Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani unaona sasa mantiki ya mabalozi wa EU na USA kuiangukia CCM kwa kwenda Lumumba. Ingawa kwa kuzuga wa USA akamuita TL. Kura yako usiiharibu mpe JPM huna jinsiNimeiona
Hata akisimamia Robert, hatuwezi kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu
Achana na huyo dada, Anampenda sana Lissu sio kidogo make haishi kumtaja kila sekunde na kwenye kila post au comments zake, halali kabisa sabu ya TAL.... Yaani kamwingia ndani kunako mtima wake mpaka hajielewi...Hivi msaliti ndio nani na ufanye nini ili uwe msalinti?. Toa mifano yako na mimi nitoe yangu kwa upande wa huyo wako.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hoja za kipuuzi mnazishabikia,sasa hili litaongezea kura Chadema?Mzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Wewe na nani kobe wa kijaniHata akisimamia Robert, hatuwezi kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu
Out of shelveMzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Komandoo hasinzii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mzee asije akasinzia ccm wakafanya yao kwasababu wazee kama hawa kwa kusinzia ni kiboko
Mzalendo halisi wa nchi yake,anawatengenezea wajukuu,vitukuu wake.Senour Citizen who is aware of his rights and he's going to exercise it.Mzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Wambe boksi la redbul awe nalo jirani ili asilale.Huyu mzee asije akasinzia ccm wakafanya yao kwasababu wazee kama hawa kwa kusinzia ni kiboko
Wasiwasi akiliMameluki
kwa umri huo hata Redbull haifui dafu lazima alale tuuWambe boksi la redbul awe nalo jirani ili asilale.
Huwajui Wenyeji wa Mara kwa msimamoMagoli ya mkono mnayatengeneza wenyewe alafu mnalaumu.
huyu mzee ndo atakuwa mlango wa kupitia.
Akuna mkate mgumu mbele ya chai.Huwajui Wenyeji wa Mara kwa msimamo
Sio WakuryaAkuna mkate mgumu mbele ya chai.
Nao ni watu sio maroboat ndo maana sasahivi wamebadilika,wanataka mkoa wa Mara wenye maendeleo.Sio Wakurya