Mzee wangu anakaribia kustaafu, uwekezaji upi ni mzuri?

Mzee wangu anakaribia kustaafu, uwekezaji upi ni mzuri?

Wala sio ajabu labda wewe haujawahi kufanya biashara yeyote ndio maana unashangaa hilo
Kwa hiyo mliofanya biashara yeyote mkipata hela hadi muulize biashara ya kufanya?

Yaani wewe mzoefu wa biashara hujui kuwa biashara inategemea factors nilizotaja?

Wewe unadhani kila mtu anaweza kufanya biashara yeyote tu?

Hujui kuwa biashara inaweza kutegemea elimu ya mtu, ujuzi, experience, hadi marital status?

Pia hujui kuwa biashara inaweza kutegemea kama utaifanyia kijijini au mjini?

Ni kitendo cha ajabu, mtu mzima mwny akili timamu kupata hela ukaanza kuuliza watu cha kuzifanyia, ni rahisi sana kutapeliwa.
 
Kwa hiyo mliofanya biashara yeyote mkipata hela hadi muulize biashara ya kufanya?

Yaani wewe mzoefu wa biashara hujui kuwa biashara inategemea factors nilizotaja?

Wewe unadhani kila mtu anaweza kufanya biashara yeyote tu?

Hujui kuwa biashara inaweza kutegemea elimu ya mtu, ujuzi, experience, hadi marital status?

Pia hujui kuwa biashara inaweza kutegemea kama utaifanyia kijijini au mjini?

Ni kitendo cha ajabu, mtu mzima mwny akili timamu kupata hela ukaanza kuuliza watu cha kuzifanyia, ni rahisi sana kutapeliwa.
Ndio maana nikakuambia wewe haujawahi kufanya biashara laiti ungekuwa umewahi kufanya usingeongea pumba kiasi hiki,mwanzo nilikuwa nafanya biashara ya kuuza vifaa vya ujenzi ila baadae mtaji ukawa mkubwa sana ilibidi nifungue ofisi nyingine na hapo ndipo nilihitaji nipewe ushauri nifungue biashara ipi kati ya duka la vipodozi,duka la vifaa vya pikpiki na simu baada ya kuwakilisha hivyo watu wangu walinipa chaguo huku wanaambatanisha na sababu za kwanini iwe hivyo
 
Ndio maana nikakuambia wewe haujawahi kufanya biashara laiti ungekuwa umewahi kufanya usingeongea pumba kiasi hiki,mwanzo nilikuwa nafanya biashara ya kuuza vifaa vya ujenzi ila baadae mtaji ukawa mkubwa sana ilibidi nifungue ofisi nyingine na hapo ndipo nilihitaji nipewe ushauri nifungue biashara ipi kati ya duka la vipodozi,duka la vifaa vya pikpiki na simu baada ya kuwakilisha hivyo watu wangu walinipa chaguo huku wanaambatanisha na sababu za kwanini iwe hivyo
Inaonesha husomi ninachoandika, ama labda unasoma halafu huelewi? Sidhani kwa kuwa ninaandika kiswahili na maneno machache mno ya kizungu.
 
Hata sijasoma comments, ila kichwa cha uzi nimecheka tu.

Kama maisha yake yote, hajui cha kufanya hiyo pesa itapotea kwa asilimia zaidi ya 50 ndio mjipate

Mungu wetu awe na nanyi.
Mimi nimeshaangaa mtu mzima hujui cha kufanya hadi uulize, ila kuna mdau nae ananishangaa.
 
Back
Top Bottom