[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hawamjui vizur huyu jamaaaHivi mtoa maada hamjamzoea tu rejeeni post zake za nyuma zote za udini
Kwanini WCB hawajawahi kwenda kuhiji maka
Rayvann akatazwa kujenga kanisa mbeya na WCB
List ya wanamuziki ambapo hawakupikwa madrasa na wanasauti tamu
Umemaliza Zawadi.Hivi mtoa maada hamjamzoea tu rejeeni post zake za nyuma zote za udini
Kwanini WCB hawajawahi kwenda kuhiji maka
Rayvann akatazwa kujenga kanisa mbeya na WCB
List ya wanamuziki ambapo hawakupikwa madrasa na wanasauti tamu
We ndio unachochea udini --kwani WASAFI TV ..Ni Taasisi ya kidini?Wcb ni muslims usitegemee kabisa alafu mzee wa upako shombo nyingi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Si aliwahi sema ana kiburi au?
Ukweli unaoudhi unamtafuna. Aliyoyakiri kwa ulimi wake yanamtafuna sasa.Shombo au aliongea ukweli
Plan ya mwanzisha thread ni kuonesha WCB kuna udini.anyimwe tu
Ungeenda ITV au TBC kipo kindi cha tumuabudu Mungu.Mzee wa upako baada ya kuona wasafi tv kuna kipindi cha nyumba ya imani nayeye akaomba awe anaendesha kipindi chake siku ya jumapili lakini ombi hilo limekataliwa na mkurugenzi wa vipindi na uendeshaji bibie zamaradi mketema kwa maelekezo ya mwenye hisa nyingi
huo nao ni ujinga mpya wa mambo ya kidiniPlan ya mwanzisha thread ni kuonesha WCB kuna udini.
Kuna kakikundi flani kako busy na hiyo agenda.
mkuu nisome kulePlan ya mwanzisha thread ni kuonesha WCB kuna udini.
Kuna kakikundi flani kako busy na hiyo agenda.
Mzee wa upako baada ya kuona wasafi tv kuna kipindi cha nyumba ya imani nayeye akaomba awe anaendesha kipindi chake siku ya jumapili lakini ombi hilo limekataliwa na mkurugenzi wa vipindi na uendeshaji bibie zamaradi mketema kwa maelekezo ya mwenye hisa nyingi
Post yako ina element ya udini, naona watu hawajagundua hilo...