realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Nasoma usiku wa manane ๐ ๐ ๐ ๐Umepata style ya kusoma au unashinda jf tu๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasoma usiku wa manane ๐ ๐ ๐ ๐Umepata style ya kusoma au unashinda jf tu๐
acha ujinga wewe unafikiri mazuriUsikute mzee kapagawa baada yakugundua marekani kajitoa WHO
acha kufikiri kila kitu ktk namna moja.acha ujinga wewe unafikiri mazuri
Hakuna kitu kinaitwa kufuta kauli kwakuwa maneno ni kama risasi hayana rivasi yakitoka yametoka
Usiku wa manane hamu ya tendo inakuwa juu, badilisha ratiba mtabakana bureNasoma usiku wa manane ๐ ๐ ๐ ๐
Nakuwa mwenyewe mda huo ๐ ๐ ๐NaUsiku wa manane hamu ya tendo inakuwa juu, badilisha ratiba mtabakana bure
Kusema vema mkuu!Huyo mzee ndiyo wanadamu waovu
Hapo sawa, usome uelewe usikariri sasa ๐Nakuwa mwenyewe mda huo ๐ ๐ ๐
HII MISEMO WAMEISHA IZOEA SANA!!!! THEY CARELESS.Anaua wenzake utafikiri yeye ataishi milele. Hii dunia sio yetu.. wote tunapita
Kuna mda nakuwa sielewi ila napitisha machoHapo sawa, usome uelewe usikariri sasa ๐
Mzee kamisi kula mbuziHayo ndo matokeo ya kuendekeza Mila na desturi zilizopitwa na wakati. Pengine mzee ana sababu za kufanya hivyo, make haiwezekani atangaze hadharani na kujiamini kiasi hicho.
Huo wakati huelewi ndio nilikuwa nautaka, uwe unanitafuta nikueleweshege kwa vitendo.Kuna mda nakuwa sielewi ila napitisha macho
Kwa Video call au?Huo wakati huelewi ndio nilikuwa nautaka, uwe unanitafuta nikueleweshege kwa vitendo.
Ana kwa anaKwa Video call au?
Daaaaaa! Malengo hayatatimiaAna kwa ana