Mzee wa Ukoo aleta mtafaruku msibani baada ya kutoa kauli tata

Sema hii threed kuna chai ndani yake, ๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’
Wenye mtazamo kama wako mpo kwa uchache hapa jf na kinachowasumbua ni ule ule ukosefu wa nauli za kuwafanya mtembee maeneo mbalimbali mjionee yanayoendelea duniani.
 
Wazee wa ukoo ni watu hatari kiroho,sio watu wa kubishana nao sana,Kuna mmja alikuwa akiniangalia tuu usoni ananipa prediction za hatari kuhusu maisha yangu,ni kimsingi ni watu wananguvu flani za kiroho.
 
Wenye mtazamo kama wako mpo kwa uchache hapa jf na kinachowasumbua ni ule ule ukosefu wa nauli za kuwafanya mtembee maeneo mbalimbali mjionee yanayoendelea duniani.
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜. Yani nikose nauli ya kutembelea hii Tanzania???. Au unahisi mimi ni mganga njaa kama wewe.!!!!

. Wachawi wanasiri zito sana hapa duniani, siyo waropokaji kiasi hicho. ( huyo hakuwa mchawi bali alikuwa ni chapombe tu hapo mtaani)
 
Si unamuambia tu akifu huyu wewe tunakutanguliza kesho yake
 
Au unahisi mimi ni mganga njaa kama wewe.!!!!
Mbona unajikagua kama umejinyea?

Sikia we zoba wasemavyo waliokutangulia... "tembea ujionee usingoje kuambiwa"...

Ungekuwa na nauli ungekuja huku msibani Marangu ukajionea mwenyewe fala we.
 
Dunia Ina mengiii sana ya jayo yanafurahisha mzee wa ukoo akae akijua mbegu anayoipanda Kwa watoto wa shangazi itaota mara 2 zaidi
 
Mbona unajikagua kama umejinyea?

Sikia we zoba wasemavyo waliokutangulia... "tembea ujionee usingoje kuambiwa"...

Ungekuwa na nauli ungekuja huku msibani Marangu ukajionea mwenyewe fala we.
Sasa matusi yanatokea wapi kijana?? ๐Ÿค” ๐Ÿค”. Ni wazi kabisa kuwa unautindio wa ubongo plus umaskini unakusumbua mwilini mwako.
 
Sasa matusi yanatokea wapi kijana?? ๐Ÿค” ๐Ÿค”. Ni wazi kabisa kuwa unautindio wa ubongo plus umaskini unakusumbua mwilini mwako.
Kuna tusi lolote nimekutukana?

Nimekushauri utafute nauli utembee kujionea mambo mengi usiyoyajua duniani.

Chukua hatua acha kuhangaika kama mtetea anayetafuta pa kutagia yai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ