Mzee wa upako anyimwa kipindi WASAFI TV

SASA WANAUTOFAUTI GANI NA CLOUDS NA RUGE.WASAFI NI WANAFIKI TU.SI WANASEMA NI YETU SOTE.KWA NINI WAMBANIE.

NASIKIA KUNA UDINI KWENYE HIYO KAMPUNI BALAAAA.
 
Ungeenda ITV au TBC kipo kindi cha tumuabudu Mungu.
 
Write your reply...Udini utakuua we mpuuzi
 
Ni jambo la aibu kwa kijana mdogo kama wewe kuendeshwa kwa mawazo ya kidini.

Kwenye hisa nyingi Wasafi Media ni Joseph Kusaga hivi unayo hii habari?!
 
Post yako ina element ya udini, naona watu hawajagundua hilo...

Huyu jamaa ni wumbwa kabsa kufitinisha kupitia dini tu.

Huyu kila palipo wcb kuna udini
Jinga kabisa
 
Write your reply...Mzee wa Upako afya imedorora sana hadi suti zinampwaya na midomo imekuwa myekunduuu
 
Write your reply...Mzee wa Upako afya imedorora sana hadi suti zinampwaya na midomo imekuwa myekunduuu
 
SASA WANAUTOFAUTI GANI NA CLOUDS NA RUGE.WASAFI NI WANAFIKI TU.SI WANASEMA NI YETU SOTE.KWA NINI WAMBANIE.

NASIKIA KUNA UDINI KWENYE HIYO KAMPUNI BALAAAA.
Eeeenh udini tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…