Mzee wangu yupo hoi, huenda Serikali ingeweka wazi, Mzee wangu asingeshiriki kuzika rafiki yao aliyefariki kwa changamoto

Sikiliza ndugu. Ni vizuri serikali kuanzia shina, mtaa, kata, wilaya, mkoa na taifa wakachukua majukumu yao ya kuonya na kusimamia taratibu za ki afya. Ili wananchi wa wachukuwe tahadhari . Hii ni kwa sababu waTz wamezoea kusimamiwa .

Kosa lilitokea baada kukrash maabara yetu na taratibu za kujikinga na Corona , ikiwemo kuvaa barakoa. InakuwaJe pale kiongozi mkuu anapowabeza viongozi wenzake wanapovaa barakoa ?!
 
Haya ni malipo ya kumdharau Kikwete na kumuita dhaifu, haya sasa Mungu katuletea kichaa lazima tuilipie ili next time tuwe na nidhamu.
Ndugu tusipakane matope, alie sema ni mmoja mtazamo wake kuhusu udhaifu wa Kikwete leo una waunganisha Watanzania wote
 
Ni kweri mkuu. Pimbi kama hawa ni taabu mtupu kwa taifa hili!



Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Soma dokezo la huyu Dr. laweza kusaidia
 
Hata wewe unaweza kuwa pimbi pia, Rais kasema tuchukue tahadhari we unatakaje tena?
Vipeperushi? Kwahiyo kama hakuna vipeperushi ndio huwezi kuchukua tahadhari? Pimbi wengi sana hata JF humu
 
Wazee wetu wengi sidhani Kama wataelewa wakiambiwa hivyo
Wateelewa si wanaona vifo vya wenzao waliohudhuria misiba ya wagonjwa wa corona?Hili jambo sio siri tena mpaka vijijini!
 
Usiombe yakufike na wewe! Kumuona mpendwa ambaye ni nguzo kuu! Kiunganishi cha ukoo, akiumwa bila matumaini inaumiza sanasana ...moyo unauma , mwili unatetemeka
Rejea nilivyohitimisha!
 
Misiba sahivi siyo ya kuishadadiaaa wazee
Ohooo ukisikia msiba we toa pole tu

Ova
 
Hapana! Usikate tamaa huenda mzee wako atapona,siyo kila ugonjwa tunakimbilia kuwaza ni Korona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…