Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,120
- 3,468
Kama hata wewe mwenyewe hujijui kama uko fit hivi unajitambua kweli kweli?Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Wassira amesema madaktari wanasema yuko Fiti, Yeye mwenyewe hawezi kujua lakini madaktari wanasema yuko Fiti
Wassira alikuwa akiongea na Waandishi wa Clouds media na kusisitiza " nyie Wenyewe mmenikuta Niko hapa nawasubiri hii maana yake Niko vizuri sana"
View attachment 3236439
Source Clouds media
Labda ana "malale"!Sasa mbona kila saa analala? Mnamtesa mzee wa watu.
Hii ndiyo Kasongo style yenyeweView attachment 3236498Tatizo usingizi
View: https://vm.tiktok.com/ZMknNNPtP/
Hata Garang aliambiwa yupo fit na madaktari.
Kwa dalili zilizopo Tyson atajiharia kabisa.
Akipiga chafya inakuwa kama screenshot. Kila pore inafunguka😃Anavaa pampas sphincter zimelegea kwa uzee vile ukiamuona amelala kila sehemu inajiachia kwa raha zake
Mbona wewoh !Kasongo mbona unajitetea wewe kausha tu endelea kusinzia haina shida
KudadadadeqAkipiga chafya inakuwa kama screenshot. Kila pore inafunguka😃
Mumeishaambiwa gari ni injini siyo bodi!Kwa kumwangalia sura yake inaonesha huyo mzee amechoka na anatakiwa kupata muda mwingi wa kupumzika.Ipo siku atasinzia nusu saa nzima kwenye midahalo
Nani huyo? Ni Lissu?sure,
Mzee wasira yuko vizuri kuliko Trump,
kibaka wa chadema licha ya kushauriwa na madaktari apumzike kutokana na hali yake but ameshupaza shingo na huo ni uamuzi wake.
acha afanye siasa na clinic 🐒
Huyo hapo tena ameanza zaidi ya miaka 20 iliyopita hizo zote ni katika matukio tofauti tofautiWapi umemuona amelala au umemfumania kalala na demu wako ?!
Na hapo amepunguza miaka 6 umri wake halisi ni miaka 86+Omba upumzike we mzee, utafia majukwaani huwezi kupambana na wajukuu zako kina Twaha Mwaioaya na Pambalu wenzio damu changa. Utakufwa vby ww uwaache wajukuu zako na masikitiko.
Hii miaka umepewa na Mwenyezi Mungu itumie kuacha legacy kwa wajukuu zako na si kuanza mikiki mikiki na vijana wadogo kisa kuwatetea vibaka wa kura CCM.
Kwanini huyu babu mnamuita Kasongo? Ana uhusiano gani na yule Kasongo wa tiktok?Kasongo mbona unajitetea wewe kausha tu endelea kusinzia haina shida
Mzee Wasira ana miaka 80 , ni makamu wenyekiti wa Chama Cha mapinduzi!Omba upumzike we mzee, utafia majukwaani huwezi kupambana na wajukuu zako kina Twaha Mwaioaya na Pambalu wenzio damu changa. Utakufwa vby ww uwaache wajukuu zako na masikitiko.
Hii miaka umepewa na Mwenyezi Mungu itumie kuacha legacy kwa wajukuu zako na si kuanza mikiki mikiki na vijana wadogo kisa kuwatetea vibaka wa kura CCM.
Papa Fransis kiongozi wa kanisa katoliki duniani ana miaka 88 na bado hajaambiwa apumzike.Na hapo amepunguza miaka 6 umri wake halisi ni miaka 86+
Kwanza umri sahihi wa huyo babu ni miaka 87,pili katika hao uliotaja umeshawaona wanasinzia hadharani kwa staili ya huyo Kasongo?Mzee Wasira ana miaka 80 , ni makamu wenyekiti wa Chama Cha mapinduzi!
Mzee Donald Trump ana miaka 79 ni rais wa Taifa kubwa duniani taifa la Marekani USA na ataendelea kuiongoza Marekani hadi mwaka 2029 atakapokuwa na miaka 84.
Papa fransis ana miaka 88 na ni kiongozi wa kanisa katoliki duniani na ataendelea kuliongoza hadi siku ya kufa kwake hata kama akiishi miaka 150 la sivyo aamue mwenyewe kujiuzulu.
Sasa niwaulize swali kuongoza CCM na kuongoza taifa kubwa kama Marekani na kuongoza taasisi kubwa kwa ngazi ya kimataifa kama roman Catholic church duniani ni ipi ni kazi kubwa zaidi inayohitaji mtu mwenye damu changa.
WAPINZANI WA MZEE WASIRA MNAJITOA UFAHAMU KAMA VILE HAMJAWAHI KUONA VIONGOZI WAZEE WENGINE KABLA YA MZEE WASIRA.