Pre GE2025 Mzee Wasira: Wananchi wana njaa, hawawezi kula Katiba

Pre GE2025 Mzee Wasira: Wananchi wana njaa, hawawezi kula Katiba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa serikali imetekeleza madai yote yaliyowasilishwa na vyama vya upinzani, ikiwemo maridhiano, kurejea kwa wanasiasa waliokimbilia uhamishoni, msamaha kwa waliokuwa gerezani, pamoja na kuruhusu maandamano na mikutano ya hadhara.

wasira.png

"Wapinzani wakiongozwa na CHADEMA walisema hali ni mbaya, wakataka maridhiano, wakataka waliokimbia warudi, wakarudi. Wakasema kuna watu 400 walioshtakiwa na kuhukumiwa mwaka 2020, utaratibu ukafuatwa wakaachiliwa kwa msamaha wa Rais kwa mujibu wa Katiba. Hilo nalo wakapata. Wakasema wanataka mikutano na maandamano, wakapewa, walikuja hata hapa Bunda na helikopta yao kwa sababu wanapenda sana show-off. Lakini nyinyi watu wa Bunda mkawasikiliza, hamna kitu!"

"Sasa kila mahali ni Katiba, Katiba, Katiba! Watu wana njaa, wanataka chakula, wanataka hospitali na elimu, wewe kila siku unasema Katiba! Watakula Katiba?" amehoji Wasira.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa serikali imetekeleza madai yote yaliyowasilishwa na vyama vya upinzani, ikiwemo maridhiano, kurejea kwa wanasiasa waliokimbilia uhamishoni, msamaha kwa waliokuwa gerezani, pamoja na kuruhusu maandamano na mikutano ya hadhara.

"Wapinzani wakiongozwa na CHADEMA walisema hali ni mbaya, wakataka maridhiano, wakataka waliokimbia warudi, wakarudi. Wakasema kuna watu 400 walioshtakiwa na kuhukumiwa mwaka 2020, utaratibu ukafuatwa wakaachiliwa kwa msamaha wa Rais kwa mujibu wa Katiba. Hilo nalo wakapata. Wakasema wanataka mikutano na maandamano, wakapewa, walikuja hata hapa Bunda na helikopta yao kwa sababu wanapenda sana show-off. Lakini nyinyi watu wa Bunda mkawasikiliza, hamna kitu!"

"Sasa kila mahali ni Katiba, Katiba, Katiba! Watu wana njaa, wanataka chakula, wanataka hospitali na elimu, wewe kila siku unasema Katiba! Watakula Katiba?" amehoji Wasira.
Mawazo ya watu wa aina hii yanatoka kwa watu wa hovyo. Kizazi kipya kina mahitaji mapya, njaa si kipaombele
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa serikali imetekeleza madai yote yaliyowasilishwa na vyama vya upinzani, ikiwemo maridhiano, kurejea kwa wanasiasa waliokimbilia uhamishoni, msamaha kwa waliokuwa gerezani, pamoja na kuruhusu maandamano na mikutano ya hadhara.

"Wapinzani wakiongozwa na CHADEMA walisema hali ni mbaya, wakataka maridhiano, wakataka waliokimbia warudi, wakarudi. Wakasema kuna watu 400 walioshtakiwa na kuhukumiwa mwaka 2020, utaratibu ukafuatwa wakaachiliwa kwa msamaha wa Rais kwa mujibu wa Katiba. Hilo nalo wakapata. Wakasema wanataka mikutano na maandamano, wakapewa, walikuja hata hapa Bunda na helikopta yao kwa sababu wanapenda sana show-off. Lakini nyinyi watu wa Bunda mkawasikiliza, hamna kitu!"

"Sasa kila mahali ni Katiba, Katiba, Katiba! Watu wana njaa, wanataka chakula, wanataka hospitali na elimu, wewe kila siku unasema Katiba! Watakula Katiba?" amehoji Wasira.

Duuuhhhh mawazo na maono ya enzi za Zinjanthropus [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa serikali imetekeleza madai yote yaliyowasilishwa na vyama vya upinzani, ikiwemo maridhiano, kurejea kwa wanasiasa waliokimbilia uhamishoni, msamaha kwa waliokuwa gerezani, pamoja na kuruhusu maandamano na mikutano ya hadhara.

"Wapinzani wakiongozwa na CHADEMA walisema hali ni mbaya, wakataka maridhiano, wakataka waliokimbia warudi, wakarudi. Wakasema kuna watu 400 walioshtakiwa na kuhukumiwa mwaka 2020, utaratibu ukafuatwa wakaachiliwa kwa msamaha wa Rais kwa mujibu wa Katiba. Hilo nalo wakapata. Wakasema wanataka mikutano na maandamano, wakapewa, walikuja hata hapa Bunda na helikopta yao kwa sababu wanapenda sana show-off. Lakini nyinyi watu wa Bunda mkawasikiliza, hamna kitu!"

"Sasa kila mahali ni Katiba, Katiba, Katiba! Watu wana njaa, wanataka chakula, wanataka hospitali na elimu, wewe kila siku unasema Katiba! Watakula Katiba?" amehoji Wasira.

Duuuhhhh mawazo na maono ya enzi za Zinjanthropus [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
 
Huyu mzee anazeeka vibaya!

Mkuu wake akiiona hii atajidharau sana,

Hayo maendeleo yaliyoletwa na Dr. Samia labda yawe hayana mwingiliano na njaa

Yaani kumbe nimekuwa sielewi maana ya maendeleo, mimi najua kuwa, mtu aliyeendelea, hawazii pesa ya kula au jambo la msosi kwake halimpi shida

Sasa huyubabu anamdharirisha kiongozi wetu ambaye karibu wapambe wake wote wanakiri nchi imeendelea kwa viwango vya lami
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa serikali imetekeleza madai yote yaliyowasilishwa na vyama vya upinzani, ikiwemo maridhiano, kurejea kwa wanasiasa waliokimbilia uhamishoni, msamaha kwa waliokuwa gerezani, pamoja na kuruhusu maandamano na mikutano ya hadhara.

"Wapinzani wakiongozwa na CHADEMA walisema hali ni mbaya, wakataka maridhiano, wakataka waliokimbia warudi, wakarudi. Wakasema kuna watu 400 walioshtakiwa na kuhukumiwa mwaka 2020, utaratibu ukafuatwa wakaachiliwa kwa msamaha wa Rais kwa mujibu wa Katiba. Hilo nalo wakapata. Wakasema wanataka mikutano na maandamano, wakapewa, walikuja hata hapa Bunda na helikopta yao kwa sababu wanapenda sana show-off. Lakini nyinyi watu wa Bunda mkawasikiliza, hamna kitu!"

"Sasa kila mahali ni Katiba, Katiba, Katiba! Watu wana njaa, wanataka chakula, wanataka hospitali na elimu, wewe kila siku unasema Katiba! Watakula Katiba?" amehoji Wasira.
NI wilaya GANI wamejitangaza kwamba kuna njaa tupeleke chakula? Katiba ni muhimu kuliko njaa ya Siku moja
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa serikali imetekeleza madai yote yaliyowasilishwa na vyama vya upinzani, ikiwemo maridhiano, kurejea kwa wanasiasa waliokimbilia uhamishoni, msamaha kwa waliokuwa gerezani, pamoja na kuruhusu maandamano na mikutano ya hadhara.

"Wapinzani wakiongozwa na CHADEMA walisema hali ni mbaya, wakataka maridhiano, wakataka waliokimbia warudi, wakarudi. Wakasema kuna watu 400 walioshtakiwa na kuhukumiwa mwaka 2020, utaratibu ukafuatwa wakaachiliwa kwa msamaha wa Rais kwa mujibu wa Katiba. Hilo nalo wakapata. Wakasema wanataka mikutano na maandamano, wakapewa, walikuja hata hapa Bunda na helikopta yao kwa sababu wanapenda sana show-off. Lakini nyinyi watu wa Bunda mkawasikiliza, hamna kitu!"

"Sasa kila mahali ni Katiba, Katiba, Katiba! Watu wana njaa, wanataka chakula, wanataka hospitali na elimu, wewe kila siku unasema Katiba! Watakula Katiba?" amehoji Wasira.
KWAHIYO ANADHIHIRISHA TOKEA UHURU KUWA WANANCHI WANA NJAA?
 
Back
Top Bottom