Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

Movie zilizotafsiliwa sizipendi zimejaa kelele nyingi halafu quality ya movie inakuwa mbovu maana wanapunguza pixel.
Hii movie inabaki kwenye ubora wake.
Mkuu ni kweli kabisa,mkifanya hivyo mtatusaidia sana sii ambao movies jdo burudani yetu
 
Yani ni hivi kama movie hazichezi kwenye deki inawezekana uwezo wa movie ni mkubwa kuliko deki,cha kufaya weka flash yako irudishe kwenye pc yako kwa mara nyingine tena harafu! Hizo movie ambazo umeshazichukua zirudishe tena kwenye pc au kama zimo basi unachukua moja unaipeleka kwenye file flani hivi limeandikwa convert,

Sasa hapo unachagua kuna aina nyingi za kuweka mfumo gani unaotaka sasa wewe chukua la MPEG4 mara nyingi ndo huwa inacheza kwenye deki harafu convert zote hizo! Baada ya hapo urudishe kwenye deki zitacheza.🙏
mkuu nasema ubarikiwe vilivyo
 
Mdau, kuna movie ya kikorea inaitwa "the suspect" naitafuta sana , dondosha mule twende nayo sambamba
 
Hahaha ila umeadimika sana mkuu
[emoji2] nipo mkuu siunajua tena harakati za kusaka shekeli, nakupata vilivyo mkuu kila ukidondosha kitu huku na kule chimbo,.. Ile chanel yko ya series imebeba karibu kila kitu nailia timing tu.
 
[emoji2] nipo mkuu siunajua tena harakati za kusaka shekeli, nakupata vilivyo mkuu kila ukidondosha kitu huku na kule chimbo,.. Ile chanel yko ya series imebeba karibu kila kitu nailia timing tu.
Kila takataka ipo mzee baba.
 
Embu weka link ya telegram me naona mapicha picha tu
 
Back
Top Bottom