Tetesi: Mzee Wassira kuhamia CHADEMA

Tetesi: Mzee Wassira kuhamia CHADEMA

Hatumtaki huyo mchovu wa siasa, aliitbaria cdm kufa kabla ya 2012 lkn akafutika yeye kwenye viunga vya siasa.
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani mzee Mgaya amesemaje katika hili?
 
Huyo hapo anachunga mbuzi wake wawili
Hakuna tatizo ni haki yake kikatiba ila kwasasa yupo CDM na tunampitisha BUNDA ampige tena za USO, UPPERCUT CHEMBE KIDEVU huyo MZEE.
tapatalk_1458023812583-1.jpeg
 
Labda atagombea urais kupitia Chadema!
Kama alikuwa bora kwa nini hamkumpa nyie mkampa cha mpapure?
Hebu tuache tunao watu makini ndani ya Chadema sio kama wenu intapelenyuwaa kutoka Kuwaiti ya Libya.
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Ungesema ccm b ungeeleweka
 
Back
Top Bottom