Ni lini uliwahi kucheck afya ya kinywa chako?
Kiufupi sperm=shahawaWewe ndio ukasome tena hapa na uje uniambie ni vitu gani ndani ya mwili wa binadamu hubeba virusi vya ukimwi?
Kwa taarifa tuu kuna utofauti mkubwa kati ya shahawa na mbegu.....mimba hutungwa na mbengu... Shahawa husaidia kusafirisha mbegu hadi mji wa mimba...
Hebu nielimishe ni vitu gani ndani ya mwili wa binadamu hubeba virusi vya Ukimwi?
Komenti zinaongea mkuuu ....jf hataree kinyama
~wapo wanaowadanganya wenzao,waingiemo kichwa kichwa
~wapo ambao kupima HIV ni haramu
~kuna +ve kibao wamekazana oohh ngoma ni historia
~wapo -ve,ambao hawaelewi waendelee na condom au nyama nyama
~wengine daily wanakula ARVs hata hawaelewi waendelee nazo ama waache
Comments zinaongea
Mkuu sikuwezi, salute kwakoNi steve wa bongo movie,anaumwa sana za chini ya kapeti na imefanywa siri lo ila shishiii ndio katujulishaView attachment 669683 yakaibuka mengine tena View attachment 669684 binti analalama,,sina mengi leo
Msamehe sana,karma inaanza kufanya kazi yakeYap lowasa ee alivyoniudhii
Bongo movie wengi wako kwenye gridi ya taifa halafu wanaona umalaya dili yani dah. Sipati picha kama sepenga anao atakuwa kaondoka na wangapi!Dada kamwaga sumu, hapo sahivi watoto wa bongo movie roho juu
Huo utakua msiba wa taifa, bendera nusu mlingotiBongo movie wengi wako kwenye gridi ya taifa halafu wanaona umalaya dili yani dah. Sipati picha kama sepenga anao atakuwa kaondoka na wangapi!
Hahaha watu wamemtia sana yule manz aisee.Huo utakua msiba wa taifa, bendera nusu mlingoti
Na bado wengine kibao wana hizo ndoto za kumtiaHahaha watu wamemtia sana yule manz aisee.
KabisaHuo utakua msiba wa taifa, bendera nusu mlingoti
Mkuu jamaa yupo sahihi Botswana na Swaziland idadi ya walioambukizwa ni wengi kuliko walio salama hasa kwa upande wa wanawake ngoja nikutafutie sourceAcha uongo ......Botswana Rate ya maambukizi nikubwa ila sio kwamba waathiriwa wanawazidi wasoathiriwa !!...na sababu kubwa ya maambukizi kule sio ngono...
Mila nadesturi zao !!.