Mkuu ni kweli kabisa,mkifanya hivyo mtatusaidia sana sii ambao movies jdo burudani yetuMovie zilizotafsiliwa sizipendi zimejaa kelele nyingi halafu quality ya movie inakuwa mbovu maana wanapunguza pixel.
Hii movie inabaki kwenye ubora wake.
mkuu nasema ubarikiwe vilivyoYani ni hivi kama movie hazichezi kwenye deki inawezekana uwezo wa movie ni mkubwa kuliko deki,cha kufaya weka flash yako irudishe kwenye pc yako kwa mara nyingine tena harafu! Hizo movie ambazo umeshazichukua zirudishe tena kwenye pc au kama zimo basi unachukua moja unaipeleka kwenye file flani hivi limeandikwa convert,
Sasa hapo unachagua kuna aina nyingi za kuweka mfumo gani unaotaka sasa wewe chukua la MPEG4 mara nyingi ndo huwa inacheza kwenye deki harafu convert zote hizo! Baada ya hapo urudishe kwenye deki zitacheza.🙏
si kweli mkuu,ladha inabaki ile ileItapoteza ladha sana mzee, itakuwa ni sawa na unaangalia katuni, imagine mzigo kama 12 Strong uwe kiswahili[emoji16]
Haina shidaMdau, kuna movie ya kikorea inaitwa "the suspect" naitafuta sana , dondosha mule twende nayo sambamba
Movies Na StoriesMkuu naomba link ya channel yako huko telegram
Mi sina series yoyote ya ku request, series ninazozitaman karibu zote naona umezishusha kule chimbo, mchawi bando na space tu[emoji2]
Hahaha ila umeadimika sana mkuuMi sina series yoyote ya ku request, series ninazozitaman karibu zote naona umezishusha kule chimbo, mchawi bando na space tu[emoji2]
[emoji2] nipo mkuu siunajua tena harakati za kusaka shekeli, nakupata vilivyo mkuu kila ukidondosha kitu huku na kule chimbo,.. Ile chanel yko ya series imebeba karibu kila kitu nailia timing tu.Hahaha ila umeadimika sana mkuu
Kila takataka ipo mzee baba.[emoji2] nipo mkuu siunajua tena harakati za kusaka shekeli, nakupata vilivyo mkuu kila ukidondosha kitu huku na kule chimbo,.. Ile chanel yko ya series imebeba karibu kila kitu nailia timing tu.
Hujaiona kweli?Strike back mkuu itapendeza pia
Labda sijaangalia vzrHujaiona kweli?
Ebu chekLabda sijaangalia vzr
Chanel nikisearch naambiwa not foundEbu chek
Mbona nshaweka link mzee. Channel sio public tena.Chanel nikisearch naambiwa not found
Nimecheki mwanzo mwisho mkuu, haipo.Ebu chek