big result now
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
Wajinga ndio waliwao.
ata me nmemchek yn kama n kwl bc kamzd ad yle prophet wa nigeriaJamani haya makanisa yatutoa roho leo nilikuwa naagalia startv mara nikaona kuna nabii anaitwa joel (kama sijakosea )alikuwa anasema eti ameingiliwa na wachawi laki saba na 80 hotelini alikokuwa amelala!!! Yaani nimewaza sana hivi kwl inawezekana kwl????
Jamani haya makanisa yatutoa roho leo nilikuwa naagalia startv mara nikaona kuna nabii anaitwa joel (kama sijakosea )alikuwa anasema eti ameingiliwa na wachawi laki saba na 80 hotelini alikokuwa amelala!!! Yaani nimewaza sana hivi kwl inawezekana kwl????
Kwanini asitunge remix ya nipe tano.....Nipe tano namimi nihubiri mpaka kucheeee eyooooo
Hahahaha aliwahesabuje??? Duh huyu jamaa ana roho ya calculation
Hapo sasa ndiyo na mimi niliposhangaa nikasema haya makanisa ya siku hizi mungu atusaidie tu!!!
Aaah safi kabisa kwani kamlazimisha mtu? Mi3 ananikosha tu kilauri kama kawa, anasema mwonyeshe wapi walipoandika kuwa ni dhambi.Safiiii