Utakuwa huelewi! Unajua kwanini Yesu alizikwa siku hiyo hiyo? Kasome Biblia vizuri! Kama isingekuwa maandalio ya Sabato maanake mwili wa Yesu ungeshinda pale msalabani! Usilazimishe tufanane na Waislam!Ni ukengeufu hata biblia haijaainisha hvyo, imeainisha vilevile waislamu wanavyofanya
Hili jamaa ni popoma tu ndiyo shida!Watu mnataka kufanya maisha yawe magumu sana,yaani mfano baba yake mtu amemzaa,amemlea kumsomesha etc akate moto ninyi ndugu msimsubiri huyu mwanae aje ashiriki mazishi yake?
Niambie wapi imeandikwa ni dhambi mwili wa marehemu kuhifadhiwa kwa minajili ya kusubiri maziko ya pamoja ndugu wote washiriki.
Watu wanaendeshwa na tamaduni za kale tena za uzao mwingine wa mbali kuliko wa kwao, yaani ni sawa na mtume kufuga ndevu kwa sababu ya kutokua na kifaa Cha kunyolea wakati huo, leo muafrika wa Masasi au Kigoma anasema ndevu ni Sunnah ya mtume[emoji23][emoji23] Yaani hii Afrika aiseeMimi ni muislam lakini katika suala la kuwahisha mazishi niko kinyume na wengi.
Kuzika haraka mtu anapofariki sio muongozo wa quran bali ni maelekezo ya mtume wetu kutokana na wakati wao hakukuwa na teknolojia ya kuhifadhi maiti ili ikae muda mrefu.
Pia kutokana na joto la huko jangwani ikawa ni rahisi maiti kuharibika upesi, lakini pia kutokana na kukosa mawasiliano ya simu wakati huo ikawa sio rahisi kuwapelekea taarifa watu waliopo mbali ili wawahi mazishi, kwa hiyo mtume kwa hekima akasema kati ya mambo yanayotakiwa kufanywa haraka basi mazishi ni mojawapo.
Sasa kwa kuwa nyakati zimebadilika, teknolojia imekua kwa maana maiti inaweza kuhifadhiwa muda mrefu na pia wafiwa pengine wapo mbali na taarifa wamepata kupitia simu au whatsapp, je kuna ubaya gani kuchelewesha mazishi kwa sababu mazishi pia ni ibada mtu akihudhuria anapata thawabu.
Haya ni maoni yangu binafsi kwa sababu kuna Uislam na Uarabu, kun mambo inabidi kuyafuata kama Uislam unavyosema lakini pia kuna masuala ya utamaduni wa kiarabu ambao huku kwetu hauko applicable sio mbaya kama tutaacha huo utamaduni bila kuathiri dhima ya Uislam.
HakikaHatuwezi kufanana kamwe, kila mtu afanye yanayomuhusu...
Usinijazie maswali ili kunitoa nje ya mada tukae hapahapa kwenye lengo la uzi.Sasa kama unajifunza kwanini useme Mazishi sio moja ya Sheria za Uislam kwamba yafanyike kwa haraka?
Kwako wewe kama hujui kitu kwenye dini kwanini useme hizo ni Tamaduni tu wakati unajua wazi huna unalolijua kwenye Dini?
Kuhusu hilo la shahada rudi usome niliandika nini.
Mwisho huna unalojua kwenye Dini umekuja na Google na imekutoa mchezoni.
Acha Unafiki. Hayo Maswali utagoogle hadi upasuke kichwa hutokaa hujibu, na ndio maana nikakuuliza hayo maswali kupima uelewa wako kwenye Dini.
Mkuu kuwahi au kuchelewa yote ni sawa ujinga wangu upoje???????Sio lazima watu wooote duniani tuwe na mapokea ya dini ya kiarabu.Waafrika wabantu tuna taratibu zetu kuhusu mazishi mkuu.Ww ni mjingaa
Nyie mnochelewesha kuzika niletee maiti moja ilofufuka
Lete takwimu za walio tangazwa kufariki na kuwekwa mortuary, then baada ya muda fulani waka fufuka..?Unawezakuwa umezimia tu wakawahi kuzika chap. ukizinduka ndio utajua hujui
Sawa naona unaham ya kuzikwaNi ukengeufu hata biblia haijaainisha hvyo, imeainisha vilevile waislamu wanavyofanya
Acha kukaza kichwa mtu akisha kufa hana lake tena duniani hakuna haja ya kukaa naye ndani mpaka anakuwa kelo kwa wengine ,unapo kaa na mfu ndani siku nne kwa sababu zako jua kuna watu hapo unawaharibia ratiba zao kwa kitu ambacho hakina faida yeyote, na mbaya zaidi unaanza kuomba michango ya kuendesha msiba yaani kero tu.Na ni upumbavu zaidi pale mzoga mtarajiwa unapojaribu kuu-insult mzoga uliojipumzikia ukiwa haujui kama kuna mzoga usiojitambua umemsema vibaya.
Nataka kujua mfano angefariki akiwa Marekani angezikwa siku hiyohiyo huko Marekani au taratibu za kumsafirisha kuja Tanga zingefanyika? Km ni ndiyo kulikua na uwezekano wa kuzikwa siku hiyohiyo au utaratibu wa dini ungevunjwa???Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa Leo , hvyo ndo inavyotakiwa , sisi wakristo ni wakengeufu sana , Hata Biblia haihalalishi kuhifadhi maiti mda mrefu , mfano Yesu alifariki akazikwa sku hyo hyo,
View attachment 2585799
Mlolongo wa mazishi kwetu sisi wakristo ni kama ifuatavyo.:
Mtu anafariki , anahifadhiwa mochwari sku nzima, kesho yake anahifadhiwa tena , sku inayofata watu wanajikusanya , sku inayofata anafanyiwa ibada fupi kanisa la nyumbani na anaagwa , sku inayofata anasafrishwa kwenda kwao , sku inayofata anafikishwa kwao, zinapita sku mbili akisubiriwa mwanae kwani yupo ulaya, baada ya hzo sku mbili sku inayofata inafanyika ibada fupi ( syo fupi kama unavyofkri) anaagwa , na kama makaburi yapo karbu basi huzikwa... Na kama yapo mbali husafrishwa na sku inayofuata huzikwaa... Too long
Watu washalia vya kutosha , watu wamesimamisha shughuli zao zaidi ya wiki wanazurura tuu, gharama zimeongezeka mara dufu mana watu wamekusanyika nyumbani kwake na kule anakozikwa pote lazima wahudumiwe, madaftari ya michango ya uongo na kweli kila kona na watu washapita na rambi rambi , mwisho wa sku familia kuachiwa mzigo wamadeni
Tashrifu hakuwa mtu mdogo ila mazishi yake yamezingatiwa kwa uharaka zaid....
Wakristo tuendelee kuchukua notisi
Acha upumbavu hilo la marehemu kupata maumivu liko kiimani zaidi ,ila kiuhalisia kukaa na mtu ambaye ameshakufa ndani ni kelo kwa watu wengine ambao wanaharibu ratiba za biashara zao , wengine walikuwa na Safari zao zinaharibika kwa ajili yako kungangania kukaa na mfu ndani na mbaya zaidi unaanza kuomba michango kwa ajili ya kuendelea kuhudumia msiba.Upumbavu zaidi ni kuamini kuwa Mzoga unaendelea kupata maumivu kisa haujazikwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Na akifika kaburini anaanza kuhojiwa na kuadhibiwa mdogomdogo [emoji23]
Umeongea sahihi kabisa, wengi wanachanganya uislam na uarabu. Tamaduni za kiarabu zimegeuzwa kuwa tamaduni za kiislam, hivyo hivyo kwa wakristo. Ndugu yangu hawezi kufa leo akazikwa leo, hapana kwa kweli.Mimi ni muislam lakini katika suala la kuwahisha mazishi niko kinyume na wengi.
Kuzika haraka mtu anapofariki sio muongozo wa quran bali ni maelekezo ya mtume wetu kutokana na wakati wao hakukuwa na teknolojia ya kuhifadhi maiti ili ikae muda mrefu.
Pia kutokana na joto la huko jangwani ikawa ni rahisi maiti kuharibika upesi, lakini pia kutokana na kukosa mawasiliano ya simu wakati huo ikawa sio rahisi kuwapelekea taarifa watu waliopo mbali ili wawahi mazishi, kwa hiyo mtume kwa hekima akasema kati ya mambo yanayotakiwa kufanywa haraka basi mazishi ni mojawapo.
Sasa kwa kuwa nyakati zimebadilika, teknolojia imekua kwa maana maiti inaweza kuhifadhiwa muda mrefu na pia wafiwa pengine wapo mbali na taarifa wamepata kupitia simu au whatsapp, je kuna ubaya gani kuchelewesha mazishi kwa sababu mazishi pia ni ibada mtu akihudhuria anapata thawabu.
Haya ni maoni yangu binafsi kwa sababu kuna Uislam na Uarabu, kun mambo inabidi kuyafuata kama Uislam unavyosema lakini pia kuna masuala ya utamaduni wa kiarabu ambao huku kwetu hauko applicable sio mbaya kama tutaacha huo utamaduni bila kuathiri dhima ya Uislam.
Utaratibu wetu wa mazishi unaongeza NATIONAL INCOME kwa asilimia kubwa sana
UNALALAMIKA BASI TU NI KWA VILE HUJATAKA KUWAZA KIKUBWA ZAIDI.
ngoja nikufafanulie..
1. kulaza mwili mochwari, ni hela kwa serikali
2. kuusafirisha mwili from mochwari to home, ni hela kwa Transporter
3. Kuvalisha mwili mavazi makali na bling bling ni hela kwa wafanyabiashara
4.
5.
6.
Yote kwa yote tulia kwenye imani yako
yakikubana baba hamia huko...
Hiki ni kiarabu kweli hiki.Lakum deenukum waliya deen.
Sisi tuna dini yetu na nyie mna dini yenu.
Ungejua process ya uoshaji maiti unavyofanyika wala usingeandika uliyoyaandika.Unawezakuwa umezimia tu wakawahi kuzika chap. ukizinduka ndio utajua hujui
Mtu kama kazimia kwenye process za kuoshwa lazima azindukeKuwahi au kutowahi kumzika mtu sio big issue. Kuna jamaa muislam post 10 kaeleza vema sana. Saa zingine mtu kazimia tu we mnawahi kumpiga kituta
.
Kama watu mna uwezo hakuna ubaya kuchelewa kuzika kuwapa nafasi na wengine kushiriki ibada ya mazishi.
Maana kuhudhuria mazishi ni ibada na ukumbusho pia.
UongoUmenikumbusha mwaka 2010 Mwanza kuna bibi ilisemekana kafariki taratibu za mazishi zikaanza wakati wa kuosha mwili kuna mama alisema anahisi bibi anapumua wakampuuza kwamba anaogopa maiti...wamemweka kwenye jeneza wakati wanampulizia perfum akapiga chafya watu.ndio kutoka mbio... kumbe ki bibi kilipoteza tu fahamu.