Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

Nimegundua hili tatizo ni kutokana na low storage space ya cm kwa sasa inadownload ikifika mb 300 inakata inaanza upyaa. Chek vzr mkuu lazima kuna space inahitajika kwenye cm ili kuweza kusaidia kuhifadhi muvi zinazopakuliwa toka telegram ata kama usipoihamisha to gallary
Mkuu, hilo sio kwa Telegram tu, ni obvious ili kila app ifanye kazi kuna kiasi cha space lazima kiwapo kwa simu. Ila sio kwa kiasi hiko cha kuhamishia movies kwa gallery
 
Yaan nimetafuta line ya halotel iko spid balaa, sema sasa imeshuka movie moja tu ya 1000mb nyingine zote nikijaribu zinakaseli njian, na sim inaleta ile mesej ya memory full kiasi kwamba ata meseji haziingii, imenibidi ni unistall tu telegram na mambo yakakaa sawa.
Clean cache ya telegram yako tafadhali
 
Mkuu movie zako zingine kule telegram kuna baadhi nyingine usimulii zingine unasimulia, unajua mfano kama mimi ukishasimulia najua hii movie ni kali au siyo kali kwangu lakini sijui! Mfano kama Along with the Gods ile ya jamaa ni zimamoto alikufa, sasa ile nimependa story yake nitaipakua! Ila kuna moja hivi ya 1BR ya yule mwanadada aliepanga chumba ata sijaielewa mkuu! Lakini samahani mi napenda uwe unasimulia kidogo harafu unaachia katikati mtu atajua tu hii movie nimependa au sijaipenda story yake,

Kingine mkuu kule YouTube channel yako sijui ni kwangu tu naona kuna movie tatu ambazo ndo umesimulia sasa sijui nakosea wapi! Yote kwa yote natanguliza shukrani zangu za dhati, Ni maoni yangu tu💪
 
Mkuu movie zako zingine kule telegram kuna baadhi nyingine usimulii zingine unasimulia, unajua mfano kama mimi ukishasimulia najua hii movie ni kali au siyo kali kwangu lakini sijui! Mfano kama Along with the Gods ile ya jamaa ni zimamoto alikufa, sasa ile nimependa story yake nitaipakua! Ila kuna moja hivi ya 1BR ya yule mwanadada aliepanga chumba ata sijaielewa mkuu! Lakini samahani mi napenda uwe unasimulia kidogo harafu unaachia katikati mtu atajua tu hii movie nimependa au sijaipenda story yake,

Kingine mkuu kule YouTube channel yako sijui ni kwangu tu naona kuna movie tatu ambazo ndo umesimulia sasa sijui nakosea wapi! Yote kwa yote natanguliza shukrani zangu za dhati, Ni maoni yangu tu[emoji123]
Nashukuru mzee baba kwa mrejesho wako.

Ni kweli kule kwenye channel nasimulia movie baadhi tu, tena siku ambazo nakuwa na muda sababu natuma movies nyingi sana mzee baba, hivyo siwezi kuelezea kila mojawapo.

Nitajitahidi, lakini napata wazo la kuanzisha group lingine la Movies ambapo ntakuwa natuma movies ambazo tayari zina substitles ndani yake na pia maelezo yake kwa kina.

Lakini itakuwa na malipo madogo mkuu nami nipate hamasa.

Kuhusu Youtube, bado channel ni mpya, natoa video moja kwa juma, ndo maana unaziona zipo tatu tu. Lakini usijali, kadiri tunavyoenda ndivyo zinajaa...nipe muda.
 
Okey shukrani! Nimetoka kupakua movie ya the hunt asee bonge mmoja ya movie mara ya kwanza alieanza kuamka ndo staa wa movie 😲eeh naona kapigwa risasi haloo kumbe yani star mwanzoni humjui🤦🙉
 
Okey shukrani! Nimetoka kupakua movie ya the hunt asee bonge mmoja ya movie mara ya kwanza alieanza kuamka ndo staa wa movie [emoji44]eeh naona kapigwa risasi haloo kumbe yani star mwanzoni humjui[emoji1751][emoji86]
Tazama na 12 strong. Hunter Killer. Real Steel.
 
Tazama na 12 strong. Hunter Killer. Real Steel.
Mkuu kwa tunaotumia simu kudownload movie kisha tunazihamishia kwenye flash kupitia laptop then tunaziangalia kwenye tv kwa kuchomeka kwenye dvd sisi tunafanyaje ili subtitttle ikae pale mpaka kwenye tv ?

Alafu pili mkuu mbona nimedownload movie kwa simu,nikaisave kwa galley,then nikachukua laptop nikachomeka flash na nikaweka usb mpaka kwenye simu.

Zile movie za telegram kwenye pc zinaplay vizuri tu,

Nikaona nizihamishie kwenye flash ili niweze kuangalia kwenye tv.

Nilipoziamishia zikaingia kweli,ila flash nilipoichomeka kwenye deki kule ikaja list ya zile movie,ila cha ajabu ni kuwa nikiplay inasema UNSUPPORTED FORMAT.

je tatizo nini mpaka movie niliyoipata telegram, nikaiweka kwenye galley na kuiweka kwenye pc then movir hiyo nikaitoa kwemye pc kuingiza kwenye flash na hiyo flash kuichomeka kwenye dvd why inakuwaa haiplay hiyo movie kwenye tv mkuu?

Naomba msaada wako kiongozi
 
Tazama na 12 strong. Hunter Killer. Real Steel.
Mkuu kwa tunaotumia simu kudownload movie kisha tunazihamishia kwenye flash kupitia laptop then tunaziangalia kwenye tv kwa kuchomeka kwenye dvd sisi tunafanyaje ili subtitttle ikae pale mpaka kwenye tv ?

Alafu pili mkuu mbona nimedownload movie kwa simu,nikaisave kwa galley,then nikachukua laptop nikachomeka flash na nikaweka usb mpaka kwenye simu.

Zile movie za telegram kwenye pc zinaplay vizuri tu,

Nikaona nizihamishie kwenye flash ili niweze kuangalia kwenye tv.

Nilipoziamishia zikaingia kweli,ila flash nilipoichomeka kwenye deki kule ikaja list ya zile movie,ila cha ajabu ni kuwa nikiplay inasema UNSUPPORTED FORMAT.

je tatizo nini mpaka movie niliyoipata telegram, nikaiweka kwenye galley na kuiweka kwenye pc then movir hiyo nikaitoa kwemye pc kuingiza kwenye flash na hiyo flash kuichomeka kwenye dvd why inakuwaa haiplay hiyo movie kwenye tv mkuu?

Naomba msaada wako kiongozi
 
Sasa skia rudisha tena flash kwenye laptop convert movie zote hizo chagua file la MPEG ndo huwa zinacheza kwenye deki
 
Nimeshaeleza huko juu. Hii channel ni public sio private so ukisearch tu unaipata. Ingia Telegram kisha bonyeza alama ya kusearch juu kuume kisha andika Movies na stories utatupata.

Kwa series napo search Chumba cha series utatuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mbona nikisearch siipati?, naambiwa no result found..
 
Mkuu mwendelezo vipi lakini wa movies maana naona akiba yangu inaisha?
 
Back
Top Bottom