Mzee wangu yupo hoi, huenda Serikali ingeweka wazi, Mzee wangu asingeshiriki kuzika rafiki yao aliyefariki kwa changamoto

Kufa angekufa tu hata kwa kuchomwa na miiba kwa hiyo kama mpango wa Mungu ni kumuua baba yako na atakufa.
kwa kipimo cha kupima akili kwako kingesoma unadaiwa akili yaani huna hadi una deni la kuwa na akili
 
Mama yako, na wote walio na ukaribu na baba yako waanze kutumia dawa hata kama hawajaanza kuumwa.
 
Wale wasio na access na taarifa sahihi nao unasema je?

Kwa vile wewe una taarifa sahihi nini kinakufanya udhani ni hivyo kwa kila mtu?

Au watanzania wote ni wewe tu mkuu?
Sio rahisi taarifa sahihi zikamfikia kila mtanzania njia nayotumia kuiponya nafsi yangu haiwezi kutumika na kila mtanzania kwa sababu kuna watanzania hawana hata maji ya kunywa sembuse hayo ya kunawa. Think big chukua tahadhari . Ukiambiwa nawa mikono ujue hujafikiriwa utapata wapi hayo maji tiririka.
Nimekujibu kidogo mengine utaelewa tu 👍🏾
 
MK254 njoo uone Sasa madhila tuliyoletewa na Chanzo Cha Matatizo, Chama Cha Mazezeta
 
Kwa hiyo watu sampuli hiyo Raisi akisema watasikia?
 
Huko kijijini taarifa wanapataje? Serikali kupitia wizara ya afya ikitoa taarifa watu watazingatia
 
wanataka rais atume jeshi kuvisha watu barakoa.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 

Mkuu tambua kwamba sote wenye taarifa sahihi tunafanya hayo yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Pana mamilioni nchini hapa hawana taarifa sahihi na wanapotoshwa na mamlaka kuwa tuko vizuri:



Mamilioni hao bila kumsahau kwenye misiba wako pia humu:



Kwamba sisi tunachukua tahadhari za kutosha hao wengine je?

Dunia nzima haiko salama kama kungali na wagonjwa. Sembuse sisi katika hali hii?



Kuchukua kwako au kwangu tahadhari hakitoshi kama roho liko kama lilivyo hivi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Pole mkuu, mimi nimeporwa bababgu na Wachina hivihivi nimezika juzi
 
Huu ndio ujinga umewajaa.


Unashindwa kuelewa Kuna Mambo yanahitaji National Intervention na sio Individual Intervention tu. Sijui Kama unaelewa?

Watoto wadogo wanaenda shule za kata wanakutana na walimu. Wakirudi majumbani wanawaambukiza Babu na Bibi zao! Sijui Kama unaona hapo. Hapa Ni suala la serikali kuweka intervention In National Level kuwalinda wazee wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…