imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Serikali ya CCM imeua watu Mkoa wa Mara kuliko Vita vya KageraNao ni watu sio maroboat ndo maana sasahivi wamebadilika,wanataka mkoa wa Mara wenye maendeleo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya CCM imeua watu Mkoa wa Mara kuliko Vita vya KageraNao ni watu sio maroboat ndo maana sasahivi wamebadilika,wanataka mkoa wa Mara wenye maendeleo.
Ingawa ni mzee sana bado anajitambua na ana hekima sio Kama ma-pimbi wa lumumbaMzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Kwani kuna sheria inamkataza asiwe wakala?Mzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Ana miaka 90 lakini anaweza kusimama dakika 20 bila feni nyuma.Kwani kuna sheria inamkataza asiwe wakala?
Kama ni mtanzania na anakaidhi vigezo kuna kizuizi asiwe wakala wenu?
Naona umetoka katika kupungukiwa akili sasa inakuruka kabisa
Good for him.Ana miaka 90 lakini anaweza kusimama dakika 20 bila feni nyuma.
Usikimbie tuNi wiki ijayo tu tutaheshimiana mjini.
Wakurya awafi.Serikali ya CCM imeua watu Mkoa wa Mara kuliko Vita vya Kagera
Waulize WagandaWakurya awafi.
Siwezi kuwauliza,kwanza wanamwaga maji kama bomba la mvua.Waulize Waganda
Hii inaweza kuchukuliwa kipole pole lakini ikawa silaha pia.... huyu mzee, askar mstaafu, maana yake aliitumikia serikali lakini mwishowe akadhulumiwa, hivyo inaleta ujumbe kwamba serikali iliyopo haitendi haki.... na ili upate haki unatakiwa uitafute nje ya serikali iliyopo.
PICHA INAYOTAKIWA KUONWA: Nyie wote mnaoitumikia serikali sasa kufa na kupona mkidhani inawasaidia mmemumia... chagueni mbadala mpate haki zenu maana waliopo madarakani kwa sasa wapo kwa maslahi yao na familia zao tu, huyo mzee ni muhanga na mfano kwa wengine hasa maaskari.
Tar 28/10 msifanye utani na maisha yenu ya baadae...... uvumilivu wenu utawaponza.
IKuna Mzee mmoja ana miaka 87 anakiri kuwa kwa hali ilivyo hatukuwa na sababu ya kuukataa utawala wa mzungu.
Nilipouliza kwa nini,akasema mzungu alikuwa na utu licha ya kuwa tumeaminishwa kuhusu ubaya wake tu.
Alitoa hoja kuwa iwapo mzungu angekuwa na roho mbaya kama za watawala wa sasa wa Afrika,Nyerere asingesomeshwa.
Yeye alisomeshwa pia ila walitoza ada kulingana na uwezo wa mzazi.Kila mtu alipata haki ya kusoma iwapo tu alikuwa tayari.
Pia walichonga barabara imara sana kwa enzi hizo.Walijenga reli ya kati,na wangeendelea kuwepo huenda nchi yetu leo ingekuwa kama south Afrika.
Wazee wana machungu sana kuliko sisi.
Huyo akishinda njaa wala hatajua wamehesabu nini.Mzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Aisee,hatuko hivyo muraHuyu mzee asije akasinzia ccm wakafanya yao kwasababu wazee kama hawa kwa kusinzia ni kiboko
Hiyo serikali itakua imeundwa au itakua chini ya hao mbadala.Hata wakichagua mbadala mwisho wa siku lazima waitumikie serikali
Vijana tuliopo "active in service" tunamuunga mkono kwa kufanya kile kilicho ndani ya uwezo wetu kupambania haki ya Watanzania. Mwenyezi Mungu awe na askari na maofisa wote wa JWTZ na Police Tanzania ambao wanaunga mkono juhudi za kupambania haki na ukomboziMzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
🙏🏾Vijana tuliopo "active in service" tunamuunga mkono kwa kufanya kile kilicho ndani ya uwezo wetu kupambania haki ya Watanzania. Mwenyezi Mungu awe na askari na maofisa wote wa JWTZ na Police Tanzania ambao wanaunga mkono juhudi za kupambania haki na ukombozi