Mzee Warioba: Sokoine alikuwa Mzalendo wa kweli na sijamuona wa kumfananisha naye

Uko sawa! Ni Waziri Mkuu mstaafu.

Uzalendo wa Warioba utasemwa na wengine siyo aanze kujitangaza yeye mwenyewe!
 
Kuna mwingine alijinasibu uzalendo mabendera kwenye suit zake .....akaishia skendo za kuiba kupiga deal....pamoja kuimba mapambio ya kukufuru kuwa eti jiwe ni yesu
Hahahahahahahahahahah wewe jamaa Ni hatari. Umenikumbuka bwana LUGOLA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…