Tetesi: Mzee Wassira kuhamia CHADEMA

Tetesi: Mzee Wassira kuhamia CHADEMA

Litakuwa tukio la kushangaza kweli kweli, vp wamemkata katika mbio za ubunge? Kuna muhindi alikuwa amemkalia vibaya kweli kweli jimboni huko
Huyu alishawahi kuhamia Nccr mageuzi akashinda ubunge sisi wahenga hatushangai!
 
Mtoa mada hujatumia akili kuleta tetesi kama hizo...Mzee Wasira katumikia Chama kwa muda mrefu sana na anampango wa kuchukua fomu ya Ubunge kupitia Ccm
 
Hivi huyu dingi yupo?
Nimecheka sana kumsikia huyu jamaa.
Kweli muda ukuta. Huyu jamaa enzi za Jakaya alikuwa ndio "think tanker" ha ha .
 
Mtoa mada hujatumia akili kuleta tetesi kama hizo...Mzee Wasira katumikia Chama kwa muda mrefu sana na anampango wa kuchukua fomu ya Ubunge kupitia Ccm
Hata Rip Kingunge Ngombale Mwiru aliitumikia CCM kwa muda mrefu sana kabla hajakata shauri na kumfuata Lowassa Chadema.

Usikariri bwashee!
 
Hivi huyu dingi yupo?
Nimecheka sana kumsikia huyu jamaa.
Kweli muda ukuta. Huyu jamaa enzi za Jakaya alikuwa ndio "think tanker" ha ha .
Nadhani ndiye atakayetengeneza ilani ya uchaguzi ya Chadema!
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu aliyekitabiria CHADEMA kifo?
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Kimya kingi kinamshindo
 
Eti bila kuweka bayana sababu...sasa kuna sababu nyingine zaidi ya kutaka kurudi Bungeni?

Ila NCCR kungemfaa...kama hakunyea kambi lakini.
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Labda agombee ukatibu kata
 
Back
Top Bottom