big result now
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
Muda huu sasa hv, leo tarehe 21/03/2015 naangalia mahubili ya mzee wa upako,hahahahaaaaa huyu mzee ana mapambio mapya maana sijawah kuyasikia sehemu yoyote, hili la leo ndo limeniacha hoi, anaimbisha ...
TANO TANO EEEEH ....
KUSANYA KUSANYA ......
Kapambio kanaendelea huku waumini wanapita wanampa tano (ile salamu ya kukunja ngumi), afu na sh 5000 huku anaimbisha TANO TANO EEEEH, KUSANYA KUSANYA ...
Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa
TANO TANO EEEEH ....
KUSANYA KUSANYA ......
Kapambio kanaendelea huku waumini wanapita wanampa tano (ile salamu ya kukunja ngumi), afu na sh 5000 huku anaimbisha TANO TANO EEEEH, KUSANYA KUSANYA ...
Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa