Mzee Warioba akieleza jinsi Zanzibar walivyopora mamlaka ya raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na kujitoa kwenye muungano kinyemela!

 
huu muungano unaonekana ulishakufa kitambo
ila unalazimishwa tu
eti Tanzania bara nyingine Zanzibar,inasikitisha sana
 
Watakacho kiganya kamwe hakitakuwa uasi, sababu kwa ni jambo la kikatiba. Katiba ambayo wamekuwa wakiitumia kwa miaka kadhaa.
Ikumbukwe, kupitia Katiba hiyo Zanzibar tayari imetangaza mipska yake na ninyi mpi kimya, zanzibar imemuondolea mamlaka rais wa Jamhuri wa Muungano na mpo kimya, Jeshi linamtii rais wa Zanzibar mbele ya Rais wa Muungano. Linampigia mizinga 21 mbele ya rais wa Muungano na ninyi mnaona na mpo kimya.

Zanzibar chini ya Mwinyi ni kama haina kuaminiana, ni kama haijashikana hivyo wanasubiri Mwinyi amalize muda wake waanze kufanya yao.

Tena ili kujihami wala huenda kwanza wakajitoa kwenye Muungano, halafu next move huenda hata wasitangaze kuanzisha nchi badala yake wakaomba na kutangaza kujiunga na Oman
 

Muungano wenywe ni fake tangu mwanzo leo ndio Mzee Warioba unaona?​

Fake kabsaa ,ebu fikiria Mzanzibar anaweza kua mkuu wa wilaya bara ila kamwe mtu wa bara hawez kua kiongoz Zanzibar, Mzanzibar ruksa kununua shamba na kujenga bara ila marufuku mtu wa bara kununua sehem Zanzibar, ni marufuku mtanzania kua Rais Zanzibar ila ruksa Mzanzibar kua Rais bara,,, yaan Kwa kwel tunatakiwa kueleweshwa ,,tujueni katiba ipi inayo prevail kati ya katiba ya Zanzibar na ya jamhuri pale zinapokinzana!!!
 
Tunaweza kumkataa mama ukashangaa limekuja jitu kama "baba Isack" ndo mtahama hii nchi
 
Akina Mwigulu wao kazi kubwa ni kuiba maswala ya nchi baadae hayawahusu
 
Muungan
Hilo sio suala muhimu. Jambo la msingi ni kwamba hizi statements za Warioba ni facts? Kwani hiyo picha hapo juu ya mkutano wa kimataifa na wawakilishi wa Zanzibar na Tanzania ni ya lini Mkuu?
Muungano ni moja ya Tunu ya Taifa letu,lakini hizi kasoro za Muungano zinarekenishika,tuwe na Serikali 3 .ya Tanganyika,Ya Muungano na ya mapinduzi ya Zanzibar,Tayari katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ina kinzana na katiba ya Zanzibar kwa marekebisho yalifanyika mwaka 2010,Katiba ya Tanzania inatambua kwamba Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wakati katiba ya Zanzibar inasema Zanzibar ni NCHI mojawapo inayounda Jamhuri ya Muungano,hivyo Wanzibari wameipa nchi Yao hadhi ya kuwa Nchi..Kwa Sasa Nchi yetu ina amiri Jeshi wakuu 2 ambao Jeshi linakula kiapo Cha utiii kwao..Kitu ambacho ni hatari kwa Ulinzi na Usalama.
 

Muungano wenywe ni fake tangu mwanzo leo ndio Mzee Warioba unaona?​

Huo mbona ni msimamo wake tangia watoe katiba pendekezwa, sema wachache wanaofaidika na mfumo huu, kutumia dola walikuwa wanampiga vibao akitaka kuongea, na wamezima maoni ya tume yake
 
Sio kila kitu kinachowekwa kwenye Katiba ni halali au kinafaa, ndio maana katiba hubadilishwa kila wakati.
sasa vibadilishwe. Vinavyowekwa ni halali ndio mana viliwekwa, sema vinakosa uhalali jinsi majira yanavyobadilika. Sasa majira ni tofauti na enzi za uhiru. Kayiba haina budi ibadilishwe
 
Swala la Watanganyika kuingia Zanzibar kwa masharti linaniacha hoi. Marehemu Mtikila alieleza ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…