Mzee wasira amewazidi vijana wengi sana upeo wa kufikiri!

Mzee wasira amewazidi vijana wengi sana upeo wa kufikiri!

Mister mimi

Member
Joined
Apr 29, 2018
Posts
89
Reaction score
106
Huyu mzee nimemfatilia kiasi chake,

Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli!

Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana huishia kumtukana badala ya kumjibu kwa hoja!

Wengi huishia kusema ooh mzee,ooh amechoka apumzike sasa,ooh anasinzia muda wote lakini hawajibu hoja zake.

Nilistaajabu hata mtu ninayemuamini kwenye mijadala alipoambiwa na wasira kuwa kama anataka mjadala na rais,ili amfikie kwanza aanze na watu wa chini yake na akiwashinda ndio amfikie rais!

Cha ajabu naye alirudi na majibu yale yale,, ooooh mimi nitaongea nini na mzee yule,ooh kwanza amechoka akapumzike!

Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Ikulu ya marekani, ufalme wa uingereza,serikali nyingi za ulaya zina vikongwe,sio kwa sababu ya umri wao,ni kwa sababu ya mawazo yao!

Kama hayasaidii nchi yao basi yanasaidia vyama vyao!

Kwenye mijadala cha kufanyia kazi ni hoja sio mtoa hoja!
 
Huyu mzee nimemfatilia kiasi chake,
Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli!

Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana huishia kumtukana badala ya kumjibu kwa hoja!

Wengi huishia kusema ooh mzee,ooh amechoka apumzike sasa,ooh anasinzia muda wote lakini hawajibu hoja zake.

Nilistaajabu hata mtu ninayemuamini kwenye mijadala alipoambiwa na wasira kuwa kama anataka mjadala na rais,ili amfikie kwanza aanze na watu wa chini yake na akiwashinda ndio amfikie rais!

Cha ajabu naye alirudi na majibu yale yale,, ooooh mimi nitaongea nini na mzee yule,ooh kwanza amechoka akapumzike!

Ikulu ya marekani, ufalme wa uingereza,serikali nyingi za ulaya zina vikongwe,sio kwa sababu ya umri wao,ni kwa sababu ya mawazo yao!
Kama hayasaidii nchi yao basi yanasaidia vyama vyao!

Kwenye mijadala cha kufanyia kazi ni hoja sio mtoa hoja!
Kweli CCM mumeishiwa yaani vijana wote matutusa hilo gendaeka ndiyo mumeona ndiyo kichwa.
 
Unaweza kujiuliza hata tunawo sema
Kuwa mungu wakawa wewe mpumbavu walitokana na chama kesho kukawa na dini kinaitwa ccm
 
Huyu mzee nimemfatilia kiasi chake,

Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli!

Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana huishia kumtukana badala ya kumjibu kwa hoja!

Wengi huishia kusema ooh mzee,ooh amechoka apumzike sasa,ooh anasinzia muda wote lakini hawajibu hoja zake.

Nilistaajabu hata mtu ninayemuamini kwenye mijadala alipoambiwa na wasira kuwa kama anataka mjadala na rais,ili amfikie kwanza aanze na watu wa chini yake na akiwashinda ndio amfikie rais!

Cha ajabu naye alirudi na majibu yale yale,, ooooh mimi nitaongea nini na mzee yule,ooh kwanza amechoka akapumzike!

Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Ikulu ya marekani, ufalme wa uingereza,serikali nyingi za ulaya zina vikongwe,sio kwa sababu ya umri wao,ni kwa sababu ya mawazo yao!

Kama hayasaidii nchi yao basi yanasaidia vyama vyao!

Kwenye mijadala cha kufanyia kazi ni hoja sio mtoa hoja!
Mnataka kumuua bure huyo babu mwacheni apumzike mnamfanya kama sanamu kila anapokaa anasinzia halafu watu wanaanza kumdhihaki huo ni unyanyapaa kwa wazee.
 
Kweli CCM mumeishiwa yaani vijana wote matutusa hilo gendaeka ndiyo mumeona ndiyo kichwa.
Kama wewe ambaye sio tutusa hii ndio hoja yako,je hao matutusa ambao nao ni wapinzani hoja zao zitakuwaje? Inasikitisha ukiwaza!
 
Mnataka kumuua bure huyo babu mwacheni apumzike mnamfanya kama sanamu kila anapokaa anasinzia halafu watu wanaanza kumdhihaki huo ni unyanyapaa kwa wazee.
Na haya ndio mfano wa aina ya majibu anayojibiwa kwenye mijadala mingi,ila hoja zake hazijibiwi! Unajua tafsiri yake ni nini?
 
Na haya ndio mfano wa aina ya majibu anojiwa kwenye mijadala mingi,ila hoja zake hazijibiwi! Unajua tafsiri yake ni nini?
Hana hoja bali ana viroja huyo ni wa kupuuzwa tu,anachojua ni ubabe na kurusha ngumi sasa si mnamtafutia kifo tu
 
Ana heshima yake, ila kukimbizana na kizazi hiki hawezi
Gentleman,
wakati kizazi cha wanaojidai ni hodari wa siasa za Tanzania wanatoka nduki kwa visingizio visivyo na mbele wala nyuma 🐒
 
Huyu mzee nimemfatilia kiasi chake,

Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli!

Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana huishia kumtukana badala ya kumjibu kwa hoja!

Wengi huishia kusema ooh mzee,ooh amechoka apumzike sasa,ooh anasinzia muda wote lakini hawajibu hoja zake.

Nilistaajabu hata mtu ninayemuamini kwenye mijadala alipoambiwa na wasira kuwa kama anataka mjadala na rais,ili amfikie kwanza aanze na watu wa chini yake na akiwashinda ndio amfikie rais!

Cha ajabu naye alirudi na majibu yale yale,, ooooh mimi nitaongea nini na mzee yule,ooh kwanza amechoka akapumzike!

Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Ikulu ya marekani, ufalme wa uingereza,serikali nyingi za ulaya zina vikongwe,sio kwa sababu ya umri wao,ni kwa sababu ya mawazo yao!

Kama hayasaidii nchi yao basi yanasaidia vyama vyao!

Kwenye mijadala cha kufanyia kazi ni hoja sio mtoa hoja!
umeamua kujitekenya

kabla ya mdahalo na lissu, afanye kwanza public lecture Makerere University, kisha tutamfikiria kama ataweza mdahalo na lissu
 
Huyu mzee nimemfatilia kiasi chake,

Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli!

Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana huishia kumtukana badala ya kumjibu kwa hoja!

Wengi huishia kusema ooh mzee,ooh amechoka apumzike sasa,ooh anasinzia muda wote lakini hawajibu hoja zake.

Nilistaajabu hata mtu ninayemuamini kwenye mijadala alipoambiwa na wasira kuwa kama anataka mjadala na rais,ili amfikie kwanza aanze na watu wa chini yake na akiwashinda ndio amfikie rais!

Cha ajabu naye alirudi na majibu yale yale,, ooooh mimi nitaongea nini na mzee yule,ooh kwanza amechoka akapumzike!

Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Ikulu ya marekani, ufalme wa uingereza,serikali nyingi za ulaya zina vikongwe,sio kwa sababu ya umri wao,ni kwa sababu ya mawazo yao!

Kama hayasaidii nchi yao basi yanasaidia vyama vyao!

Kwenye mijadala cha kufanyia kazi ni hoja sio mtoa hoja!
Huyo kizazi hiki kisichofikiri hakimuwezi kwa hoja,acha wamkimbie tu wabaki na matusi
 
Huyu mzee nimemfatilia kiasi chake,

Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli!

Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana huishia kumtukana badala ya kumjibu kwa hoja!

Wengi huishia kusema ooh mzee,ooh amechoka apumzike sasa,ooh anasinzia muda wote lakini hawajibu hoja zake.

Nilistaajabu hata mtu ninayemuamini kwenye mijadala alipoambiwa na wasira kuwa kama anataka mjadala na rais,ili amfikie kwanza aanze na watu wa chini yake na akiwashinda ndio amfikie rais!

Cha ajabu naye alirudi na majibu yale yale,, ooooh mimi nitaongea nini na mzee yule,ooh kwanza amechoka akapumzike!

Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Ikulu ya marekani, ufalme wa uingereza,serikali nyingi za ulaya zina vikongwe,sio kwa sababu ya umri wao,ni kwa sababu ya mawazo yao!

Kama hayasaidii nchi yao basi yanasaidia vyama vyao!

Kwenye mijadala cha kufanyia kazi ni hoja sio mtoa hoja!
Wasira ni uozo na aibu. Kwanza huu ni unyanyasaji wa wazee na anatumika kama kinyago kwa sababu wanaona upeo wake wa kufikiri umeshapungua. Balozi wa Tanzania nchini Angola amezuiwa na serikali ya Angola, halafu huyu mzee alivyochoka kiakili anakimbilia kumlaumu Lissu badala ya kuona hili ni jambo serious la uvunjaji wa taratibu za kidiplomasia! Idiot!
 
Mm namuelewa sna na ninampenda sna mzee huyu hana tofauti na trump
 
Tapeli mzoefu kwa ufupi ni Tapeli kama matapeli wengine Tu.
Amekutapeli nini?
Kila nchi na taasisi ina matapeli kwa maslahi ya nchi au taasisi,
Je,kama wasira ana akili za kuwazidi hadi kuwatapeli wengine kwa maslahi ya taasisi yake,je mtu huyo hana akili?
Je,kati ya aliyetapeliwa aliyetapeli ni nani hana matumizi mazuri ya akili?
 
Back
Top Bottom