Mzee Warioba: Sokoine alikuwa Mzalendo wa kweli na sijamuona wa kumfananisha naye

Mzee Warioba: Sokoine alikuwa Mzalendo wa kweli na sijamuona wa kumfananisha naye

Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Katiba mpya mzee Warioba amesema hayati Sokoine alikuwa ni mzalendo wa kweli na hajaona mfano wake hadi sasa

Warioba anasema Sokoine hakuhitaji kujitangaza wala kuvaa tai na skafu ya bendera bali ile sura na macho yake yalitosha kueleza uzalendo ulioko moyoni mwake.

Source TBC!

Wala hakutaka kabisa kuitwa mheshimiwa, Bravo Warioba, umegonga msumari wa moto tena wenye chumvi kwenye kidonda
 
Mzalendo wakweli niyule anayefanya kazi serikali ,bungeni au mahakamani bila malipo mshahara au posho siwe za semina halali au hapana......Naye ni Mimi peke YaNGU
 
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Katiba mpya mzee Warioba amesema hayati Sokoine alikuwa ni mzalendo wa kweli na hajaona mfano wake hadi sasa

Warioba anasema Sokoine hakuhitaji kujitangaza wala kuvaa tai na skafu ya bendera bali ile sura na macho yake yalitosha kueleza uzalendo ulioko moyoni mwake.

Chanzo: TBC
Si tuliambiwa shujaa wa Africa hana mfano vipi tena?
 
Kuna mwingine alijinasibu uzalendo mabendera kwenye suit zake .....akaishia skendo za kuiba kupiga deal....pamoja kuimba mapambio ya kukufuru kuwa eti jiwe ni yesu
Mwigulu Nchemba huku pesa zinapigwa hapo hazina kama hazina mwenyewe
 
Hivi Karne hii bado mnatukuza watu wenye akili za kimasikini kama sokoine

Dogo nadhani wakati wa sokoine ulikuwa hujazaliwa
Ni miongoni mwa waliochangia kudumaza akili za Watanzania kwa kuzuia free market economy.
 
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Katiba mpya mzee Warioba amesema hayati Sokoine alikuwa ni mzalendo wa kweli na hajaona mfano wake hadi sasa

Warioba anasema Sokoine hakuhitaji kujitangaza wala kuvaa tai na skafu ya bendera bali ile sura na macho yake yalitosha kueleza uzalendo ulioko moyoni mwake.

Chanzo: TBC
Hahahaa! Wapi madelu system!!!
 
Nilijisikia vibaya sn kitendo kile alafu yule mbwa akapandishwa cheo kwa kuifanyia ccm kazi nzuri...

Ccm ni laaana ya taifa ndio maana watz hawaitaki
Hivi protocol iko vipi katika kuwatambulisha watu kama Mzee Warioba waliowahi kushika nyadhifa tofauti tofauti? Mimi nilidhani kuwa kile cheo cha juu zaidi ndiyo hutambulishwa, kwa hapa waziri mkuu mstaafu. Wanaofahamu watuelimishe.
Correct
 
Hivi protocol iko vipi katika kuwatambulisha watu kama Mzee Warioba waliowahi kushika nyadhifa tofauti tofauti? Mimi nilidhani kuwa kile cheo cha juu zaidi ndiyo hutambulishwa, kwa hapa waziri mkuu mstaafu. Wanaofahamu watuelimishe.
Uko sawa! Ni Waziri Mkuu mstaafu.
 
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Katiba mpya mzee Warioba amesema hayati Sokoine alikuwa ni mzalendo wa kweli na hajaona mfano wake hadi sasa

Warioba anasema Sokoine hakuhitaji kujitangaza wala kuvaa tai na skafu ya bendera bali ile sura na macho yake yalitosha kueleza uzalendo ulioko moyoni mwake.

Chanzo: TBC
Aisee inamaana hakumuona mzalendo wetu kweli 🤣
 
Hizi ndizo akili zilizolelewa na Nyerere. Si wa sasa hivi leo anaimba tujifukize kwa sababu kasema rais aliyepo, kesho akifariki huyo rais anaimba kinyume na kuvaa baibui kama rais wa sasa
Hahahaahahahahahaha
 
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Katiba mpya mzee Warioba amesema hayati Sokoine alikuwa ni mzalendo wa kweli na hajaona mfano wake hadi sasa

Warioba anasema Sokoine hakuhitaji kujitangaza wala kuvaa tai na skafu ya bendera bali ile sura na macho yake yalitosha kueleza uzalendo ulioko moyoni mwake.

Chanzo: TBC
Sokoine na mimi ni mia 100
 
Sikutegemea haya yasemwe na Warioba

Uzalendo sio kuvaa kipini, okay, uzalendo ni nini ????

Na kwa nini yeye hakuyafanya hayo ya kizalendo yalofanywa na Sokoine ?

Manake alikalia kiti hicho hicho, na tena kwa muda mrefu zaidi, na kiti kingine cha juu zaidi (Makamu Wa Rais).

Again, wana bahati sana hawa viongozi wanasema mambo haya huku Afrika huku kusiko na critics, tabloids and hecklers, watu wanaokuzodoa kwa makelele na miruzi hapo hapo ukiongea nonsense!
 
Back
Top Bottom