Bukwabi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 3,352
- 1,148
Lakini tayari krshapiga mpunga.Siku hizi naona wamepungua sana waumini hata bus hatumii tena kuwasomba pale riverside
Wamejanjaruka wamrshalizwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini tayari krshapiga mpunga.Siku hizi naona wamepungua sana waumini hata bus hatumii tena kuwasomba pale riverside
Anawaonyesha namna alivyo mbunifu kupata pesa.Yan mtu anajikusanya ikifika jumapili anaenda kumpa Sadaka alaf yey anakja kwenye media anaanza kuropoka et kama huna hela ww n Fala!! Sas si anawatusi waumini wake?
Wewe ni muumini wa Injili ya mafanikio? Umasikini unaweza kuwa ni matokeo ya laana, lkn hakuna mahali popote kwenye Biblia panaposema masikini wataisha au waamini wote lazima watajirike.Naunga mkono hoja, umasikini ni ufala kabisa.
Umasikini unatoka kwa shetani, umasikini ni roho.
Maandiko matakatifu yanasema, mpingeni shetani naye atawakimbia.
Roho nyingine zitokazo kwa shetani zinazoambatana Na umasikini ni maradhi n ujinga
Mshana umetisha, hapo umeongea kweli halisi ya neno.Mungu hadhihakiwi mpeni muda mtaona
Damu ya Yesu KRISTO ilivunja laana zote kwa walio tayari kukombolewa. Na kwa kupigwa kwake sisi tumeponaWewe ni muumini wa Injili ya mafanikio? Umasikini unaweza kuwa ni matokeo ya laana, lkn hakuna mahali popote kwenye Biblia panaposema masikini wataisha au waamini wote lazima watajirike.
Vv
pombe anakunywa ndio lakini mbona wanywaji wenzake hatutukani?Sometimes atafte namna nzur ya kuongea mbele ya media!
Lugha yake inakera sana! Unaweza kufkr amekunywa pombe
Lengo ni zuri kuwahamasisha lkn lugha aliyotumia sio ya kichungaji bali ya wasela wa ManzeseInawezekana kuna tafsiri mpya ya Biblia
Sina umasikini mimi. Kuanzia kwenye uchumi, afya, watoto, elimu, mapenzi na nguvu za kiume, hamna eneo lililo Na umasikini kwanguWe Mbona bado maskini shem !
Jamaa ana hakiki viwango
Mada zako zinapeleka nyegezi wewe sifungui. [emoji12]Huyo alieandika aende akaombewe Kwanzaa Mungu amkumbuke ampe mtoto
Otherwise njoo huku kwa Ruby anakuita Mwanamziki Ruby Karibu tena kwenye Game...
Ya kijamii yanaleta frustrations, ukiweka ya kujamiiana ni-tag tafadhali.Pole unakosa mengi ya maana ya kijamii
Huyu Lady JD hajui neno lenyewe pia kuna utajiri ndani yake?Nafikiri hata yeye halijui Neno!Makanisa mengi mjini yamefanya imani za watu kua chanzo cha mapato. View attachment 789115
Hahahahah kwakweli
Uje na huku Mwanamziki Ruby Karibu tena kwenye Game...