Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
Unachosema ni uchawa na uongo mbali na uzwazwa. Wasira hata vichaa wanamzidi kwa vile hawakani kuwa ni vichaa kama yeye na chawa wenzake na awafugaye mamaaa uchafuHuyu mzee nimemfatilia kiasi chake,
Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli!
Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana huishia kumtukana badala ya kumjibu kwa hoja!
Wengi huishia kusema ooh mzee,ooh amechoka apumzike sasa,ooh anasinzia muda wote lakini hawajibu hoja zake.
Nilistaajabu hata mtu ninayemuamini kwenye mijadala alipoambiwa na wasira kuwa kama anataka mjadala na rais,ili amfikie kwanza aanze na watu wa chini yake na akiwashinda ndio amfikie rais!
Cha ajabu naye alirudi na majibu yale yale,, ooooh mimi nitaongea nini na mzee yule,ooh kwanza amechoka akapumzike!
Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Ikulu ya marekani, ufalme wa uingereza,serikali nyingi za ulaya zina vikongwe,sio kwa sababu ya umri wao,ni kwa sababu ya mawazo yao!
Kama hayasaidii nchi yao basi yanasaidia vyama vyao!
Kwenye mijadala cha kufanyia kazi ni hoja sio mtoa hoja!
Hebu tuwekee hoja za Steven Wassira hapaHuyu mzee nimemfatilia kiasi chake,
Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli!
Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana huishia kumtukana badala ya kumjibu kwa hoja!
Wengi huishia kusema ooh mzee,ooh amechoka apumzike sasa,ooh anasinzia muda wote lakini hawajibu hoja zake.
Nilistaajabu hata mtu ninayemuamini kwenye mijadala alipoambiwa na wasira kuwa kama anataka mjadala na rais,ili amfikie kwanza aanze na watu wa chini yake na akiwashinda ndio amfikie rais!
Cha ajabu naye alirudi na majibu yale yale,, ooooh mimi nitaongea nini na mzee yule,ooh kwanza amechoka akapumzike!
Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Ikulu ya marekani, ufalme wa uingereza,serikali nyingi za ulaya zina vikongwe,sio kwa sababu ya umri wao,ni kwa sababu ya mawazo yao!
Kama hayasaidii nchi yao basi yanasaidia vyama vyao!
Kwenye mijadala cha kufanyia kazi ni hoja sio mtoa hoja!
Watu wamemzoea na kuona hana Jipya, ila ni hazina nzuri sana iliyo na mengi, ya zamani na ya sasa.Ndiomaana hata ester bulaya alimyoosha miaka10 iliyopita
Ni mtazamo tu ila kizazi cha sasa ni kingine kabisaGentleman,
wakati kizazi cha wanaojidai ni hodari wa siasa za Tanzania wanatoka nduki kwa visingizio visivyo na mbele wala nyuma 🐒
sure,Ni mtazamo tu ila kizazi cha sasa ni kingine kabisa
Ndio maana ya uzee dawa.Sasa hp broilers wanajua nini zaidi ya ngono na matusi?Huyu mzee nimemfatilia kiasi chake,
Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli!
Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana huishia kumtukana badala ya kumjibu kwa hoja!
Wengi huishia kusema ooh mzee,ooh amechoka apumzike sasa,ooh anasinzia muda wote lakini hawajibu hoja zake.
Nilistaajabu hata mtu ninayemuamini kwenye mijadala alipoambiwa na wasira kuwa kama anataka mjadala na rais,ili amfikie kwanza aanze na watu wa chini yake na akiwashinda ndio amfikie rais!
Cha ajabu naye alirudi na majibu yale yale,, ooooh mimi nitaongea nini na mzee yule,ooh kwanza amechoka akapumzike!
Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Ikulu ya marekani, ufalme wa uingereza,serikali nyingi za ulaya zina vikongwe,sio kwa sababu ya umri wao,ni kwa sababu ya mawazo yao!
Kama hayasaidii nchi yao basi yanasaidia vyama vyao!
Kwenye mijadala cha kufanyia kazi ni hoja sio mtoa hoja!
Mnataka mumtoe kafara tu huyo gendaekaHoja ya kifo iache mkuu,hiyo ni kazi ya mungu,si ajabu akakuzika! Poa moto mkuu hizi ni stori tu!
Umemetumia kigezo gani kusema amechoka kiakili?Ana hoja gani mtu aliyechoka kiakili na amabaye hajitambui anakuwa mtumwa na mtu wa kutumikishwa na watoto wadogo
Kwa mtu mwenye akili miaka 80 anabidi kuachana na siasa za majukwaani na uchawa kwakuwa umri wake wa kuishi umekaribia Kuisha
Huyo sokwe ana busara gani?Ana heshima yake, ila kukimbizana na kizazi hiki hawezi
Wavuta bangiLabda kina Mwijaku, baba Levo na Dotto magari.
Kama Hapa ndio upeo wako wa kufikiri ulipoishia na unajiona umeandika jambo la maana! Basi ccm itatawala mpaka ichoke yenyewe.maana mihemuko haitawatoa madarakani kama hakuna watu makini,wenye akili kubwa,he hekima na mipango na mbinu! Sasa huwezi kuwa na hivi vitu kama akili yako iko chini kiuwezo!Unachosema ni uchawa na uongo mbali na uzwazwa. Wasira hata vichaa wanamzidi kwa vile hawakani kuwa ni vichaa kama yeye na chawa wenzake na awafugaye mamaaa uchafu
Ukimuita sokwe ndio....?Huyo sokwe ana busara gani?
Kuna shida?Ukimuita sokwe ndio....?
Fuatilia mijadala yake ndio utajua,sio muoga,hana hasira,mtulivu,anajibu na anatoa hoja safi!Hebu tuwekee hoja za Steven Wassira hapa
Shida ipo.maana unajifunua na kujionesha wewe ni mtu wa namna gani!Kuna shida?