Mzee Warioba: Sokoine alikuwa Mzalendo wa kweli na sijamuona wa kumfananisha naye

Mzee Warioba: Sokoine alikuwa Mzalendo wa kweli na sijamuona wa kumfananisha naye

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Katiba mpya mzee Warioba amesema hayati Sokoine alikuwa ni mzalendo wa kweli na hajaona mfano wake hadi sasa

Warioba anasema Sokoine hakuhitaji kujitangaza wala kuvaa tai na skafu ya bendera bali ile sura na macho yake yalitosha kueleza uzalendo ulioko moyoni mwake.

Chanzo: TBC
 
Kama kawaida ya unafiki mpaka mtu afe ndo sifa zitoke.

Wakati yupo kwenye madaraka marehemu alikuwa anaonekana mkuda na kujipendekeza kwa mchonga.
 
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Katiba mpya mzee Warioba amesema hayati Sokoine alikuwa ni mzalendo wa kweli na hajaona mfano wake hadi sasa

Warioba anasema Sokoine hakuhitaji kujitangaza wala kuvaa tai na skafu ya bendera bali ile sura na macho yake yalitosha kueleza uzalendo ulioko moyoni mwake.

Source TBC!
Hivi Karne hii bado mnatukuza watu wenye akili za kimasikini kama sokoine

Dogo nadhani wakati wa sokoine ulikuwa hujazaliwa
 
Hata yule mwendazake????ngoja kwanza tumteke au tumpge ngwara ya kibashite
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Katiba mpya mzee Warioba amesema hayati Sokoine alikuwa ni mzalendo wa kweli na hajaona mfano wake hadi sasa

Warioba anasema Sokoine hakuhitaji kujitangaza wala kuvaa tai na skafu ya bendera bali ile sura na macho yake yalitosha kueleza uzalendo ulioko moyoni mwake.

Source TBC!
 
A
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Katiba mpya mzee Warioba amesema hayati Sokoine alikuwa ni mzalendo wa kweli na hajaona mfano wake hadi sasa

Warioba anasema Sokoine hakuhitaji kujitangaza wala kuvaa tai na skafu ya bendera bali ile sura na macho yake yalitosha kueleza uzalendo ulioko moyoni mwake.

Source TBC!
Alikuwa mzalendo haswa maana yeye, wana sema alikuwa ana suruali nne tu na shati kama 3 tu! Mzalendo haswa, wakasema pia alikuwa masikini na mtu wa kawaida! Kwamba alikuwa na ng'ombe zaidi ya 50,000! Na wanawake zaidi ya mmoja!
Ila walisahau kwamba, maasai - utajiri wake na utajiri wa Mmakonde ni tofauti - Maasai nguo kwake siyo issue, na nyumba siyo issue kwake, utajiri wake ni katika mifugo na familia kubwa. Therefore, no one understood Sokoine, wasitudanganye.
 
Kuna mwingine alijinasibu uzalendo mabendera kwenye suit zake .....akaishia skendo za kuiba kupiga deal....pamoja kuimba mapambio ya kukufuru kuwa eti jiwe ni yesu
 
Uzalendo kazi aana sio mbwembwe za nyuma ya camera....usikie tu .....walidai Makweta nae alikuwa ana dalili za uzalendo pia Comrade Mangula
 
Hivi protocol iko vipi katika kuwatambulisha watu kama Mzee Warioba waliowahi kushika nyadhifa tofauti tofauti? Mimi nilidhani kuwa kile cheo cha juu zaidi ndiyo hutambulishwa, kwa hapa waziri mkuu mstaafu. Wanaofahamu watuelimishe.
Cheo cha juu cha mzee Warioba ni makamu wa Rais!
 
Hizi ndizo akili zilizolelewa na Nyerere. Si wa sasa hivi leo anaimba tujifukize kwa sababu kasema rais aliyepo, kesho akifariki huyo rais anaimba kinyume na kuvaa baibui kama rais wa sasa
Yule mheshimiwa waziri kichwani dakika mbili mbele.
 
Back
Top Bottom