Tetesi: Mzee Wassira kuhamia CHADEMA

Tetesi: Mzee Wassira kuhamia CHADEMA

Uzee ni dawa labda katambua madhaifu ya CCM ! Aje tu Mzee Tyson, lakini kama ni jimbo la Bunda Bulaya anaenea na anatosha! Asaidie tu kupambana majukwaani maana ni fundi wa kujenga hoja!
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Wa nini wakati huu? Akalee vitukuu
 
Unaweza kukuta unayeniuliza ni raia wa Malawi.

Lakini kwa uchache,

1. Nidhamu kwa watumishi wa umma

2. Miundombinu imeboreshwa na inazidi kuboreshwa

3.Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya

4. Umeme vijijini unasambazwa kwa kasi

5. Mikopo elimu ya juu

6. Mapambano dhidi ya rushwa

7. Madini sasa yanaleta Tija

Hebu ongezea na wewe usisahau kumpigia kura JPM wahamasishe na wenzako 10.
Poor
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Kama hii ndo siasa, basi ni dalili za wendawazimu. Kuna mfululizo wa vipindi vya mahojiano ya Wasira na mwana habari ambavyo Wasira muda wote anatukana Chadema na uongozi wake. Haininiingii akilini Wasira kuwa amekaa meza moja na Lisu au yoyote yule wa Chadema. Sihoji umakini na usomi wa huyu mzee. Tatizo hapa ni kupata cheo kwa njia yoyote: halali au isiyo halali. Siyo mapenzi ya sera za Chadema au upinzani. Achilia mbali umri wa huyu mzee, nitawashangaa Chadema hata kuanzisha mazungumzo yoyote ya mahusiano.
 
Aaaa..., wewe! Huko kwa Bulaya ataanzaje? Panya aingie mwenyewe kwenye chumba chenye paka. Japo wanasiasa wote wametuonyesha kuwa ni malay* (Mwl Nyerere pia aliwahi kusema kuwa baadhi yao ni kama malaya) haiwezi kufika huko.
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!


Kuna kigogo alisema watakaohamia huko upinzani watawafuata hukohuko na kuwatenda
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Mzee apumzike tu maana kuna muda umri ukifika na vijana wakakutandika ni bora utulie
 
Back
Top Bottom