Mzee Wassira ''aenda chaka'' akimjibu Tundu Lissu kuhusu hoja ya mabango ya Samia

Mzee Wassira ''aenda chaka'' akimjibu Tundu Lissu kuhusu hoja ya mabango ya Samia

Not connected...
FB_IMG_1735409258925.jpg
 
Wanaoigharimu CCM mpaka sasa hivi ni.
Abdul, Wassira, Chalamila ongeza wengine
Sijaelewa kosa la Chalamila hapa; anyway Wassira sijui kama atamaliza mwaka akiwa na nafasi hi; huyu alitaliwa kua na cheo hicho 10 years ago, sio sasa. Majibu yake yanaonesha kwamba, kwasasa ccm haina majibu ya changamoto zilizopo
 
Dongo la Lissu limewaingia barabara.

Mtawekaje mabango barabarani ya kumtukuza mtu kisa Rais badala ya kuweka mabango ya kutangaza fursa za kiuchumi za nchi kama wenzetu Kenya?

Katika hili, Lissu alikuwa sahihi jana, leo, kesho na hata milele.
Kuna vitu vya kujibu na vitu vya kukaa kimya. Ni uwendawazimu kujibu hoja aliyotoa Lissu kwenye lile suala
 
Lissu alizungumzia kuhusu mabango ya Kenya yanaonesha matangazo ya kiuchumi, iwe ni Utalii ama viwanda

Huku kwetu mabango yanamsifia Mama aliyepo kwenye kiti cha enzi akila urojo

Nyie mliopo Karibu na Mzee Wasira mpeni hichi kibomu changu akitumie kutafuta majibu ya Tundu Lissu 😜
 
Back
Top Bottom