانَ لِمُؤْمِنٍۢ وَلَا مُؤْمِنَةٍ إِذَا قَضَى ٱللَّهُ وَرَسُولُهُۥٓ أَمْرًا أَن يَكُونَ لَهُمُ ٱلْخِيَرَةُ مِنْ أَمْرِهِمْ ۗ وَمَن يَعْصِ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ فَقَدْ ضَلَّ ضَلَـٰلًۭا مُّبِينًۭا ٣٦

It is not for a believing man or woman—when Allah and His Messenger decree a matter—to have any other choice in that matter.1 Indeed, whoever disobeys Allah and His Messenger has clearly gone ˹far˺ astray.

(Qur-an 33:36)

adriz Kazakh destroyer Kisai
 
Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa Leo , hvyo ndo inavyotakiwa , sisi wakristo ni wakengeufu sana , Hata Biblia haihalalishi kuhifadhi maiti mda mrefu , mfano Yesu alifariki akazikwa sku hyo hyo,

View attachment 2585799


Mlolongo wa mazishi kwetu sisi wakristo ni kama ifuatavyo.:

Mtu anafariki , anahifadhiwa mochwari sku nzima, kesho yake anahifadhiwa tena , sku inayofata watu wanajikusanya , sku inayofata anafanyiwa ibada fupi kanisa la nyumbani na anaagwa , sku inayofata anasafrishwa kwenda kwao , sku inayofata anafikishwa kwao, zinapita sku mbili akisubiriwa mwanae kwani yupo ulaya, baada ya hzo sku mbili sku inayofata inafanyika ibada fupi ( syo fupi kama unavyofkri) anaagwa , na kama makaburi yapo karbu basi huzikwa... Na kama yapo mbali husafrishwa na sku inayofuata huzikwaa... Too long

Watu washalia vya kutosha , watu wamesimamisha shughuli zao zaidi ya wiki wanazurura tuu, gharama zimeongezeka mara dufu mana watu wamekusanyika nyumbani kwake na kule anakozikwa pote lazima wahudumiwe, madaftari ya michango ya uongo na kweli kila kona na watu washapita na rambi rambi , mwisho wa sku familia kuachiwa mzigo wamadeni tumuage kwa mara ya mwisho.

Tashrifu hakuwa mtu mdogo ila mazishi yake yamezingatiwa kwa uharaka zaid....


Wakristo tuendelee kuchukua notisi
Mtu anayezikwa haraka haraka ni mwenye alikufa kwa magonjwa hatari ya kuambukiza kama EBOLA au CHOLERA! Kuzikwa mbio mbio ndiyo ataenda peponi direct!! Sisi lazima tumuage marehemu na tusubiriane,
 
Ndio maana nimeweka hapo kuwa ni maoni yangu binafsi na sio msimamo wa uislam, mimi sio mfuata kila linalosemwa kwa sababu natambua uislam asili yake sio huku kwetu na pia ni karne nyingi zimepita lazima mabadiliko yawepo.

Maelekezo ni kuwa mtu akifa inatakiwa azikwe haraka wakati huo, now lazima nifanye reasoning kwa nini ilisemwa hivi, nagundua ala kumbe wakati huo hakukua na teknolojia kubwa katika uhifadhi wa maiti, mawasiliano, uchukuzi n.k. Lakini uzuri zaidi imesisitizwa tu kuwa mazishi yafanyike haraka, hakuna palipotajwa kuwa yafanyike haraka kwa kiasi gani kwa hiyo kwako wewe masaa mawili unaweza kutafsiri kwamba ni haraka, yule akatafsiri haraka ni masaa sita na mimi nikasema haraka ni siku tatu, hakuna tatizo hapo.

Mimi sio kama wewe unafuata lolote bila kufanya reasoning, chochote kikitamkwa ni lazima kina sababu nyuma yake.
Tunarudi palepale Uislam hauendeshwi kwa busara na maoni yako msimamo wa uislam ni mtu akifa azikwe haraka
Wewe unayo hiyari ya kufata tararibu za uislam au ujitoe katika taratibu za uislam hulazimishwi katika hilo kaweke mochwari hata siku 6
 
Ndio maana nimeweka hapo kuwa ni maoni yangu binafsi na sio msimamo wa uislam, mimi sio mfuata kila linalosemwa kwa sababu natambua uislam asili yake sio huku kwetu na pia ni karne nyingi zimepita lazima mabadiliko yawepo.

Maelekezo ni kuwa mtu akifa inatakiwa azikwe haraka wakati huo, now lazima nifanye reasoning kwa nini ilisemwa hivi, nagundua ala kumbe wakati huo hakukua na teknolojia kubwa katika uhifadhi wa maiti, mawasiliano, uchukuzi n.k. Lakini uzuri zaidi imesisitizwa tu kuwa mazishi yafanyike haraka, hakuna palipotajwa kuwa yafanyike haraka kwa kiasi gani kwa hiyo kwako wewe masaa mawili unaweza kutafsiri kwamba ni haraka, yule akatafsiri haraka ni masaa sita na mimi nikasema haraka ni siku tatu, hakuna tatizo hapo.

Mimi sio kama wewe unafuata lolote bila kufanya reasoning, chochote kikitamkwa ni lazima kina sababu nyuma yake.
Kaa kimia huna elimu yeyote kuhusu sheria za kiislam na tena mwenyezi mungu amekemea vikali tabia ya kuongea kitu usicho kuwa na elimu nacho.
Suala la kuzika lipo kisheria na sio matakwa ya mtu fulani.
 
Ndio maana nimeweka hapo kuwa ni maoni yangu binafsi na sio msimamo wa uislam, mimi sio mfuata kila linalosemwa kwa sababu natambua uislam asili yake sio huku kwetu na pia ni karne nyingi zimepita lazima mabadiliko yawepo.

Maelekezo ni kuwa mtu akifa inatakiwa azikwe haraka wakati huo, now lazima nifanye reasoning kwa nini ilisemwa hivi, nagundua ala kumbe wakati huo hakukua na teknolojia kubwa katika uhifadhi wa maiti, mawasiliano, uchukuzi n.k. Lakini uzuri zaidi imesisitizwa tu kuwa mazishi yafanyike haraka, hakuna palipotajwa kuwa yafanyike haraka kwa kiasi gani kwa hiyo kwako wewe masaa mawili unaweza kutafsiri kwamba ni haraka, yule akatafsiri haraka ni masaa sita na mimi nikasema haraka ni siku tatu, hakuna tatizo hapo.

Mimi sio kama wewe unafuata lolote bila kufanya reasoning, chochote kikitamkwa ni lazima kina sababu nyuma yake.
Kwahiyo hadi leo hiyo teknolojia haipo ya kuhifadhi mwili? Vp wanaitumia? Sheria za uislam kwenye Mazishi ziko vile vile wewe usitumie utashi wako.

Mbona hujataka kubadili mtindo wa kuswali?

Huna akili
 
Mtu anafariki , anahifadhiwa mochwari sku nzima, kesho yake anahifadhiwa tena , sku inayofata watu wanajikusanya , sku inayofata anafanyiwa ibada fupi kanisa la nyumbani na anaagwa , sku inayofata anasafrishwa kwenda kwao , sku inayofata anafikishwa kwao, zinapita sku mbili akisubiriwa mwanae kwani yupo ulaya, baada ya hzo sku mbili sku inayofata inafanyika ibada fupi ( syo fupi kama unavyofkri) anaagwa , na kama makaburi yapo karbu basi huzikwa... Na kama yapo mbali husafrishwa na sku inayofuata huzikwaa... Too long
Bora sisi Tz, Mgabe walizurura naye mara huku mara kule wakarudi wakapumzika, wakaanza tena mpaka wanamzika wengine tulishasahau
 
Ancha munkari Sheikh..!!!...ss sote ni Waislam na kwa kiwango fulani tumesoma dini..., ni kweli hayo uliosema ni sawia kabisa .. dini ya Kiislam inaendeshwa na Hadithi pamoja na Qur'an..!!!..hajasema kuwa Uislam uendeshwe kwa mawazo yake...,
Point kubwa hapo alioisema ambayo hata mm nime inote ni kuwa kuna Dini ya Islam na kuna tamaduni za Kiarabu...., kumbuka kabla ya Mtume hata kuzaliwa kulikuwa na Waarabu na walikuwa na Mila na Tamaduni zao....,wakapata bahati ya kushushwa Mtume ktk ardhi yao..., sote tunajua hata Mtume alipofariki hakuzikwa siku hiyo hiyo na alikuepo Khalifa wa kwanza Aboubakar..., na mtoto wake Aisha(mke wa Mtume)....hayo maneno ya kuzikwa siku hiyo hiyo waliyasikia live kutoka kwa Mtume mwenyewe lakini hawakumzika siku hiyo hiyo...!!!

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Hulazimishwi kufata utaratibu wa kiislam unayo hiyari ya kujitoa katika taratibu za kiislam na ukafata busara zako ukaweka hata mwezi mzima maiti
 
Back
Top Bottom