Mzee wa Ukoo aleta mtafaruku msibani baada ya kutoa kauli tata

Kuna mawili huwenda Kamuua mtu mwenye nguvu ndio maama anajisema,

Au kuna ndugu wa karibu hawakurishika na kifo chake walienda kwa mtaalamu, mtaalamu akawaamvia aliyehusika atajisema

Uchawi upo sio masihara
 
Elimu Elimu Elimu.....alijisemea EL
 
Fanya kilichokupeleka uko urudi acha umbea mkuu.
 
Kwanini skuhz imekua fashen tujitungia vistor vya ajabu vya uongoo yan mtu aue mtu alafu ajiiseme kua nimeua na niitau. Huo ni uongo wapumbavu ndo watakubali h stor
Kwa nini siku hizi imekuwa kawaida kwa watu kuandika kwa kuchapia kama ulivyochapia wewe kwa mwandiko wa chekechea?
 
Kuna mawili huwenda Kamuua mtu mwenye nguvu ndio maama anajisema,

Au kuna ndugu wa karibu hawakurishika na kifo chake walienda kwa mtaalamu, mtaalamu akawaamvia aliyehusika atajisema

Uchawi upo sio masihara
Pitia mrejesho utaelewa chanzo cha mzee wa ukoo 'kuua'
 
Ubaya,ubwela!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…