Mzee wangu yupo hoi, huenda Serikali ingeweka wazi, Mzee wangu asingeshiriki kuzika rafiki yao aliyefariki kwa changamoto

Unahisi hii story ni chai ya tangawizi?
Nimeuguza hivi karibuni ..my anger and frustrations..could be felt through my presence.... let alone words or texts... Madaktari walijua... Value ya nduguzo unawapa wewe..

Mtu anaumwa..tena mzazi.. when do you get time to share huku mitandaoni.. maana at that specific moment everything falls into the the second and third place...
 
POLE SAANA KWA KUFIWA

lakini ni mpumbavu tu ndio anaweza kumuamini mwanasiasa

hivyo basi nikushauri PINGANA KWANZA NA UPUMBAVU ULIONAO ASHA KUM SI MATUSI
 
Ila ameweza kuandika maelezo yote hayo.
Huyu anauguliwa kweli?
 
Ila ameweza kuandika maelezo yote hayo.
Huyu anauguliwa kweli?
Unaweza kuta anauguliwa.. ila ndio mpaka la kutia ufunguo.. bila kusukumwa na kusontewa haendi ng'o..

Yaani kwa mgonjwa every minute counts, every text, talk inakuwa nikutafuta njia ya kuupata uzima..

Badala kuja uulize how can you get help especially hapo kwenye taasisi inayomuhudumia mzee.. we unakuja kwenye siasa as if ndio utaponesha mzazi!?

Tunashida sana kwenye priority zetu.
 

Endelea kuweka propaganda kwenye maisha yako kwa kisingizio cha Rais hajatangaza utadhani ukifa kuna kuna kitu utampunguzia Rais.
Rais kashasema wananchi chukueni tahadhari mko hapa mnalialia eti Rais hajasema mnataka aseme nini?

Kuna mijitu flani mijinga mijinga tu kila kitu inalaumu serikali, hovyo sana pimbi kama ninyi.
Acheni kuchukua tahadhari mfe kama kuku kwa kisingizio cha Rais hajatangaza
 

Mijinga kuliko hii:



Au nasema uongo ndugu zangu?
 

Ujinga ni kipaji kama ilivyo kipaji cha kucheza mpira.
Rais kasema tuchukue tahadhari we kama kusikia kwako ni mpaka damu itoke masikioni kama kenge basi endelea kulaumu serikali, hao wadaktari wanaokwambia namna ya kuvaa barakoa ni sehemu ya serikali we kaa kizembe uendelee kumlaumu Rais ukidhani ukifa utaipunguzia hii nchi kitu chochote zaidi ya kuacha upweke kwenye familia yako
 

Kilaza sana wewe, kama unasubiri Rais aseme nakuhakikishia muda wowote ID yako itabaki bila user kwakuwa watu wajinga wajinga kama wewe hata mkifa hakuna hasara.
Mkeo asipooga pia utamlaumu Rais, chenga sana wewe
 

Pole sana sana
 
Mpaka nione picha
 
Pole sana mkuu, inauma kwakweli. Kuna watu wanasema mnasubiri serikali itoe tamko huku wakijisahaulisha kuwa wazee wengi vijijini hawana vyanzo maalumu vya taarifa kama wengine tunavyofukunyua kupitia social media mbalimbali. Tamko la serikali ni tosha kwa vyombo vinavyosikika huko vijijini kama vituo vya televisions.
Once a killer is a killer, he continues to sacrify his people's life by his ignorance and pride.
 
Well said brother. Umemaliza yote. Magufuli ni mfadhihina, Hana kurudi nyuma, wala kukiri makosa yake. Yeye yuko sahihi muda wote, ni Mfalme wa malaika wote
 
Dawa gani ebu nisaidie niwaambie
Ascoril Cough syrup au Goodmorning cough syrup ukihisi koo linawasha.
Mengine tutazidi kujuzana

Azithromycin 500mg od for 7/7
Amoxyclav 625mg bd for 7/7
pedzinc 20mg od, Vit C 1gm od, Vit D 1tb od, Junior Asprin 75mg od for 1month.

Dawa muhimu za kukaa nazo nyumbani za akiba[emoji115] hizo hapo juu
Ila tunashsuriwa kule matunda na mboga za majani kwa wingi kila siku kwa sasbabu inalinda na kujenga mwili,unapata vitamini C na kuongeza Kiwango cha damu (Hb) inaimarisha kinga na kukukinga na magonjwa.

Tuwe na hiyo NIMRCAF
Kwa mwenye vidonda vya tumbo atumie COVIDOL

Angalizo.
Nimenakili na kuleta hapa, hivyo sijui kwa undani matumizi ya hizo dawa. Ninachoshauri ni kuwa, waende hospitali, hata kama hawajaanza kuumwa ili wapewe maelezo sahihi ya nini cha kufanya, au kama watapeleka hiyo orodha hapo juu ili wataalamu wawashauri zaidi.
 
Asante sana mkuu asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…