Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hii Amani yako unayoishupalia shingo ni pale tu UHAI WA CCM unapotishiwa na UPINZANI?.
Miaka nenda miaka Rudi ,Hoja kuu ya CCM Huwa ni Amani ,Amani hii ni katika muktadha wa CCM au Taifa??
Kwani Upinzani wakishika NCHI wao ndio wataanzisha vita au nini??.
,
Mzee Wassira danganya watoto , Watanzania wanajua Amani unayozungumzia wewe ni Kwa CCM tu Wala sio Nchi Hofu ya CCM ni kuogopa Nchi kushikwa na Upinzani.
Kwa Amani ya Nchi , wapi watu wanaopaza sauti zao Kila siku juu ya watu wanaotekwa waziwazi, wanaouliwa mikononi mwa Dola.
Mzee Wassira Kuna maswali mengi sana yanayohitaji majibu, acha kujificha kwenye kichaka Cha Siasa za kizee na za hovyooo , hiki kizazi Cha Sasa ni Cha wasomi waloelimika na Vijana wanaojitambua , ACHA KUTISHA TISHA WATU.
Hakuna Cha machafuko Wala nini, hayo machafuko ni Hofu na Woga Ndani ya CCM kwakua ni wazi Keki ya Taifa mmeitafuna kwelikweli nyinyi wenyewe miaka na miaka na vizazi vyenu mkiwaambia Vijana wenye Degree waende Veta !!!! This is a Shame !!.
Mzee Wassira kua MwanaCCM, kusikufanye Kiumri na Kibusara Unashindwa kuwekwa Ndani ya BUS Moja na Akina Prof Shivj, Jaji Warioba n.k.
CHADEMA na ACT hawataki Vita Wala Ugonvi na Dola, wanachotaka ni MABADILIKO YA MFUMO KWENYE UCHAGUZI NA KATIBA MPYA TU.
Na haya sio matakwa ya Vyama vya Upinzani tu, hayo ni matakwa ya WATANZANIA wote Nchi hii tangu Tume ya Jaji Nyalali ,mpaka Kwa Jaji Warioba .
Leta Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi, Watu waingie uchaguzini , Mnataka Upinzani kuingia Uchaguzini kama Geresha tu miaka nenda miaka Rudi, Watu wanaongozwa na viongozi wasowachagua?.
Tanzania ya Sasa sio ya 2000 ambako wajinga walikua wengi !!.
Amani Amani Amani sio Hoja na Si kitu, Kama CCM ndio inatawala lkn watu wametekwa, wameuliwa, Ufisadi ndo usiseme, Biashara Haram zimetapakaa, madawa ya kulevya, Ukosefu wa Ajira , Maji na Umeme mpaka Leo ni shida , Kilimo ni Cha Mvua , Baharini bado wavuvi wanatumia Mitumbwi, Matumizi ya Serikali yako juuu , Rushwa ndo usiseme, Maadili yanazidi kushuka, Maofisin hamna Nidhamu Wala uwajibikaji ,bado unaimba Amani tu??.
Miaka nenda miaka Rudi ,Hoja kuu ya CCM Huwa ni Amani ,Amani hii ni katika muktadha wa CCM au Taifa??
Kwani Upinzani wakishika NCHI wao ndio wataanzisha vita au nini??.
,
Mzee Wassira danganya watoto , Watanzania wanajua Amani unayozungumzia wewe ni Kwa CCM tu Wala sio Nchi Hofu ya CCM ni kuogopa Nchi kushikwa na Upinzani.
Kwa Amani ya Nchi , wapi watu wanaopaza sauti zao Kila siku juu ya watu wanaotekwa waziwazi, wanaouliwa mikononi mwa Dola.
Mzee Wassira Kuna maswali mengi sana yanayohitaji majibu, acha kujificha kwenye kichaka Cha Siasa za kizee na za hovyooo , hiki kizazi Cha Sasa ni Cha wasomi waloelimika na Vijana wanaojitambua , ACHA KUTISHA TISHA WATU.
Hakuna Cha machafuko Wala nini, hayo machafuko ni Hofu na Woga Ndani ya CCM kwakua ni wazi Keki ya Taifa mmeitafuna kwelikweli nyinyi wenyewe miaka na miaka na vizazi vyenu mkiwaambia Vijana wenye Degree waende Veta !!!! This is a Shame !!.
Mzee Wassira kua MwanaCCM, kusikufanye Kiumri na Kibusara Unashindwa kuwekwa Ndani ya BUS Moja na Akina Prof Shivj, Jaji Warioba n.k.
CHADEMA na ACT hawataki Vita Wala Ugonvi na Dola, wanachotaka ni MABADILIKO YA MFUMO KWENYE UCHAGUZI NA KATIBA MPYA TU.
Na haya sio matakwa ya Vyama vya Upinzani tu, hayo ni matakwa ya WATANZANIA wote Nchi hii tangu Tume ya Jaji Nyalali ,mpaka Kwa Jaji Warioba .
Leta Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi, Watu waingie uchaguzini , Mnataka Upinzani kuingia Uchaguzini kama Geresha tu miaka nenda miaka Rudi, Watu wanaongozwa na viongozi wasowachagua?.
Tanzania ya Sasa sio ya 2000 ambako wajinga walikua wengi !!.
Amani Amani Amani sio Hoja na Si kitu, Kama CCM ndio inatawala lkn watu wametekwa, wameuliwa, Ufisadi ndo usiseme, Biashara Haram zimetapakaa, madawa ya kulevya, Ukosefu wa Ajira , Maji na Umeme mpaka Leo ni shida , Kilimo ni Cha Mvua , Baharini bado wavuvi wanatumia Mitumbwi, Matumizi ya Serikali yako juuu , Rushwa ndo usiseme, Maadili yanazidi kushuka, Maofisin hamna Nidhamu Wala uwajibikaji ,bado unaimba Amani tu??.