Mzee wangu yupo hoi, huenda Serikali ingeweka wazi, Mzee wangu asingeshiriki kuzika rafiki yao aliyefariki kwa changamoto

Pole Sana, chukua tahadhari mapema kabla ya cell Carl haijatanganza
 
WHO walishauri kwamba maiti za Corona zizikwe na watu wa afya na msiba usizidi watu 10.

WHO waliona mbali Sana.

Tatizo Corona imetekwa na siasa uchwara, ujuaji na upotoshaji wa makusudi.
Ushauri mzuri
 
Chukua tahadhari usingoje mpk serikali
Ikuambie nini ufanye

Ova
 
Hili jambo kama halijakukuta unaweza dhani ni Soga tu, ila kama umepitia hata kwenye kutonusa na kupata ladha yoyote utakuwa unamuelewa mtoa uzi. Pole ndugu


Nb. Msagie Karafuu muwe mnamchemshia kama chai.
 
Pole sana.Mungu atamponya.
 


Pole sana mkuu, katika hatua hiyo tunamuomba Mungu aokoe maisha ya mzee wako.

Katika mambo ambayo yatamfanya huyu "Big boss" asisahaulike milele katika historia ni hili janga la Korona, karibu kila mtu ameguswa kama si ndugu ni jamaa, rafiki, jirani nk, na sisi tuliobaki hai bado ni wahanga wa Corona, tuchukue tahadhari na hapo ndipo Mungu atatusaidia kwa maombi.
 
Leo mzee mbishi kawaambia watu wavae barakoa kujilinda,yaani afya yako mwenyewe mpaka uambiwe na mwanasiasa?...
 
Huko kwenu wazee ndio wanabeba jeneza kupeleka mazikoni, sio vijana! Hao wazee walikuwa wanapokezana jeneza linalowavujia maji vijana wa huko huwa wapi?
Soma mada! Ikumbukwe wazee ndiyo hupanga, waliona fahari kumzika mwenzao kama sehem ya heshima
 
Na hili unailaumu serikari baada ya kumuombea basi kazi.
Pole kwa mzee kuumwa ikawe kheri kwake kua mzima. Amina
 
Kufa angekufa tu hata kwa kuchomwa na miiba kwa hiyo kama mpango wa Mungu ni kumuua baba yako na atakufa.

Sio mpango wa Mungu mtu anapokufa.

๐‘ฌ๐’›๐’†๐’Œ๐’Š๐’†๐’๐’Š 18:32 - ๐‘ด๐’‚๐’‚๐’๐’‚ ๐’Ž๐’Š๐’Ž๐’Š ๐’”๐’Š๐’Œ๐’–๐’‡๐’–๐’“๐’‚๐’‰๐’Š๐’Š ๐’Œ๐’–๐’‡๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’† ๐’‚๐’‡๐’‚๐’š๐’†, ๐’‚๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ ๐‘ฉ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐‘ด๐‘ผ๐‘ต๐‘ฎ๐‘ผ; ๐’ƒ๐’‚๐’”๐’Š ๐’ˆ๐’‰๐’‚๐’Š๐’“๐’Š๐’๐’Š, ๐’Ž๐’Œ๐’‚๐’Š๐’”๐’‰๐’Š.

Usiwe mpumbavu unaweza kufa kwa ujinga.
๐‘ด๐’‰๐’–๐’ƒ๐’Š๐’“๐’Š 7:17๐’ƒ .....๐‘พ๐’‚๐’๐’‚ ๐’–๐’”๐’Š๐’˜๐’† ๐‘ด๐‘ท๐‘ผ๐‘ด๐‘ฉ๐‘จ๐‘ฝ๐‘ผ; ๐‘ฒ๐’˜๐’‚๐’๐’Š ๐’–๐’‡๐’† ๐’Œ๐’‚๐’ƒ๐’๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Œ๐’?
 
Naona umeamua kujifunza kutengeneza hadithi za kufikirika.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga yaanisisitunakufa kwasababu yamtu mmoja heriwangeluhusu chanjo waowasipewe watumie mitishamba inauma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ