Sikutegemea haya yasemwe na Warioba
Uzalendo sio kuvaa kipini, okay, uzalendo ni nini ????
Na kwa nini yeye hakuyafanya hayo ya kizalendo yalofanywa na Sokoine ?
Manake alikalia kiti hicho hicho, na tena kwa muda mrefu zaidi, na kiti kingine cha juu zaidi (Makamu Wa Rais).
Again, wana bahati sana hawa viongozi wanasema mambo haya huku Afrika huku kusiko na critics, tabloids and hecklers, watu wanaokuzodoa kwa makelele na miruzi hapo hapo ukiongea nonsense!