Mzee wa upako anyimwa kipindi WASAFI TV

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Mzee wa upako baada ya kuona wasafi tv kuna kipindi cha nyumba ya imani nayeye akaomba awe anaendesha kipindi chake siku ya jumapili lakini ombi hilo limekataliwa na Mshauri wa vipindi na uendeshaji bibie zamaradi mketema kwa maelekezo ya mwenye hisa nyingi
 
Habari bila source ni uchakubimbi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…