Mzee Warioba ameongoza nchi pamoja na mwalimu Nyerere, kwa zaidi ya miaka 30, mbona hakushauri katiba mpya na serikali tatu? Kasubiri amezeeka!

Mzee Warioba ameongoza nchi pamoja na mwalimu Nyerere, kwa zaidi ya miaka 30, mbona hakushauri katiba mpya na serikali tatu? Kasubiri amezeeka!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.

Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.

Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
 
Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.

Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.

Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
Hata Ndugai sahivi anataka katiba mpya
 
Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.

Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.

Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
Hakushauri walioba bali watanzania ndio wamesema hivyo

Msije mkamlisu mzee wa watu .
 
Watawala wa kiafrica huwa na akili baada ya kutoka madarakani, hata speech nyingi za Mwalimu zilikuwa ni kujiponda aliyofanya madarakani
 
Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.

Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.

Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
Jibu rahisi sana,mfumo ulikuwa mtamu kwao,na unawanufahisha,ila wakati ilikuwa Bado,
Kwani sasa hv mwana ccm gani anaweza kusimama akasema serikali tatu zije!?nani anaweza kwenda kinyume na Raisi?atashughurikiwa kama ilivyokuwa kwa ndugai.
Samia mwenyewe,kizanzibar angetamani ziwepo serikali tatu,lakini hawezi kudai,Richa ya kwamba ndio Raisi,nguvu zake Zina kikomo,akienda kinyume na ccm Bara,atashughurikiwa ataamini,iliwahi kutokea kwa Abdul jumbe,alikuwa Raisi wa Zenj,alivuliwa uraisi,Dodoma,usicheze na elites,na establishment ya ccm,ni hatari kama chama Cha kikomunist Cha china
 
Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.

Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.

Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
Acha uzuzu katiba yenyewe hii ni ya 77 unafkiri katiba ya nchi inaletwa kila baada ya miaka 3? sasa miaka imeenda mahitaji yameongezeka katiba iliyopo haiakisi mahitaji ya watanzania sasa ndio maanza mzee warioba ameliona hilo sasa.
 
Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.

Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.

Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
Nenda kampige mitama kama mwenzako Bashite na wewe uzawadiwe u-DC.
 
Nashangaa sana ni kwa nini kizazi cha sasa hakijui historia ya nchi hii.

Warioba ni mwanaharakati wa kupigania Katiba mpya katika maisha yake yote.

Kama Nyerere alitawala kwa miaka 23 inakuwaje Warioba "atawale naye" kwa miaka 30??
 
Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.

Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.

Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
Ni kuendana na muda na wakati kwani unaweza kujua kipindi cha Mwalimu ulikuwa kwa kiasi gani.
Kwani ukiweza kujua utajipa majibu mazuri kuendana na mada yako
 
Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.

Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.

Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
Ndizo tunu za uzee.
 
Warioba hakuamka kwake na kuanzisha mchakato wa katiba huu mchakato umeanzishwa na watanzania yeye alitumwa kulishughulikia hilo swala,mjinga wewe

Chadema waliwahi kuingia mtaani na kuwamezesha watz maoni ya katiba ndo hicho unachokiona alichokiwasilisha Warioba
 
Hivi unamlaumuje Warioba katika hili la katiba mpya au la serekali 3? How yaani?
 
Back
Top Bottom