Mleta Uzi huu ana point moja yenye umuhimu katika wakati huu ambapo tumekuwa wengi na vifo ni vingi.
Pointi ni kuhusu muda mrefu unaotumika katika utaratibu wa mazishi ya Wakristo na gharama zake. Marehemu anaweza kusaliwa mara 3 hadi 4 tangu huko alikofia hadi kaburini. Mara nyingine waongoza ibada hawajali kabisa usalama wa waombolezaji wanaosafiri Kurudi walikotoka wakicheleweshwa na kulazimika kusafiri usiku. Sitaki kutaja wanaotumia madhishi kama fursa.
Pointi ni kuhusu muda mrefu unaotumika katika utaratibu wa mazishi ya Wakristo na gharama zake. Marehemu anaweza kusaliwa mara 3 hadi 4 tangu huko alikofia hadi kaburini. Mara nyingine waongoza ibada hawajali kabisa usalama wa waombolezaji wanaosafiri Kurudi walikotoka wakicheleweshwa na kulazimika kusafiri usiku. Sitaki kutaja wanaotumia madhishi kama fursa.