Mzee wa kulia akikamatwa kwenye umbea

Ni lini uliwahi kucheck afya ya kinywa chako?



kila nikiona I'D ya Matola,huwa inanikumbusha lile kundi LA bongo flavor,walijiita Uswahilini Matola..

BTW..ni mwaka Jana tu,nilicheki kinywa na dokta alingoa jino
 
Kiufupi sperm=shahawa
Semen=Maji Maji ya uume

Mi hata sikubishaniii naongea ukweli,, ndio mana hayo Mengine uliyo mention sijayabishia ,,sasa km unafikiri tunatafuta mshindi hapa,sipo huko. Sio kila kitu lazima ujue kubali kukosolewa
 
Komenti zinaongea mkuuu ....
 



Wakuu,jamaa hata akipona tayari jina limechafuka,,cdm wamewasha moto huko wanadai aliikashifu afya ya kipenzi cha roho zao
 
Alafu siku hzi wenye ngoma ndio wanafya nzuri wametakata ukiambiwa ana ngoma unabisha. Chakusikitisha zaidi sio wachoyo wa K kabisa
 
Acha uongo ......Botswana Rate ya maambukizi nikubwa ila sio kwamba waathiriwa wanawazidi wasoathiriwa !!...na sababu kubwa ya maambukizi kule sio ngono...

Mila nadesturi zao !!.
Mkuu jamaa yupo sahihi Botswana na Swaziland idadi ya walioambukizwa ni wengi kuliko walio salama hasa kwa upande wa wanawake ngoja nikutafutie source
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…