CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Usimlinganisha Trump na huu uchafuMm namuelewa sna na ninampenda sna mzee huyu hana tofauti na trump
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimlinganisha Trump na huu uchafuMm namuelewa sna na ninampenda sna mzee huyu hana tofauti na trump
Wananchi wa Bunda hawataki hata kumuona ndiyo maana walimpa kura Esther Bulaya wakaachana na hiyo nyara.Wananchi wa bunda wanasemaje maana kawahudumia muda mrefu sana. Je, ni jimbo la kuigwa kwa viongozi wengine au niwaache wafu mzikane
Yale yale! Kwa hiyo kumuita wasira uozo na kinyago hiyo kwako nayo ni hoja ya kutetea upande wako?Wasira ni uozo na aibu. Kwanza huu ni unyanyasaji wa wazee na anatumika kama kinyago kwa sababu wanaona upeo wake wa kufikiri umeshapungua. Balozi wa Tanzania nchini Angola amezuiwa na serikali ya Angola, halafu huyu mzee alivyochoka kiakili anakimbilia kumlaumu Lissu badala ya kuona hili ni jambo serious la uvunjaji wa taratibu za kidiplomasia! Idiot!
Unacho uliza na kuelezea ni Nonsense.Amekutapeli nini?
Kila nchi na taasisi ina matapeli kwa maslahi ya nchi au taasisi,
Je,kama wasira ana akili za kuwazidi hadi kuwatapeli wengine kwa maslahi ya taasisi yake,je mtu huyo hana akili?
Je,kati ya aliyetapeliwa aliyetapeli ni nani hana matumizi mazuri ya akili?
Pumbafu kama Wasira. Unajua maana ya balozi wa nchi na haki zake? Do you even know the existence of Vienna convention on diplomatic relationship? You people are fools and you think others are fools like you! Mi-fisiem ni mijitu mijinga mijinga ndiyo maana inaona Wasira ana hoja. Wasira ana hoja gani huyu aliyebakia kulala muda wote.Yale yale! Kwa hiyo kumuita wasira uozo na kinyago hiyo kwako nayo ni hoja ya kutetea upande wako?
Kati ya wewe unayemuita wasira uozo na kinyago, na yeye aliyesema kila nchi ina utaratibu wake, na inabidi uheshimiwe na ufuatwe na wageni.na kwamba wao kama tanzania hawana uwezo wa kuipangia cha kufanya serikali nyingine.
Je,wewecunayetukana na yeye aliyejibu kwa utulivu ni nani ambaye uwezo wake wa kufikiri uko chini?
Kilichowazi kinathibitishika kirahisi! Je unaweza ukatuonesha na sisi tuamini unachomuhumu?Unacho uliza na kuelezea ni Nonsense.
Iko wazi huyo Mzee ni Debaucher
Balozi ni mteule wa mkuu wa ccm,wasira ni ccm.kwahiyo wewe una uchungu sana na balozi kuliko hao ccm waliomtuma,ambao wao wameridhika na kuheshimu mamlaka na serikali za watu kwa sasa?Pumbafu kama Wasira. Unajua maana ya balozi wa nchi na haki zake? Do you even know the existence of Vienna convention on diplomatic relationship? You people are fools and you think others are fools like you! Mi-fisiem ni mijitu mijinga mijinga ndiyo maana inaona Wasira ana hoja. Wasira ana hoja gani huyu aliyebakia kulala muda wote.
Wenye chama chake ndio wanajua umuhimu wake,na ukimfuatilia kwenye mijadala yeye ni mcheshi,anajikita kwenye hoja,wala hahangaiki na maumbile,rangi elimu Wala umri wa mtu! Na hana uoga,yuko tayari muda wote! Akiinama kama kasinzia kumbe mwongo anasikia kila kitu!Wasira hana input yoyote kwenye chama labda kama yuko kwa ajili ya ushirikina tu.
There is the Vienna Convention on Diplomatic Relations, which is what governs ambassadors. It is not about Samia, nor about who appoints whom. This is always a constitutional versus diplomatic issue, not a personal matter or the president's preference. Acha ujinga kama Wasira.Balozi ni mteule wa mkuu wa ccm,wasira ni ccm.kwahiyo wewe una uchungu sana na balozi kuliko hao ccm waliomtuma,ambao wao wameridhika na kuheshimu mamlaka na serikali za watu kwa sasa?
Ulitaka afanyaje,atoe kauli chafu kama hizi unazotoa wewe hapa?
Kati ya wewe na wao nani ni mpumbavu?
Hoja ya kifo iache mkuu,hiyo ni kazi ya mungu,si ajabu akakuzika! Poa moto mkuu hizi ni stori tu!Hana hoja bali ana viroja huyo ni wa kupuuzwa tu,anachojua ni ubabe na kurusha ngumi sasa si mnamtafutia kifo tu
Unafikiri hayo yote,serikali,ccm na hata wasira hawajui? Hutaki wakae watafakari nini kimefanya wazuiwe?There is the Vienna Convention on Diplomatic Relations, which is what governs ambassadors. It is not about Samia, nor about who appoints whom. This is always a constitutional versus diplomatic issue, not a personal matter or the president's preference. Acha ujinga kama Wasira.
Ni kweli,Wasira kama binadamu wengine,anaweza kuwa na mapungufu yake,ila kwenye mijadala wengi anawashinda! Yuko smart sana,ana utulivu,kupanik utapaniki wewe,,Gentleman,
wakati kizazi cha wanaojidai ni hodari wa siasa za Tanzania wanatoka nduki kwa visingizio visivyo na mbele wala nyuma 🐒
Kwa hiyo hapa una kubaliana na wasira kuwa kuna ngazi au hatua za kufuata kabla ya kufika mahali au kumfikia mtu fulani,si ndio?umeamua kujitekenya
kabla ya mdahalo na lissu, afanye kwanza public lecture Makerere University, kisha tutamfikiria kama ataweza mdahalo na lissu
Mkuu maneno huwa mnatolea wapi 😁.. Sio fair lakini kumuita baba wakazi "nyara"Wananchi wa Bunda hawataki hata kumuona ndiyo maana walimpa kura Esther Bulaya wakaachana na hiyo nyara.
uko sahihi gentleman 💪👊Ni kweli,Wasira kama binadamu wengine,anaweza kuwa na mapungufu yake,ila kwenye mijadala wengi anawashinda! Yuko smart sana,ana utulivu,kupanik utapaniki wewe,,
Ndiomaana hata ester bulaya alimyoosha miaka10 iliyopitaAna heshima yake, ila kukimbizana na kizazi hiki hawezi