Mzee Warioba: Siyo lazima Mbunge aitwe Mheshimiwa

Haya mambo yapo kwetu tu, Ku sehemu hata Prof. Dr. nk huyasikii ovyo, hadi ujuwe huyu ni professor ni mda sana, njoo bongo sasa, PhD holder hataki kuitwa kwa majina yake, lazima utangulize Dr. Mwafulani.
 
Mheshimiwa Tale tale.
Mheshimiwa mwanafaa........😂😂😂
 
 
Kwa kumbukumbu nafikiri suala la kuweka sura ya rais kwenye fedha likipitishwa bungeni.

Sababu ni baada ya kuanzishwa mfumo wa vyama vingi kuwa kila baada ya miaka 5 akipatikana rais tofauti basi fedha zetu zingekuwa na muonekano tofauti.
 
Umeanza vyema harakat!! Endeleza sasa uungwe mkono
HIZI SIO HARAKATI NI MAONI YANGU NA KUJARIBU KUELEZEA JAMBOAMBALO LILIKUWA MEZANI. KAMA UNAHISI NI HARAKATI NADHANI ASHAKUMU SIO MATUSI UMEKURUPUKA. NIMEPITIA REPLY ZAKO NIMEONA KAMA JAMBO HILI LIMEKUUDHI LAKINI HATUTASITA KUTOA MAONI YETU NA USHAURI WETU KWAKUWA BAADHI YA WATU HAWATAKI KUAMBIWA UKWELI
 
Hakuna mtu nchi hii mwenye ubavu wa kuuliza swali hilo ana kwa ana mbele ya Rais! Kuhusu sura yake kuwa katika noti zetu ni kuwa bunge lilikubali lakini yeye alikataa na kutoa sababu ambazo hadi leo zinazingatiwa ingawa kuna baadhi ya watu walilianzisha chini kwa chini enzi za Magufuli, lakini pia aliwanyamazisha.
 
Wengi hawakupewa cheo dhamana ya kuongoza na wananchi,vipi nao waitwe waheshimiwa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…