Mzee Wasira amjulia hali Gachuma katika hospitali ya Bugando

Mzee Wasira amjulia hali Gachuma katika hospitali ya Bugando

Pole sana POTI!
1739264725215.png
 
Hakujiumba bali Mungu ndiyo alimuumba hivyo. Usikufuru kwani hata wewe waweza geuzwa kuwa kitu chochote
Nafahamu, nafanya hivyo kwa sababu huyu mzee naye ana maneno ya hovyo hukumbuki alimkejeli Lissu kwa ulemavu uliosababishwa na serikali ya CCM? Huyu hastahili heshima yoyote kwa vile naye ni mshenzi tu
 
Nafahamu, nafanya hivyo kwa sababu huyu mzee naye ana maneno ya hovyo hukumbuki alimkejeli Lissu kwa ulemavu uliosababishwa na serikali ya CCM? Huyu hastahili heshima yoyote kwa vile naye ni mshenzi tu
Ulemavu wa Tundu Lissu ulisababishwa na Magufuli wala siyo serikali ya CCM.
 
Back
Top Bottom